Simba Inahitaji "Msema Utumbo" mmoja, Ahmed hawezi

Simba Inahitaji "Msema Utumbo" mmoja, Ahmed hawezi

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Kwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizana na Msema hovyo wa ile Timu Pinzani ya Uto.

Huwa nakunja vidole(cross fingers) kila mara anapozungumza Bw Ahmed Ally kwa kutamani amalize maongezi yake bila kuweka kijembe chochote kisicho na msingi.

Hivyo ninasahuri Ahmed awe tu anajikita kwenye mambo muhimu na ya msingi ya club na suala la kujibizana na Haji au kutoa vijembe vya hapa na pale basi kazi hiyo ifanywe na Mtu mwingine.

Kwa hilo basi Bw Mwijaku aweza kuwa "Msema Utumbo" rasmi wa Club kwa ajili ya kutekeleza jukumu hilo.

Ni dhahiri Bw huyo hana ufahamu wa kutosha wa mambo ya Mpira ukimlinganisha na yule Mwenzake wa Uto, hivyo wanachopaswa kufanya Simba ni kutumia Wajuzi wa mambo kuwa wanamuandalia script ya yale mambo muhimu yanayohitaji kufanya rejea....maana bila hivyo mjiandae kusikia akisema mwaka fulani wakati Golikipa wa Simba akiwa Hamisi Kinye n.k...sasa ili kuepusha hayo aandaliwe script alafu kule kunakobaki sasa kwa kuwachamba kina Mayele and co ndio afanye free style zake maana uwezo huo kikukweli Mtu yule amejaaliwa.

Ahmedy aachane kabisa na vijembe maana hapendezi kabisa.
 
Kwahiyo hapa bongo timu bila kua na mtukanaji mambo hayaendi kabisa?
Sijasema kutukana, ingawa najua wapo wanaopitiliza.

Maana yangu ni Mtu wa kuchagiza na kujibu shombo za upande wa pili.

Haipendezi kumsikiliza tu yule wa Uto akiichamba timu bila na huku kujibu mapigo.

Ndio maana nimetoa mfano wa ishu ya Mayele sasa ukipata Mtu wa kuchagiza madongo ya hapa na pale kama nilivyosikiliza Mwijaku anaweza...utani lazima uwepo bana.
 
Sijasema kutukana, ingawa najua wapo wanaopitiliza.

Maana yangu ni Mtu wa kuchagiza na kujibu shombo za upande wa pili.

Haipendezi kumsikiliza tu yule wa Uto akiichamba timu bila na huku kujibu mapigo.

Ndio maana nimetoa mfano wa ishu ya Mayele sasa ukipata Mtu wa kuchagiza madongo ya hapa na pale kama nilivyosikiliza Mwijaku anaweza...utani lazima uwepo bana.
Simba ni regular wa michuano ya nje ya Tz na inajitahidi, itajitahidi zaidi endapo watazingatia professionalism.

Na professionalism inajumuisha kumuachia kocha kua msemaji wa kuelezea mambo ya wachezaji, mbinu na matokeo na kuachana na shombo.

Baadaye mashabiki mtazoea.

Na huko kutukanana kutakufa natural death na hawa wasemaji wataadapt.
 
Simba ni regular wa michuano ya nje ya Tz na inajitahidi, itajitahidi zaidi endapo watazingatia professionalism.

Na professionalism inajumuisha kumuachia kocha kua msemaji wa kuelezea mambo ya wachezaji, mbinu na matokeo na kuachana na shombo.

Baadaye mashabiki mtazoea.

Na huko kutukanana kutakufa natural death na hawa wasemaji wataadapt.

Mimi nazungumzia "UTANI WA JADI", huu ni utamaduni zaidi kuliko formality.

Sipingani na ufanyaji kazi kiweledi lakini si vibaya tukabakiza utani na hicho ndio kitutofautishe na Ligi nyingine.

