Simba inahitaji msaada wa kuambiwa ukweli, wataacha 5 dirisha dogo

Simba inahitaji msaada wa kuambiwa ukweli, wataacha 5 dirisha dogo

Kuwaambia kuwa walicheza vizuri dhidi ya Yanga ni kuendelea kuwadanganya. Walistahili kufungwa 4 kama Kila kitu kingekwenda vizuri. Kama Kapomne, Zimbwe na mzamiru bado wanapata namba Simba kwenye mechi ngumu kama Ile ya derby ujue kuwa waliosajiliwa ni wabovu zaidi, dirisha dogo wataachwa kibao.

Zawadi kubwa ya kuwapa Simba ni kuwaambia Bado kabisa badala ya kuwaambia Bado Wacha ya, Bado mnajipanga, Bado muunganiko, nk. Kumbukeni hata Robertihno alifarijiwa kwa maneno hayohayo ya timu kukosa muunganiko walipocheza vibaya ngao ya jamii.
Hivi ambao tayari kwenye soka (yanga) wamefanya ajabu gani ambalo simba hawajafanya? Hiyo simba mbovu imeishia robo fainali ccl sawa na walio tayari, acheni ujuaji basi.
 
Mnatafuta maneno matamu yanafariji mashabiki, viongozi na wachezaji wenu ambayo hayana uhalisia. Mnajidanganya wenyewe, mara ubaya ubwela mara timu changa mara tunatengeza timu. Kama mnajua timu Bado inajengwa kwanini mje na ubaya ubwela? Si mngesubiri kwanza muunganiko kwanza ndiyo mje na ubaya ubwela?

Niwaongo, kama mnajua kuwa mnajenga timu mpya basi msingekuwa na haja ya kucheza gizani mechi zote za preseason.
Ya simba hayakuhusu wewe endelea na li UTOPOLO lako.
 
Kama Kapombe, Mzamiru Zimbwe, Koblan na Kibu Bado wanaonekana kwenye first eleven ya kocha ujue Kuna shida ya usajili tayari ya wachezaji wapya. take my words
Kibu ulimuona wapi first 11? Au huelewi maana ya first 11?
 
Msimu huu Simba ni nyepesi kuliko msimu uliopita mbele ya team za kawaida kama Jkt na Namungo watakula Chuma tena za maana huko championship ndio hawatoboi kabisa
Heheheee! Eti CHAMPIONSHIP
 
Zimbwe, kibu, mzamiru na kapomne kama wakienda Yanga watachukua namba ya nani kwenye first eleven ya gamondi? Hebu ona defense ya Yanga ilivyochekechwa na akina pacome, nzengeli, dude, Aziz na mzize. Hebu ona forward ya Simba ilivyoshindwa kufanya lolote kwa Bacca, Yao, Job, Aucho, shida yao haikuwa muunganiko bali ubora wa Yanga ni mkubwa mno. Kama mkiendelea kusingizia muunganiko mtakuwa mnajidanganya wenyewe Tena, maana muunganiko huohuo ndio uliozifunga timu 4 zza APR na timu 3 huko Egypt wakati wa preseason, iweje muunganiko ushindwe kuifunga Yanga TU?
Mnasemaga hivyohivyo ila ligi ikiisha mnawasajili nyau nyie na ukitaka ushahidi nakupa, pili huyo kibu umemuona lini akiwa first 11 ya Fadlu?
 
Kibu kaliliwa arudi wakati ni mchezaji wa hadhi ya kawaida kwa timu kubwa. Mayele alitaka kuondoka hakuna aliyelia, au leo Mzize atake kuondoka Yanga walielie kwamba ni mchezaji mkubwa wa muhimu sana.

Uongozi na umiliki wa timu hawako serious kwenye usajiri. Kwa sasa ni mapema ila vilio vinakuja.
Kwahiyo Aziz ki hajaliliwa abaki?
 
Wamemsajili kibu kuogopa ataenda Yanga kumbe Yanga hawakuwa na mpango nae. Simba wanateswa na kivuli cha Yanga TU baasi. Jobe ni Bora kuliko mutare. Sema TU shabiki na uongozi waliua confidence yake.
Kwani mara ngapi simba inaacha wachezaji halafu yanga inawakimbilia? Hii yanga mnayoiona ni bora bado inachukua wachezaji kwenye simba mbovu
 
Walioshinda hawajiamini.....Tulieni tuje tufumue marinda hayo
Kocha mwenyewe hajiamini, wamesajili bila kumhusisha. Kawapa mashariti ya kusajili striker mwingine haraka, alionao hawana uwezo. Mimi siandiki kishabiki bali naangalia mpira.
 
Wachezaji watatu waliosajiri hadi sasa hawawezi kuwatumia sbb ya chupli chupli ktk usajiri. Simba malizeni mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu ili chupli ziishe. Ushauri tu.
Tulisema hapa, kwanini mnasajili bila kuwa na kocha mhusika? Sasa hivi kocha analia na magalasa walioletwa, anataka washambuliaji wengine kabisaaaaaa.
 
