Simba inahitaji kiongozi Uwanjani

Simba inahitaji kiongozi Uwanjani

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Baada ya kuangalia michezo kadhaa ya Simba bila Nahodha John Bocco Simba imeonesha udhaifu mkubwa Sana. Katika mchezo wa leo Simba wamecheza kwa hofu kubwa huku wakipoteza pasi nyingi mguuni. Pamoja na upya wa kikosi Simba haijaonesha uhai wowote katika safu ya ushambuliaji, Kabla ya kumtafuta wa kuangushiwa jumba Bovu nawashauri Simba kuingia Sokoni Kutafuta Capten mwenye experience ambaye atakuja kuokoa Jahazi
 
Mbona Kiongozi wa Simba Sasii na kibendera wake walikuwemo uwanjani Simba wakawa 13, unaongelea kiongozi Mangungo si alikuwepo pia?

Makolo mmetia aibu mnaharibu boli mpeni refa muamala wake haraka kwa kuitoa Yanga mchezoni na kuizima kasi yao mngekula tano leo!! Simba bado ni underdog kwa Yanga kajipangeni mje tena!!

Mtu karukiwa na miguu miwili mbele yake Sasii akajifanya hakuona, Kibendera kaona Aziz Ki anaenda kufunga akanyanyua kibendera chake! Aibu sana!! Nae apewe chake haraka!!

Kweli marefa bongo bado hawajakoma kuibeba Simba! Sasii aliamua liwalo na liwe!! faulo ni mali ya simba tu?! TFF mnalazimisha ushindani wa derby ambao haupo Yanga ni next level kwasasa labda Azam kidogo wanasumbua ila sio Simba ishawekwa mfukoni!!

Dube kasukumwa akaanguka puu kwenye box la Simba bila aibu Sasii akajifanya haoni, Mbumbumbu FC mpeni refa bahasha yake haraka maana aliwabeba mno ila kolowizard hambebeki nyie msuli hamna kwa Yanga hii!!
 
Simba wamecheza vizuri tatizo nililoliona ni kupoteza mpira kilaisi wakitatua changamoto hiyo watakuwa vizuri.
Mkwala amebebeshwa mzigo mkubwa mno asikamie sana kwani inamsababishia kupoteza umakini.
Golikipa yupo vizuri sana.
Mechi ya ligi kuu kati ya simba na Yanga litakufa lijitu
 
Baada ya kuangalia michezo kadhaa ya Simba bila Nahodha John Bocco Simba imeonesha udhaifu mkubwa Sana. Katika mchezo wa leo Simba wamecheza kwa hofu kubwa huku wakipoteza pasi nyingi mguuni. Pamoja na upya wa kikosi Simba haijaonesha uhai wowote katika safu ya ushambuliaji, Kabla ya kumtafuta wa kuangushiwa jumba Bovu nawashauri Simba kuingia Sokoni Kutafuta Capten mwenye experience ambaye atakuja kuokoa Jahazi

Mashabiki wa Yanga tunamfuata mke wa mwijaku au anakujaa mwenyeweeeeee kwa Ally Kamwe?
 
Simba wamecheza vizuri tatizo nililoliona ni kupoteza mpira kilaisi wakitatua changamoto hiyo watakuwa vizuri.
Mkwala amebebeshwa mzigo mkubwa mno asikamie sana kwani inamsababishia kupoteza umakini.
Golikipa yupo vizuri sana.
Mechi ya ligi kuu kati ya simba na Yanga litakufa lijitu
Simba tayari nimyonge kwa Yanga 😓
 
Zilikuwa nne leo mshukuruni refa na mshika kibendera,Captain hata angekuwa kiongozi leo msingetoka,kwani namba kumi hamna,kocha wenu labda aijenge timu kupitia mawinga.
 
Mbona Kiongozi wa Simba Sasii na kibendera wake walikuwemo uwanjani Simba wakawa 13, unaongelea kiongozi Mangungo si alikuwepo pia?

Makolo mmetia aibu mnaharibu boli mpeni refa muamala wake haraka kwa kuitoa Yanga mchezoni na kuizima kasi yao mngekula tano leo!! Simba bado ni underdog kwa Yanga kajipangeni mje tena!!

Mtu karukiwa na miguu miwili mbele yake Sasii akajifanya hakuona, Kibendera kaona Aziz Ki anaenda kufunga akanyanyua kibendera chake! Aibu sana!! Nae apewe chake haraka!!

Kweli marefa bongo bado hawajakoma kuibeba Simba! Sasii aliamua liwalo na liwe!! faulo ni mali ya simba tu?! TFF mnalazimisha ushindani wa derby ambao haupo Yanga ni next level kwasasa labda Azam kidogo wanasumbua ila sio Simba ishawekwa mfukoni!!

Mtu kasukumwa akaanguka puu kwenye box la Simba bila aibu Sasii akajifanya haoni, Mbumbumbu FC mpeni refa bahasha yake haraka maana aliwabeba mno ila kolowizard hambebeki nyie msuli hamna kwa Yanga hii!!
Mshindi ndo unaandika paragraph yote hii?
Ungefungwa je?tatizo mliingia na matokeo yenu ya kushinda goli nyingi kudhani wenzenu wamesimama.
Furahia ushindi utopolo.
 
Simba wamecheza vzr, yanga ni bora zaidi, mda c mrf mambo yatakua mazuri.
 
Baada ya kuangalia michezo kadhaa ya Simba bila Nahodha John Bocco Simba imeonesha udhaifu mkubwa Sana. Katika mchezo wa leo Simba wamecheza kwa hofu kubwa huku wakipoteza pasi nyingi mguuni. Pamoja na upya wa kikosi Simba haijaonesha uhai wowote katika safu ya ushambuliaji, Kabla ya kumtafuta wa kuangushiwa jumba Bovu nawashauri Simba kuingia Sokoni Kutafuta Capten mwenye experience ambaye atakuja kuokoa Jahazi
Tatizo ni Mangungu
 
Baada ya kuangalia michezo kadhaa ya Simba bila Nahodha John Bocco Simba imeonesha udhaifu mkubwa Sana. Katika mchezo wa leo Simba wamecheza kwa hofu kubwa huku wakipoteza pasi nyingi mguuni. Pamoja na upya wa kikosi Simba haijaonesha uhai wowote katika safu ya ushambuliaji, Kabla ya kumtafuta wa kuangushiwa jumba Bovu nawashauri Simba kuingia Sokoni Kutafuta Capten mwenye experience ambaye atakuja kuokoa Jahazi
Viomgozi walivyo mang'ombe watachukua ushauri wako.
Lakini ukweli Kapombe anahitaji mbadala mwenye uwezo kuliko yeye.
Mohammed Hussein anahitaji mbadala bora kuliko yeye.
Hawajui kupiga V pass.Wanapiga mipira inayoelekea golini ili itokee papatu papatu .
Tulipata nafasi wazi mapema,tukashindwa kuzitumia
 
... nawashauri Simba kuingia Sokoni Kutafuta Capten mwenye experience ambaye atakuja kuokoa Jahazi
Kila mtu ni mchambuzi siku hizi. Yaani kumbe timu huwa zinaingia sokoni kwenda kutafuta makapteni?
😀😀😀
 
Back
Top Bottom