Simba inahitaji msaada wa kuambiwa ukweli, wataacha 5 dirisha dogo

Simba inahitaji msaada wa kuambiwa ukweli, wataacha 5 dirisha dogo

Kuwaambia kuwa walicheza vizuri dhidi ya Yanga ni kuendelea kuwadanganya. Walistahili kufungwa 4 kama Kila kitu kingekwenda vizuri. Kama Kapomne, Zimbwe na mzamiru bado wanapata namba Simba kwenye mechi ngumu kama Ile ya derby ujue kuwa waliosajiliwa ni wabovu zaidi, dirisha dogo wataachwa kibao.

Zawadi kubwa ya kuwapa Simba ni kuwaambia Bado kabisa badala ya kuwaambia Bado Wacha ya, Bado mnajipanga, Bado muunganiko, nk. Kumbukeni hata Robertihno alifarijiwa kwa maneno hayohayo ya timu kukosa muunganiko walipocheza vibaya ngao ya jamii.
Wewe unazungumzia kuacha watano? Sisi hata tukiacha wachezaji wote, bado Simba Sports Club itabakia. Nini wachezaji watano bwana!!!
 
Msimu mwingine wa maumivu kwa Simba, navyoiona Yanga inaenda kuvifunga tena vilabu vyote kwenye ligi ikiwa Simba tutashindwa kumfunga Yanga tusahau tena ubingwa ligi kuu
 
Msimu mwingine wa maumivu kwa Simba, navyoiona Yanga inaenda kuvifunga tena vilabu vyote kwenye ligi ikiwa Simba tutashindwa kumfunga Yanga tusahau tena ubingwa ligi kuu
Azam wamenasa kwenye mtego usio wa kwao. Hizi 4 zilikuwa za Simba.
 
Msimu mwingine wa maumivu kwa Simba, navyoiona Yanga inaenda kuvifunga tena vilabu vyote kwenye ligi ikiwa Simba tutashindwa kumfunga Yanga tusahau tena ubingwa ligi kuu
Wachambuzi wanasema sababu ni muunganiko bado, lakini kocha mkuu, Davids anasema anataka wachambuliaji wengine mbali na wale waliotambulishwa Simba day na waliocheza derby. Tumuamini nani?
 
Simba ni timu nzuri sana!! Iko vizuri sana. Tatizo ni matarajio yasiyokuwa na uhalisia kwa mashabiki. Isilinganishwe na Yanga kwa sasa, ila nina uhakika msimu huu Simba itakuwa bingwa!! Baada ya mechi kadhaa za ligi kuu Simba itaimarika sana!! Itaanza kwa kushinda kila mechi kwa mbinde, baadaye itakuwa inashinda kwa uhakika na hatimaye itakuwa inashinda kwa kunyanyasa!!
Kama unaamini Simba atakua bingwa ngoja na Mimi naamini chadema watashinda uchaguzi mwakani
 
Mnasemaga hivyohivyo ila ligi ikiisha mnawasajili nyau nyie na ukitaka ushahidi nakupa, pili huyo kibu umemuona lini akiwa first 11 ya Fadlu?
Fadlu kuna mtu amemsajilia wasiofaa. mo kapigwa tena.
 
Kumbe dirisha dogo ni mbali sana, Lakeled na Koboulan mapeema kabla jogoo hajawika.
 
Zimbwe, kibu, mzamiru na kapomne kama wakienda Yanga watachukua namba ya nani kwenye first eleven ya gamondi? Hebu ona defense ya Yanga ilivyochekechwa na akina pacome, nzengeli, dude, Aziz na mzize. Hebu ona forward ya Simba ilivyoshindwa kufanya lolote kwa Bacca, Yao, Job, Aucho, shida yao haikuwa muunganiko bali ubora wa Yanga ni mkubwa mno. Kama mkiendelea kusingizia muunganiko mtakuwa mnajidanganya wenyewe Tena, maana muunganiko huohuo ndio uliozifunga timu 4 zza APR na timu 3 huko Egypt wakati wa preseason, iweje muunganiko ushindwe kuifunga Yanga TU?
Kwa hyo Ili Simba iwe Bora iifunge Yanga??

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hyo Ili Simba iwe Bora iifunge Yanga??

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Simba haiko vizuri kwenye usajili: Israh Mwenda, Kibu, Awesu, Valentino Mashaka, Kagoma, Mukwala, Lawi na hata kocha huyu siye kaaabisa; hamfikii Mgunga by far. Hii Haiwezi kuwa bahati mbaya kiasi hiki. Mwekezaji, mwenyekiti na kamati zote sio, badilisheni ili Yanga ipate ushindani wa haki na kweli.
 
Tabora united ilikuwa UNGA, lakini magoli ni ya papatupapatu
 
Fuvu lako limebeba mchanga badala ya akili
Lakwako limejaa samadi ya bata. Tayari wameshamfukuza Fredy na Onana, Bado 3 ili kutimiza idadi yangu, siropoki kama wewe.
 
Wewe unazungumzia kuacha watano? Sisi hata tukiacha wachezaji wote, bado Simba Sports Club itabakia. Nini wachezaji watano bwana!!!
Yanga wamekitabaruku tayari kwenye ngao hiki kikosi kipya, na hii ndiyo chanzo cha kuwaacha hata wale ambao walienda preseason na kutambulishwa kama wachezaji wa msimu huu.
 
Ligi inaanza week hii so tuliza kalio uone maajabu.
Uliiangalia mechi dhidi ya al merikh? 1-1 na timu pungufu inayotoka kwenye ligi iliyosimama miaka 3. Ateba ni mbadala wa Freddymichael?
 
Back
Top Bottom