Ni kweli simba haikuwa mbovu na siyo kwamba ilifungwa na Yanga sababu ya ubovu ila ilionekana mbovu sababu ya wachezaji wasaliti hakina chama , baleke , Inonga na baadhi ya viongozi.

Ndiyo Maana simba wakaona isiwe tabu wakaamua kuanza upya kwa kuachana na hilo kundi la wasaliti.

Ni vema kupigana vita ukiwa peke yako kuliko kuwa na kundi kubwa la wapiganaji huku ndani yake kuna wasaliti ,mtaangamia .
Ushahidi ni kitu muhimu kwenye kilà tuhuma; mnao?
 
Zimbwe na shomari hawapaswi kuwa tegemeo..sio wachezaji wabaya ila wapunguziwe tu dk za kucheza uwanjani.
 
Zimbwe na shomari hawapaswi kuwa tegemeo..sio wachezaji wabaya ila wapunguziwe tu dk za kucheza uwanjani.
Mazoezini ndiko kunakotoa wachezaji wa kikosi cha kwanza na wa akiba. Kocha mpya Bado anawaona akina Zimbwe, Kapombe, Mzamiru ni bora kuliko wapya kwenye maeneo hayo. Afanyeje sasa zaidi ya kuwapa nafasi? Hii inaonyesha kuwa timu iliyovunjwa ilivunjwa kimakosa kwasababu ndogo TU ya kufungwa na Yanga iliyotoshana nguvu na mamelods na wakasahau kuwa timu Ile waliyovunja ilicheza robo final CAF championship.
 
Mazoezini ndiko kunakotoa wachezaji wa kikosi cha kwanza na wa akiba. Kocha mpya Bado anawaona akina Zimbwe, Kapombe, Mzamiru ni bora kuliko wapya kwenye maeneo hayo. Afanyeje sasa zaidi ya kuwapa nafasi? Hii inaonyesha kuwa timu iliyovunjwa ilivunjwa kimakosa kwasababu ndogo TU ya kufungwa na Yanga iliyotoshana nguvu na mamelods na wakasahau kuwa timu Ile waliyovunja ilicheza robo final CAF championship.
Wote simba na Yanga waliondolewa na Africa Top soccer Giants..

Na huenda wangefika zaidi ya walipofika kama ratiba ingewa-favour kwa kutowakutanisha na hao.

Kila nikiangalia marudio ya Mechi ya ufunguzi Simba vs Al ahly Dar, na ile ya marudio cairo.
nakubaliana na ww kwamba Simba haikuwa mbaya kama ilivyosemwa..

Tatizo ni uongozi wa Simba kukubali kuwa driven na hisia za mashabiki.
 
O
Wote simba na Yanga waliondolewa na Africa Top soccer Giants..

Na huenda wangefika zaidi ya walipofika kama ratiba ingewa-favour kwa kutowakutanisha na hao.

Kila nikiangalia marudio ya Mechi ya ufunguzi Simba vs Al ahly Dar, na ile ya marudio cairo.
nakubaliana na ww kwamba Simba haikuwa mbaya kama ilivyosemwa..

Tatizo ni uongozi wa Simba kukubali kuwa driven na hisia za mashabiki.
Leo hii, kocha Davids Bado anawaona Zimbwe Kapombe Mzamiru na koublan kwenye mazoezi yake. Ina maana makosa makubwa yalifanyika kukipiga chini kikosi ambacho kiliifikisha timu robo final CAF championship. Davids haoni mshambuliaji pale sawa na alichokiona Benchikha, anawadai viongozi wampe mshambuliaji.
 
Wote simba na Yanga waliondolewa na Africa Top soccer Giants..

Na huenda wangefika zaidi ya walipofika kama ratiba ingewa-favour kwa kutowakutanisha na hao.

Kila nikiangalia marudio ya Mechi ya ufunguzi Simba vs Al ahly Dar, na ile ya marudio cairo.
nakubaliana na ww kwamba Simba haikuwa mbaya kama ilivyosemwa..

Tatizo ni uongozi wa Simba kukubali kuwa driven na hisia za mashabiki.
this is true.
 
Simba ni timu nzuri sana!! Iko vizuri sana. Tatizo ni matarajio yasiyokuwa na uhalisia kwa mashabiki. Isilinganishwe na Yanga kwa sasa, ila nina uhakika msimu huu Simba itakuwa bingwa!! Baada ya mechi kadhaa za ligi kuu Simba itaimarika sana!! Itaanza kwa kushinda kila mechi kwa mbinde, baadaye itakuwa inashinda kwa uhakika na hatimaye itakuwa inashinda kwa kunyanyasa!!
 
Back
Top Bottom