Simba kama hatutasajili wachezaji wa maana Januari basi turuhusu Yanga acheze nafasi yetu makundi ya CAFCL

Simba kama hatutasajili wachezaji wa maana Januari basi turuhusu Yanga acheze nafasi yetu makundi ya CAFCL

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Mwaka huu tulipata bahati ya kupangwa na timu rahisi kwenye hatua ya mtoano hivyo tukafuzu hatua ya makundi. Kama tungekutana na timu kubwa kiasi basi tungeshatolewa kitambo.

Bila kufanya usajili wa maana ni bora tuwape Yanga wacheze hatua ya makundi CAFCL na Azam aende CAFCC. Tuache mzaha unaoweza kusababisha tukapigwa magoli ya aibu.

Huwezi kucheza makundi na wachezaji kama Bocco, Kibu, Kapama, Kyombo, Onyango, Mzamiru, Gadiel, Mwanuke, Akpan, Okwa, Mkude, Nyoni, Outarra na ukategemea matokeo mazuri.
 
Mwaka huu tulipata bahati ya kupangwa na timu rahisi kwenye hatua ya mtoano hivyo tukafuzu hatua ya makundi. Kama tungekutana na timu kubwa kiasi basi tungeshatolewa kitambo.

Bila kufanya usajili wa maana ni bora tuwape Yanga wacheze hatua ya makundi CAFCL na Azam aende CAFCC. Tuache mzaha unaoweza kusababisha tukapigwa magoli ya aibu.

Huwezi kucheza makundi na wachezaji kama Bocco, Kibu, Kapama, Kyombo, Onyango, Mzamiru, Gadiel, Mwanuke, Akpan, Okwa, Mkude, Nyoni, Outarra na ukategemea matokeo mazuri.
Maskini.. ngoja watoke kwenye kikao watakuja kukujibu
 
Mwaka huu tulipata bahati ya kupangwa na timu rahisi kwenye hatua ya mtoano hivyo tukafuzu hatua ya makundi. Kama tungekutana na timu kubwa kiasi basi tungeshatolewa kitambo.

Bila kufanya usajili wa maana ni bora tuwape Yanga wacheze hatua ya makundi CAFCL na Azam aende CAFCC. Tuache mzaha unaoweza kusababisha tukapigwa magoli ya aibu.

Huwezi kucheza makundi na wachezaji kama Bocco, Kibu, Kapama, Kyombo, Onyango, Mzamiru, Gadiel, Mwanuke, Akpan, Okwa, Mkude, Nyoni, Outarra na ukategemea matokeo mazuri.
Mimi nilishasema humu simba ni timu ya kawaida sana haina ubora ambao mashabiki wanafikiri timu yao inao ligi ya ngumbani wanazifunga timu mbovu tu na kule caf walipitia njia nyepesi sana endapo yanga angepangwa na big bullets au agosto alikua anaenda group stage tena kwa tofauti ya goli nyingi tu ila simba asingeweza kupita kwa al hilal au club africain tafsiri shida wanasimba ni wabishi
 
Mimi nilishasema humu simba ni timu ya kawaida sana haina ubora ambao mashabiki wanafikiri timu yao inao ligi ya ngumbani wanazifunga timu mbovu tu na kule caf walipitia njia nyepesi sana endapo yanga angepangwa na big bullets au agosto alikua anaenda group stage tena kwa tofauti ya goli nyingi tu ila simba asingeweza kupita kwa al hilal au club africain tafsiri shida wanasimba ni wabishi
Unaleta ushabiki sana kuliko uhalisia, Simba yuko nafasi ya 13 kwenye rank za shirikisho la mpira Africa hii si kwa bahati, bali kwa mikakati na juhudi za team kwa miaka kadhaa. Kwenye mpira pia kuna nyakati ngumu pia, lakini pia siwezi Sema kuwa Simba ipo katika nyakati ngumu sababu ya Kudrow tu.

Ni kweli Simba ina changamoto ya quality players kwenye kikosi chake pamoja na bench la ufundi lkn si kweli kwamba ni team unayoweza kubeza kama unavyodai.
 
Mwaka huu tulipata bahati ya kupangwa na timu rahisi kwenye hatua ya mtoano hivyo tukafuzu hatua ya makundi. Kama tungekutana na timu kubwa kiasi basi tungeshatolewa kitambo.

Bila kufanya usajili wa maana ni bora tuwape Yanga wacheze hatua ya makundi CAFCL na Azam aende CAFCC. Tuache mzaha unaoweza kusababisha tukapigwa magoli ya aibu.

