Simba inahitaji msaada wa kuambiwa ukweli, wataacha 5 dirisha dogo

Simba inahitaji msaada wa kuambiwa ukweli, wataacha 5 dirisha dogo

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kuwaambia kuwa walicheza vizuri dhidi ya Yanga ni kuendelea kuwadanganya. Walistahili kufungwa 4 kama Kila kitu kingekwenda vizuri. Kama Kapomne, Zimbwe na mzamiru bado wanapata namba Simba kwenye mechi ngumu kama Ile ya derby ujue kuwa waliosajiliwa ni wabovu zaidi, dirisha dogo wataachwa kibao.

Zawadi kubwa ya kuwapa Simba ni kuwaambia Bado kabisa badala ya kuwaambia Bado Wacha ya, Bado mnajipanga, Bado muunganiko, nk. Kumbukeni hata Robertihno alifarijiwa kwa maneno hayohayo ya timu kukosa muunganiko walipocheza vibaya ngao ya jamii.
 
Duh!!ukisikia kuna madubuwasha dunia ndio hii sasa kwenye thread ya jamaa
Mnatafuta maneno matamu yanafariji mashabiki, viongozi na wachezaji wenu ambayo hayana uhalisia. Mnajidanganya wenyewe, mara ubaya ubwela mara timu changa mara tunatengeza timu. Kama mnajua timu Bado inajengwa kwanini mje na ubaya ubwela? Si mngesubiri kwanza muunganiko kwanza ndiyo mje na ubaya ubwela?

Niwaongo, kama mnajua kuwa mnajenga timu mpya basi msingekuwa na haja ya kucheza gizani mechi zote za preseason.
 
Mnatafuta maneno matamu yanafariji mashabiki, viongozi na wachezaji wenu ambayo hayana uhalisia. Mnajidanganya wenyewe, mara ubaya ubwela mara timu changa mara tunatengeza timu. Kama mnajua timu Bado inajengwa kwanini mje na ubaya ubwela? Si mngesubiri kwanza muunganiko kwanza ndiyo mje na ubaya ubwela?

Niwaongo, kama mnajua kuwa mnajenga timu mpya basi msingekuwa na haja ya kucheza gizani mechi zote za preseason.
Ahmed Ally anawajaza ujinga tu hayo mambumbumbu FC. Pale hakuna timu.
 
Kama Kapombe, Mzamiru Zimbwe, Koblan na Kibu Bado wanaonekana kwenye first eleven ya kocha ujue Kuna shida ya usajili tayari ya wachezaji wapya. take my words
Kwangu Mimi Kramo hakutakiwa kuondoshwa wkt huo unamtaka Mpanzu wkt Kramo mzima angekupatia almost 80-90% ya uwezo wa Mpanzu maybe km ni mshahara mkubwa ila kiufundi jamaa ni mzuri sana
 
Kuwaambia kuwa walicheza vizuri dhidi ya Yanga ni kuendelea kuwadanganya. Walistahili kufungwa 4 kama Kila kitu kingekwenda vizuri. Kama Kapomne, Zimbwe na mzamiru bado wanapata namba Simba kwenye mechi ngumu kama Ile ya derby ujue kuwa waliosajiliwa ni wabovu zaidi, dirisha dogo wataachwa kibao.

Zawadi kubwa ya kuwapa Simba ni kuwaambia Bado kabisa badala ya kuwaambia Bado Wacha ya, Bado mnajipanga, Bado muunganiko, nk. Kumbukeni hata Robertihno alifarijiwa kwa maneno hayohayo ya timu kukosa muunganiko walipocheza vibaya ngao ya jamii.
Ubaya umeanza kuwarudia, timu yao wataijua vizuri mechi dhidi ya Coastal Union.
 
Kama Kapombe, Mzamiru Zimbwe, Koblan na Kibu Bado wanaonekana kwenye first eleven ya kocha ujue Kuna shida ya usajili tayari ya wachezaji wapya. take my words
Hujui mpira, ulitaka isajiliwe team mpya kabisa!? Hakuna usajili wa hivyo Duniani labda kwenye soka la kichwani kwako. Dirisha dogo wataongezwa watu na baadhi kupunguzwa, huo ndo mpira na wala haihitaji utabiri wako.
 
Msimu huu Simba ni nyepesi kuliko msimu uliopita mbele ya team za kawaida kama Jkt na Namungo watakula Chuma tena za maana huko championship ndio hawatoboi kabisa
Ni akili mbovu kudhani timu ya Simba msimu uliopita ilikuwa mbovu, walifanya makosa kuivunja timu na kuwafukuza wachezaji ambao waliifikisha timu na kucheza robo final ya caf championship na kwenda kusajili wachezaji ambao hawajawahi kucheza hata makundi mashindano ya CAF. Ni timu ngapi Afrika ambazo hazikufika robo final CAF championship hadi waone kuwa timu yao ni mbovu? Akili mbovu TU za kukataa kukili kuwa timu yao haikuwa mbovu ila Yanga ilikuwa Bora sana?

Walipaswa kujua kuwa timu ya
 
K
Hujui mpira, ulitaka isajiliwe team mpya kabisa!? Hakuna usajili wa hivyo Duniani labda kwenye soka la kichwani kwako. Dirisha dogo wataongezwa watu na baadhi kupunguzwa, huo ndo mpira na wala haihitaji utabiri wako.
Kwahiyo ubaya ubwela mngeusubirisha hadi hilo dirisha dogo sio kwenye ngao ya jamii. Ahmed Ally amewachukuwa misukule, anawaimbisha anavyotaka, jeshi la mtu mmoja.
 
Si
Kwangu Mimi Kramo hakutakiwa kuondoshwa wkt huo unamtaka Mpanzu wkt Kramo mzima angekupatia almost 80-90% ya uwezo wa Mpanzu maybe km ni mshahara mkubwa ila kiufundi jamaa ni mzuri sana
Simba wanatamba mbele ya camera TU lakini wakiwa wenyewe wanajua kuwa hawana timu mbele ya Yanga. Wanajua kuwa ngao ya jamii wangefungwa 4 au 5 tena.
 
Zimbwe mtoe humo weka kibu,mzamiru,kapombe,hawana hadho ya kuchezea simna
Zimbwe, kibu, mzamiru na kapomne kama wakienda Yanga watachukua namba ya nani kwenye first eleven ya gamondi? Hebu ona defense ya Yanga ilivyochekechwa na akina pacome, nzengeli, dude, Aziz na mzize. Hebu ona forward ya Simba ilivyoshindwa kufanya lolote kwa Bacca, Yao, Job, Aucho, shida yao haikuwa muunganiko bali ubora wa Yanga ni mkubwa mno. Kama mkiendelea kusingizia muunganiko mtakuwa mnajidanganya wenyewe Tena, maana muunganiko huohuo ndio uliozifunga timu 4 zza APR na timu 3 huko Egypt wakati wa preseason, iweje muunganiko ushindwe kuifunga Yanga TU?
 
K

Kwahiyo ubaya ubwela mngeusubirisha hadi hilo dirisha dogo sio kwenye ngao ya jamii. Ahmed Ally amewachukuwa misukule, anawaimbisha anavyotaka, jeshi la mtu mmoja.
Ligi inaanza week hii so tuliza kalio uone maajabu.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Tatizo mnawekeza furaha yenu kwenye masikitiko ya Simba.
 
Back
Top Bottom