Simba ikiondoka Mbeya na alama tatu naomba nifukuzwe rasmi Jukwaa la Michezo

Simba ikiondoka Mbeya na alama tatu naomba nifukuzwe rasmi Jukwaa la Michezo

Mashabiki wa Simba jiandaeni kisaikolojia, kwa maandalizi niliyoyashuhudia hapa Mbeya ponapona yenu ni sare. Nyie watu wanajua kufanya maandalizi ya mechi.

Nasema hamtoki na "Nguvu Moja" yenu.
Nani wa kukufukuza? We Anza kujiondoa mwenyewe.
 
Mashabiki wa Simba jiandaeni kisaikolojia, kwa maandalizi niliyoyashuhudia hapa Mbeya ponapona yenu ni sare. Nyie watu wanajua kufanya maandalizi ya mechi.

Nasema hamtoki na "Nguvu Moja" yenu.
Waambie Simba wakuletee hata mchele,maana uliniwaambia 😀😀
 
Back
Top Bottom