Huwezi kucheza makundi na wachezaji kama Bocco, Kibu, Kapama, Kyombo, Onyango, Mzamiru, Gadiel, Mwanuke, Akpan, Okwa, Mkude, Nyoni, Outarra na ukategemea matokeo mazuri.
Aiseee umekuja kimtego sana
 
Unaleta ushabiki sana kuliko uhalisia, Simba yuko nafasi ya 13 kwenye rank za shirikisho la mpira Africa hii si kwa bahati, bali kwa mikakati na juhudi za team kwa miaka kadhaa. Kwenye mpira pia kuna nyakati ngumu pia, lakini pia siwezi Sema kuwa Simba ipo katika nyakati ngumu sababu ya Kudrow tu.

Ni kweli Simba ina changamoto ya quality players kwenye kikosi chake pamoja na bench la ufundi lkn si kweli kwamba ni team unayoweza kubeza kama unavyodai.
Babu hii timu ni mbovu bila kumumunya maneno
 
Unaleta ushabiki sana kuliko uhalisia, Simba yuko nafasi ya 13 kwenye rank za shirikisho la mpira Africa hii si kwa bahati, bali kwa mikakati na juhudi za team kwa miaka kadhaa. Kwenye mpira pia kuna nyakati ngumu pia, lakini pia siwezi Sema kuwa Simba ipo katika nyakati ngumu sababu ya Kudrow tu.

Ni kweli Simba ina changamoto ya quality players kwenye kikosi chake pamoja na bench la ufundi lkn si kweli kwamba ni team unayoweza kubeza kama unavyodai.
Sawa endeleeni kujipa moyo ila ukweli unaonekana uwanjani mzee soka sio sexy kusema mnafanya wawili tu na inabaki siri yenu chumbani
 
Babu hii timu ni mbovu bila kumumunya maneno
Team mbovu inaweza kuongeza kwa idadi ya magoli na kuruhusu kufungwa magoli machache? Au wewe unapimaje ubora wa team. Ofcourse kina maeneo ya kufanyia kazi, shida ya Simba misimu hii miwili inakosa kikosi chenye quality players, kwamba akitoka mtu anaingia mtu.

Akiumia mchezaji yyt wa kikosi cha kwanza hakuna wa kuziba pengo, leo hakuna Kanoute kati kumepwaya, Chama kakosekana pengo liko wazi kbs, me kila siku naomba Tshabalala asiumwe maana akiumwa majanga.
 
Mwaka huu tulipata bahati ya kupangwa na timu rahisi kwenye hatua ya mtoano hivyo tukafuzu hatua ya makundi. Kama tungekutana na timu kubwa kiasi basi tungeshatolewa kitambo.

Bila kufanya usajili wa maana ni bora tuwape Yanga wacheze hatua ya makundi CAFCL na Azam aende CAFCC. Tuache mzaha unaoweza kusababisha tukapigwa magoli ya aibu.

Huwezi kucheza makundi na wachezaji kama Bocco, Kibu, Kapama, Kyombo, Onyango, Mzamiru, Gadiel, Mwanuke, Akpan, Okwa, Mkude, Nyoni, Outarra na ukategemea matokeo mazuri.
Shabiki mwingine wa simba ambaye hayupo kwenye lile kundi la wale mbumbumbu.
 
Unaleta ushabiki sana kuliko uhalisia, Simba yuko nafasi ya 13 kwenye rank za shirikisho la mpira Africa hii si kwa bahati, bali kwa mikakati na juhudi za team kwa miaka kadhaa. Kwenye mpira pia kuna nyakati ngumu pia, lakini pia siwezi Sema kuwa Simba ipo katika nyakati ngumu sababu ya Kudrow tu.

Ni kweli Simba ina changamoto ya quality players kwenye kikosi chake pamoja na bench la ufundi lkn si kweli kwamba ni team unayoweza kubeza kama unavyodai.
Mkiendelea na mawazo haya ya kujidanganya mna timu nzuri, ipo siku mtaumbuka zaidi.
 
Unaleta ushabiki sana kuliko uhalisia, Simba yuko nafasi ya 13 kwenye rank za shirikisho la mpira Africa hii si kwa bahati, bali kwa mikakati na juhudi za team kwa miaka kadhaa. Kwenye mpira pia kuna nyakati ngumu pia, lakini pia siwezi Sema kuwa Simba ipo katika nyakati ngumu sababu ya Kudrow tu.

Ni kweli Simba ina changamoto ya quality players kwenye kikosi chake pamoja na bench la ufundi lkn si kweli kwamba ni team unayoweza kubeza kama unavyodai.
Timu inaifunga Ihefu kagoli kamoja tena ka taabu na wako Kwa Mkapa Mkapa ingekua Simba ya kina Miquissoine si Ihefu mpaka half time angeshakula hata 5 akisubiri 5+ zingine 2nd half?

Mbeya City leo angekua amekoswa koswa sana basi japo 3. Ile Simba ambayo Yanga Yanga akipata droo anashangilia.
 
Back
Top Bottom