Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa kumiGame saa ngapi?
Hamsa waliwahi kupigwa Yanga na hao hao Simba. Tangu hapo haijawahi kuvunjwa hiyo rekodiIyo droo itokee wapi mkuu.. Simba ni katimu fulani kadogooo kanakojitapaaa... Ponapona Yao Leo ni kugegedwa goli 3-0
Wakikaa vibaya watapigwa hamsa km walizopigwa na Aly ahl
We tulia mpakatwe...Kwani mazoezi ya Simba umeyaona?
Sawa, ngoja tuone. Naona ndo hoja yako ilipoishiaWe tulia mpakatwe... View attachment 2425071
Mwaka jana sio mwaka huuIla mwaka wa jana waliacha point zote 3 pale! Mwaka huu sijui wamejipanga vipi na yule Guardiola wao mnene.
Hata Yanga pale Majaliwa stadium waliacha points zote tatu kwa Namungo. Ashukuriwe Refa aliye wabebaIla mwaka wa jana waliacha point zote 3 pale! Mwaka huu sijui wamejipanga vipi na yule Guardiola wao mnene.
Kipigo Kiko pale pale... Tunawakeeraaa kabla ya mechi, wakati wa mechi na baada ya mechi... Sisi ndio mbeya city kiboko ya timu zote zinazovaa jezi nyekunduSawa, ngoja tuone. Naona ndo hoja yako ilipoishia
Endelea kukera kwa maneno, sisi tutakukera uwanjani kwa vitendoKipigo Kiko pale pale... Tunawakeeraaa kabla ya mechi, wakati wa mechi na baada ya mechi... Sisi ndio mbeya city kiboko ya timu zote zinazovaa jezi nyekundu
Mkuu unatumia ngada??? Mbona umeongea jambo la ajabu sana?? Yaani Timu imeondoka na alama Moja we unasema imeacha alama 3?? Kweli sembe sio zuri Kwa afya unaweza kuongea km kichaaHata Yanga pale Majaliwa stadium waliacha points zote tatu kwa Namungo. Ashukuriwe Refa aliye wabeba
Ni kweli, kipigo Kwa Mbeya City kipo pale paleKipigo Kiko pale pale... Tunawakeeraaa kabla ya mechi, wakati wa mechi na baada ya mechi... Sisi ndio mbeya city kiboko ya timu zote zinazovaa jezi nyekundu
Naona umelewa mihogo. Kunywa maji kwanza halafu soma tena vizuri kwa kutulia post yanguMkuu unatumia ngada??? Mbona umeongea jambo la ajabu sana?? Yaani Timu imeondoka na alama Moja we unasema imeacha alama 3?? Kweli sembe sio zuri Kwa afya unaweza kuongea km kichaa
Kachambe kwanza basi, una kinyesi kwenye kyupi kyakoMashabiki wa Simba jiandaeni kisaikolojia, kwa maandalizi niliyoyashuhudia hapa Mbeya ponapona yenu ni sare. Nyie watu wanajua kufanya maandalizi ya mechi.
Nasema hamtoki na "Nguvu Moja" yenu.
Unbeaten ya mchongo ile, bila mbeleko ya refa, wasingepiga kelele hawa vyura.Ila mwaka wa jana waliacha point zote 3 pale! Mwaka huu sijui wamejipanga vipi na yule Guardiola wao mnene.