Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
Kazi kweli kweli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makala ndefu umejaza utumbo tuKwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizanana Msema hovyo wa ile Timu Pinzani ya Uto.
Huwa nakunja vidole(cross fingers) kila mara anapozungumza Bw Ahmed Ally kwa kutamani amalize maongezi yake bila kuweka kijembe chochote kisicho na msingi.
Hivyo ninasahuri Ahmed awe tu anajikita kwenye mambo muhimu na ya msingi ya club na suala la kujibizana na Haji au kutoa vijembe vya hapa na pale basi kazi hiyo ifanywe na Mtu mwingine.
Kwa hilo basi Bw Mwijaku aweza kuwa "Msema Utumbo" rasmi wa Club kwa ajili ya kutekeleza jukumu hilo.
Ni dhahiri Bw yule hana ufahamu wa kutosha wa mambo ya Mpira ukimlinganisha na yule Mwenzake wa Uto, hivyo wanachopaswa kufanya Simba ni kutumia Wajuzi wa mambo kuwa wanamuandalia script ya yale mambo muhimu yanayohitaji kufanya rejea....maana bila hivyo mjiandae kusikia akisema mwaka fulani wakati Golikipa wa Simba akiwa Hamisi Kinye n.k...sasa ili kuepusha hayo aandaliwe script alafu kule kunakobaki sasa kwa kuwachamba kina Mayele and co ndio afanye free style maana uwezo huo kikukweli Mtu yule amejaaliwa.
Ahmedy aachane kabisa na vijembe maana hapendezi kabisa.
Ahmed hayupo kushindana na mtu. Yupo kushindana na job allocation yake Simba Sc. Halafu Haji ni punguani,mpeni dawa badala ya kumshindanishaIli umzidi Haji inabidi uwe mpuuzi kama Haji la sivyo ukiingiia kwenye upuuzi na kiasili huna upuuzi ata kushinda kwakua kwenye upuuzi Haji ni Bingwa.
Licha ya kushindwa kwenda sambamba na Haji bado msemaji wa Simba hajui mambo mengi yahusuyo soka Kwaiyo Haji ana advantage kubwa ku mburuza Ahmedy.
Sehemu pekee Ahmedy ana weza kimzidi Haji ni kwenye utangazaji.
Ukisoma andiko langu mimi sina shida na Ahmed, na ninaikubali kazi yake mpaka sasa.Ahmed kamwacha mbali sana bwana yule!! hizi nyingine ni propaganda tu!! mlitegemea simba isipate mtu wa kuweza kuziba nafasi ya white lkn dogo kafukia shimo hadi white mwenyewe haamini anachokiona!!
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Tusiige huko, tufanye sisi mpaka wao watakapotuiga sisi...utani ni burudani, Mtu anaielezea penati ya Mayele mpaka unajiuliza ulikuwa unaangalia mechi hiyo hiyo au nyingine?.Nilikuwa na Google huko kutafuta msemaji mkuu wa Liverpool lakini najibiwa badilisha search tena hatujakuelewa bado unatafuta nini. Kama na sisi tunataka kufika na kushindana na wenzetu Africa tuondokane na hawa chawa ila kama tunataka kufurahishana humu ndani ni sawa tu tuendelee. Dunia nzima ni Manager tu anaongelea mambo ya team huku kwetu usichangae kuona chawa anatoa tathmini ya team na hali za wachezaji ki afya. Only in Tanzania
Hilo mimi sipingi.mpe sifa yake ahmed, amemfanya manara mwakani afikirie "kutupa taulo" na kuachana na mambo ya mpira. nasikia anataka kujaribu siasa.
dogo kaja na approach mpya ya uafisa habari/usemaji wa club za mpira nchini. approach aliyokujanayo imempiga na kitu kizito manara. haamini macho yake.
Tunao wengi tu.Mimi nazungumzia "UTANI WA JADI", huu ni utamaduni zaidi kuliko formality.
Sipingani na ufanyaji kazi kiweledi lakini si vibaya tukabakiza utani na hicho ndio kitutofautishe na Ligi nyingine.
Inaleta buradani kufanya utani penati ya Mayele ila ninachokitaka ni atumike Mtuanayejua kukera...na kazi hiyo asiifanye Ahmed Ally, kwangu hapendezi au hawezi...ila yule Mwijaku atumike asumbuane na yule wa Utopoloni.
We unafikiri ile penati wangekosa Simba yule Baba angekaa kimya?, angekebehi..sasa hilo ndilo nalozungumzia mimi utani ubaki, ule wa mtaani na wa Watu rasmi tutakaowapa vyeo vya "Wahamasishaji".
Sawa kabisa Mkuu umenielewa.Wengi wanakupinga mkuu lakini nimeelewa ulichokimaanisha.
Wanaokupinga wengi ni makolo wenzio wa " sizitaki mbichi hizi" .
Ila unachoongelea ndio utofauti wenyewe wa ligi yetu na hizo ligi nyingine.
