May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
- Thread starter
- #41
Nilikuwa namsikiliza juzi anavyoidadavua penati ya Mayele, kweli kuna Watu wanajua ukuda unaweza hata kurusha ngumi.Umeamua kumpigia debe Mwijaku apewe mikoba ya kumjibu Haji.
Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 CHAMASON-MORISON-SAKHOSON njaakalihatari
Eti viatu vya Mayele vilivaliwa na Mtu akauwa nyota yake na hatofunga tena...sasa hayo ndio ninayoyazungumzia mimi, hizi chagizo tuziendeleze tu ni burudani na hazina madhara.