Inaleta buradani kufanya utani penati ya Mayele ila ninachokitaka ni atumike Mtuanayejua kukera...na kazi hiyo asiifanye Ahmed Ally, kwangu hapendezi au hawezi...ila yule Mwijaku atumike asumbuane na yule wa Utopoloni.

We unafikiri ile penati wangekosa Simba yule Baba angekaa kimya?, angekebehi..sasa hilo ndilo nalozungumzia mimi utani ubaki, ule wa mtaani na wa Watu rasmi tutakaowapa vyeo vya "Wahamasishaji".
 
Kwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizanana Msema hovyo wa ile Timu Pinzani ya Uto.

Huwa nakunja vidole(cross fingers) kila mara anapozungumza Bw Ahmed Ally kwa kutamani amalize maongezi yake bila kuweka kijembe chochote kisicho na msingi.

Hivyo ninasahuri Ahmed awe tu anajikita kwenye mambo muhimu na ya msingi ya club na suala la kujibizana na Haji au kutoa vijembe vya hapa na pale basi kazi hiyo ifanywe na Mtu mwingine.

Kwa hilo basi Bw Mwijaku aweza kuwa "Msema Utumbo" rasmi wa Club kwa ajili ya kutekeleza jukumu hilo.

Ni dhahiri Bw yule hana ufahamu wa kutosha wa mambo ya Mpira ukimlinganisha na yule Mwenzake wa Uto, hivyo wanachopaswa kufanya Simba ni kutumia Wajuzi wa mambo kuwa wanamuandalia script ya yale mambo muhimu yanayohitaji kufanya rejea....maana bila hivyo mjiandae kusikia akisema mwaka fulani wakati Golikipa wa Simba akiwa Hamisi Kinye n.k...sasa ili kuepusha hayo aandaliwe script alafu kule kunakobaki sasa kwa kuwachamba kina Mayele and co ndio afanye free style maana uwezo huo kikukweli Mtu yule amejaaliwa.

Ahmedy aachane kabisa na vijembe maana hapendezi kabisa.
Kaanzishe timu yako huko kijijini kwenu. Usitake kuturudisha zama za mawe
 
Kwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizanana Msema hovyo wa ile Timu Pinzani ya Uto.

Huwa nakunja vidole(cross fingers) kila mara anapozungumza Bw Ahmed Ally kwa kutamani amalize maongezi yake bila kuweka kijembe chochote kisicho na msingi.

Hivyo ninasahuri Ahmed awe tu anajikita kwenye mambo muhimu na ya msingi ya club na suala la kujibizana na Haji au kutoa vijembe vya hapa na pale basi kazi hiyo ifanywe na Mtu mwingine.

Kwa hilo basi Bw Mwijaku aweza kuwa "Msema Utumbo" rasmi wa Club kwa ajili ya kutekeleza jukumu hilo.

Ni dhahiri Bw yule hana ufahamu wa kutosha wa mambo ya Mpira ukimlinganisha na yule Mwenzake wa Uto, hivyo wanachopaswa kufanya Simba ni kutumia Wajuzi wa mambo kuwa wanamuandalia script ya yale mambo muhimu yanayohitaji kufanya rejea....maana bila hivyo mjiandae kusikia akisema mwaka fulani wakati Golikipa wa Simba akiwa Hamisi Kinye n.k...sasa ili kuepusha hayo aandaliwe script alafu kule kunakobaki sasa kwa kuwachamba kina Mayele and co ndio afanye free style maana uwezo huo kikukweli Mtu yule amejaaliwa.

Ahmedy aachane kabisa na vijembe maana hapendezi kabisa.
Wivu mbaya sana! Sisi Simba tumeridhila nae 100/= +......
Hatuwataki kina domo kaya!.....
 
Kwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizanana Msema hovyo wa ile Timu Pinzani ya Uto.

Huwa nakunja vidole(cross fingers) kila mara anapozungumza Bw Ahmed Ally kwa kutamani amalize maongezi yake bila kuweka kijembe chochote kisicho na msingi.