Mfano huyu Masau Bwire, watu tulikua hatumjui kabla lakini baada ya utani wake wa kupapasa (papasa squard) akawa maarufu kwa wafuatilia mpira wengi.
Timu yake japo haifanyi vizuri lakini kwa utani wake ule somehow inafatiliwa imefanya nini coz msemaji wake anabwabwaja sana ( na omba asikufunge huyu mtu, ana maneno ya kero mno).
Ndicho mleta uzi alichokimaanisha anaweza kua hajaajiriwa rasmi na timu lakini akawa na baraka za timu.
Ligi itanoga.
Sawa, bado si mbaya tukiwa na mmoja wa kwenye main stream...utani hauna formular maalum yeyote anayewezea si mbaya akachagiza na wote watakuwa na ladha zao tofauti kwa Msikilizaji.Tunao wengi tu.
1.K Mziwanda
2. Mzaramo.
3. Mwakitalima
4. Mzee wa Pass Milioni
5. Na wengine wengi tu wana Simba watawaongezea hapa.
Hawa ndio maalumu kwa ajili ya shombo za kwenye mitandao
Kabisa mkuu sasa hapo juu jamaa anauliza kama kuna vilabu vya ulaya vina msemaji!?Sawa kabisa Mkuu umenielewa.
Tatizo la wengi wetu ni kujibu hoja kabla ya kusoma content na kuitafakari.
Sasa Mtu anaishia tu kusema nimeandika utumbo, sijui kama hata ameelewa point yangu.
Hata mimi kuna wakati kebehi na utani wa Manara unanikwaza lakini bado mara kwa mara nitapita page yake nione leo kaja na nini.
Sasa pia si mbaya na upande wa pili nasi tukawa na mfumo wetu wa kuzuia makombora, na hii ndio iwe signature yetu ya ushabiki sio lazima kuangalia Wazungu wanafanya vipi...sisi tudumishe utani wetu wa jadi.
Usiturudishe enzi za ujima ndugu. Tunachotaka ni professionalism.Mimi nazungumzia "UTANI WA JADI", huu ni utamaduni zaidi kuliko formality.
Sipingani na ufanyaji kazi kiweledi lakini si vibaya tukabakiza utani na hicho ndio kitutofautishe na Ligi nyingine.
Inaleta buradani kufanya utani penati ya Mayele ila ninachokitaka ni atumike Mtuanayejua kukera...na kazi hiyo asiifanye Ahmed Ally, kwangu hapendezi au hawezi...ila yule Mwijaku atumike asumbuane na yule wa Utopoloni.
We unafikiri ile penati wangekosa Simba yule Baba angekaa kimya?, angekebehi..sasa hilo ndilo nalozungumzia mimi utani ubaki, ule wa mtaani na wa Watu rasmi tutakaowapa vyeo vya "Wahamasishaji".
Umeamua kumpigia debe Mwijaku apewe mikoba ya kumjibu Haji.Kwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizanana Msema hovyo wa ile Timu Pinzani ya Uto.
Huwa nakunja vidole(cross fingers) kila mara anapozungumza Bw Ahmed Ally kwa kutamani amalize maongezi yake bila kuweka kijembe chochote kisicho na msingi.
Hivyo ninasahuri Ahmed awe tu anajikita kwenye mambo muhimu na ya msingi ya club na suala la kujibizana na Haji au kutoa vijembe vya hapa na pale basi kazi hiyo ifanywe na Mtu mwingine.
Kwa hilo basi Bw Mwijaku aweza kuwa "Msema Utumbo" rasmi wa Club kwa ajili ya kutekeleza jukumu hilo.
Ni dhahiri Bw yule hana ufahamu wa kutosha wa mambo ya Mpira ukimlinganisha na yule Mwenzake wa Uto, hivyo wanachopaswa kufanya Simba ni kutumia Wajuzi wa mambo kuwa wanamuandalia script ya yale mambo muhimu yanayohitaji kufanya rejea....maana bila hivyo mjiandae kusikia akisema mwaka fulani wakati Golikipa wa Simba akiwa Hamisi Kinye n.k...sasa ili kuepusha hayo aandaliwe script alafu kule kunakobaki sasa kwa kuwachamba kina Mayele and co ndio afanye free style maana uwezo huo kikukweli Mtu yule amejaaliwa.
Ahmedy aachane kabisa na vijembe maana hapendezi kabisa.
Ahmed ana Kaliba ya utulivu, Kijana smart ndio maana sitaki kumuona akiongea vijembe kwa Wapinzani...atunze Kaliba yake.Ili umzidi Haji inabidi uwe mpuuzi kama Haji la sivyo ukiingiia kwenye upuuzi na kiasili huna upuuzi ata kushinda kwakua kwenye upuuzi Haji ni Bingwa.
Licha ya kushindwa kwenda sambamba na Haji bado msemaji wa Simba hajui mambo mengi yahusuyo soka Kwaiyo Haji ana advantage kubwa ku mburuza Ahmedy.
Sehemu pekee Ahmedy ana weza kimzidi Haji ni kwenye utangazaji.