Hivyo ninasahuri Ahmed awe tu anajikita kwenye mambo muhimu na ya msingi ya club na suala la kujibizana na Haji au kutoa vijembe vya hapa na pale basi kazi hiyo ifanywe na Mtu mwingine.

Kwa hilo basi Bw Mwijaku aweza kuwa "Msema Utumbo" rasmi wa Club kwa ajili ya kutekeleza jukumu hilo.

Ni dhahiri Bw yule hana ufahamu wa kutosha wa mambo ya Mpira ukimlinganisha na yule Mwenzake wa Uto, hivyo wanachopaswa kufanya Simba ni kutumia Wajuzi wa mambo kuwa wanamuandalia script ya yale mambo muhimu yanayohitaji kufanya rejea....maana bila hivyo mjiandae kusikia akisema mwaka fulani wakati Golikipa wa Simba akiwa Hamisi Kinye n.k...sasa ili kuepusha hayo aandaliwe script alafu kule kunakobaki sasa kwa kuwachamba kina Mayele and co ndio afanye free style maana uwezo huo kikukweli Mtu yule amejaaliwa.

Ahmedy aachane kabisa na vijembe maana hapendezi kabisa.
😄😄😄😂 isije kuwa Mwinjaku kakutuma umtafutie ajira, maana mama anaupiga mwingi.

Sidhani kama tunahitaji wasema hovyo kwenye mpira wa sasa. Yabidi kuwe na uwekezaji bora uwanjani wapiga domo watapotea wenyewe.
 
Mimi nazungumzia "UTANI WA JADI", huu ni utamaduni zaidi kuliko formality.

Sipingani na ufanyaji kazi kiweledi lakini si vibaya tukabakiza utani na hicho ndio kitutofautishe na Ligi nyingine.

Inaleta buradani kufanya utani penati ya Mayele ila ninachokitaka ni atumike Mtuanayejua kukera...na kazi hiyo asiifanye Ahmed Ally, kwangu hapendezi au hawezi...ila yule Mwijaku atumike asumbuane na yule wa Utopoloni.

We unafikiri ile penati wangekosa Simba yule Baba angekaa kimya?, angekebehi..sasa hilo ndilo nalozungumzia mimi utani ubaki, ule wa mtaani na wa Watu rasmi tutakaowapa vyeo vya "Wahamasishaji".
Me sioni anaofanya Manara kua ni utani, ni uropokaji unprocesional. Simba haiko kwenye utani ipo kwenye ukweli. Km Mayele kapaisha penalt na simba tukamcheka huo si utani ni ukweli kabisa kapaisha.
Ahmed ni meneja habari na mawasiliano huwezi mfananisha na Manara ambae nafasi yake mpaka leo me siijui pale yanga, may be ndo hio ya utukanaji.
 
Kwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizanana Msema hovyo wa ile Timu Pinzani ya Uto.

Huwa nakunja vidole(cross fingers) kila mara anapozungumza Bw Ahmed Ally kwa kutamani amalize maongezi yake bila kuweka kijembe chochote kisicho na msingi.

Hivyo ninasahuri Ahmed awe tu anajikita kwenye mambo muhimu na ya msingi ya club na suala la kujibizana na Haji au kutoa vijembe vya hapa na pale basi kazi hiyo ifanywe na Mtu mwingine.

Kwa hilo basi Bw Mwijaku aweza kuwa "Msema Utumbo" rasmi wa Club kwa ajili ya kutekeleza jukumu hilo.

Ni dhahiri Bw yule hana ufahamu wa kutosha wa mambo ya Mpira ukimlinganisha na yule Mwenzake wa Uto, hivyo wanachopaswa kufanya Simba ni kutumia Wajuzi wa mambo kuwa wanamuandalia script ya yale mambo muhimu yanayohitaji kufanya rejea....maana bila hivyo mjiandae kusikia akisema mwaka fulani wakati Golikipa wa Simba akiwa Hamisi Kinye n.k...sasa ili kuepusha hayo aandaliwe script alafu kule kunakobaki sasa kwa kuwachamba kina Mayele and co ndio afanye free style maana uwezo huo kikukweli Mtu yule amejaaliwa.

Ahmedy aachane kabisa na vijembe maana hapendezi kabisa.
Acha wafu wazike wafu wenzao.

Kwa usawa Simba ilipo sasa hivi imevuka viwango vya usemaji wa akina mwinjaku na akina Manara ndio maana Manara alikimbilia timu zenye usawa wa mipasho. Wewe fikiria timu inaingia Misri kukipiga na Ahly msemaji kama manara au mwinjaku atasema nini zaidi ya blahblah zisizo na tija.

Tuzoee tu tumevuka na kufikia kiwango fulani cha ustaarabu
 
Nilikuwa na Google huko kutafuta msemaji mkuu wa Liverpool lakini najibiwa badilisha search tena hatujakuelewa bado unatafuta nini. Kama na sisi tunataka kufika na kushindana na wenzetu Africa tuondokane na hawa chawa ila kama tunataka kufurahishana humu ndani ni sawa tu tuendelee. Dunia nzima ni Manager tu anaongelea mambo ya team huku kwetu usichangae kuona chawa anatoa tathmini ya team na hali za wachezaji ki afya. Only in Tanzania
 
Kwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizanana Msema hovyo wa ile Timu Pinzani ya Uto.

Huwa nakunja vidole(cross fingers) kila mara anapozungumza Bw Ahmed Ally kwa kutamani amalize maongezi yake bila kuweka kijembe chochote kisicho na msingi.

Hivyo ninasahuri Ahmed awe tu anajikita kwenye mambo muhimu na ya msingi ya club na suala la kujibizana na Haji au kutoa vijembe vya hapa na pale basi kazi hiyo ifanywe na Mtu mwingine.

Kwa hilo basi Bw Mwijaku aweza kuwa "Msema Utumbo" rasmi wa Club kwa ajili ya kutekeleza jukumu hilo.

Ni dhahiri Bw yule hana ufahamu wa kutosha wa mambo ya Mpira ukimlinganisha na yule Mwenzake wa Uto, hivyo wanachopaswa kufanya Simba ni kutumia Wajuzi wa mambo kuwa wanamuandalia script ya yale mambo muhimu yanayohitaji kufanya rejea....maana bila hivyo mjiandae kusikia akisema mwaka fulani wakati Golikipa wa Simba akiwa Hamisi Kinye n.k...sasa ili kuepusha hayo aandaliwe script alafu kule kunakobaki sasa kwa kuwachamba kina Mayele and co ndio afanye free style maana uwezo huo kikukweli Mtu yule amejaaliwa.

Ahmedy aachane kabisa na vijembe maana hapendezi kabisa.

mpe sifa yake ahmed, amemfanya manara mwakani afikirie "kutupa taulo" na kuachana na mambo ya mpira. nasikia anataka kujaribu siasa.

dogo kaja na approach mpya ya uafisa habari/usemaji wa club za mpira nchini. approach aliyokujanayo imempiga na kitu kizito manara. haamini macho yake.
 
Nilikuwa na Google huko kutafuta msemaji mkuu wa Liverpool lakini najibiwa badilisha search tena hatujakuelewa bado unatafuta nini. Kama na sisi tunataka kufika na kushindana na wenzetu Africa tuondokane na hawa chawa ila kama tunataka kufurahishana humu ndani ni sawa tu tuendelee. Dunia nzima ni Manager tu anaongelea mambo ya team huku kwetu usichangae kuona chawa anatoa tathmini ya team na hali za wachezaji ki afya. Only in Tanzania
soka letu, kivyetuvyetu.
 
Back
Top Bottom