Simba kama hatutasajili wachezaji wa maana Januari basi turuhusu Yanga acheze nafasi yetu makundi ya CAFCL

Simba kama hatutasajili wachezaji wa maana Januari basi turuhusu Yanga acheze nafasi yetu makundi ya CAFCL

Timu inaifunga Ihefu kagoli kamoja tena ka taabu na wako Kwa Mkapa Mkapa ingekua Simba ya kina Miquissoine si Ihefu mpaka half time angeshakula hata 5 akisubiri 5+ zingine 2nd half?

Mbeya City leo angekua amekoswa koswa sana basi japo 3. Ile Simba ambayo Yanga Yanga akipata droo anashangilia.
Acha kuishi nyakati za nyuma mzee ishi sasa... Hiyo Simba ya kina Miqsoinne ilikuwa inafungwa mbona sana tu na draw za kutosha au umesahau? Usiwe "plastic fan" ..... in fact kama utalinganisha na misimu mitatu nyuma Simba hii ina wastani mzuri wa magoli ushindi.

Ukweli ni kwamba team ina mapungufu kadhaa kdg upande wa wachezaji na benchi la ufundi tu.


Shida kubwa niionayo ni kuwa kocha hana mbinu na hawezi Soma mchezo. Kuna muda mbinu za kocha husaidia hata wachezaji ndani kufanya vyema hata kama wana quality ya chini. Kocha Mgunda anabebwa na uwezo binafsi wa wachezaji, wachezaji key wakishikwa huwaga hanaga mbinu mbadala. Mfano leo inamtoa Okra unamuingiza Kibu wa nn sasa.
 
Unaleta ushabiki sana kuliko uhalisia, Simba yuko nafasi ya 13 kwenye rank za shirikisho la mpira Africa hii si kwa bahati, bali kwa mikakati na juhudi za team kwa miaka kadhaa. Kwenye mpira pia kuna nyakati ngumu pia, lakini pia siwezi Sema kuwa Simba ipo katika nyakati ngumu sababu ya Kudrow tu.

Ni kweli Simba ina changamoto ya quality players kwenye kikosi chake pamoja na bench la ufundi lkn si kweli kwamba ni team unayoweza kubeza kama unavyodai.
Kwahiyo ikiwa nafasi hiyo ndiyo miaka nenda rudi haishuki kiwango?

Au unadhani hapo ilipofika ilijikuta tu ghafla bila ya kuzidi timu zingine viwango ambazo zilikuwa zipo nafasi hiyo kabla ya Simba kupanda kiwango?

Aliyewaita Mbumbumbu alikuwa sahihi kabisa.
 
Team mbovu inaweza kuongeza kwa idadi ya magoli na kuruhusu kufungwa magoli machache? Au wewe unapimaje ubora wa team. Ofcourse kina maeneo ya kufanyia kazi, shida ya Simba misimu hii miwili inakosa kikosi chenye quality players, kwamba akitoka mtu anaingia mtu.

Akiumia mchezaji yyt wa kikosi cha kwanza hakuna wa kuziba pengo, leo hakuna Kanoute kati kumepwaya, Chama kakosekana pengo liko wazi kbs, me kila siku naomba Tshabalala asiumwe maana akiumwa majanga.
Mkuu we timu Bora unaipima vipi? Kwako idadi ya magoli mengi ya kufunga na machache ya kufungwa ni kipimo sahihi? Yaana unaacha kuangalia performance na points ambavyo ndio vigezo vya awali we umechagua ukimbilie pale unapoona patakupa faraja..
Simba imefungwa goli 6 sawa Yanga na ipo mbele Kwa idadi ya goli za kufunga Kwa sababu imecheza Michezo miwili zaidi ya Yanga..

Sio tu kwamba Simba ni timu mbovu bali iko kwenye anguko .
Takwimu zipo wazi hebu katazameni kabati la makombe pale msimbazi uone.. Hali ni Tete mzee
 
Kwahiyo ikiwa nafasi hiyo ndiyo miaka nenda rudi haishuki kiwango?

Au unadhani hapo ilipofika ilijikuta tu ghafla bila ya kuzidi timu zingine viwango ambazo zilikuwa zipo nafasi hiyo kabla ya Simba kupanda kiwango?

Aliyewaita Mbumbumbu alikuwa sahihi kabisa.
FYI imepanda naambiwa hapa mwaka huu, baada ya kuingia makundi champions league.... !

Muhimu utambue kwanza ukubwa wa Simba ktk soka la EA na Afrika kwa ujumla kisha ndy tujue hayo mengine ambayo ki msingi ni majaaliwa
 
Mimi nilishasema humu simba ni timu ya kawaida sana haina ubora ambao mashabiki wanafikiri timu yao inao ligi ya ngumbani wanazifunga timu mbovu tu na kule caf walipitia njia nyepesi sana endapo yanga angepangwa na big bullets au agosto alikua anaenda group stage tena kwa tofauti ya goli nyingi tu ila simba asingeweza kupita kwa al hilal au club africain tafsiri shida wanasimba ni wabishi
Kwani wachezaji waliofika robo fainali Shirikisho walikuwa akina nani? Sio haohao unaowabeza?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Team mbovu inaweza kuongeza kwa idadi ya magoli na kuruhusu kufungwa magoli machache? Au wewe unapimaje ubora wa team. Ofcourse kina maeneo ya kufanyia kazi, shida ya Simba misimu hii miwili inakosa kikosi chenye quality players, kwamba akitoka mtu anaingia mtu.

Akiumia mchezaji yyt wa kikosi cha kwanza hakuna wa kuziba pengo, leo hakuna Kanoute kati kumepwaya, Chama kakosekana pengo liko wazi kbs, me kila siku naomba Tshabalala asiumwe maana akiumwa majanga.
Magoli yenyewe ndiyo hayo ya offsides mnayopata kupitia m-pesa?

Naona tangu mwaka jana offsides ni za Yanga tu tena Mayele nakati magoli mengine unakuta hata hayuko offsides.
 
Mkuu we timu Bora unaipima vipi? Kwako idadi ya magoli mengi ya kufunga na machache ya kufungwa ni kipimo sahihi? Yaana unaacha kuangalia performance na points ambavyo ndio vigezo vya awali we umechagua ukimbilie pale unapoona patakupa faraja..
Simba imefungwa goli 6 sawa Yanga na ipo mbele Kwa idadi ya goli za kufunga Kwa sababu imecheza Michezo miwili zaidi ya Yanga..

Sio tu kwamba Simba ni timu mbovu bali iko kwenye anguko .
Takwimu zipo wazi hebu katazameni kabati la makombe pale msimbazi uone.. Hali ni Tete mzee
Kuna kitu unakuwa hujitendei katika facts zako!

Simba kutoa draw si kwamba si bora, alafu unasahau hii ni ligi ni kama race tu.... mpk dakika za mwisho ndy tunaweza kuhukumu, points unazozungmzia wewe zinapimwa mwisho wa msimu na siyo sasa ligi haiishi kwa mechi 13, bali 28. Ni mapema sana kuhukumu.
 
Team mbovu inaweza kuongeza kwa idadi ya magoli na kuruhusu kufungwa magoli machache? Au wewe unapimaje ubora wa team. Ofcourse kina maeneo ya kufanyia kazi, shida ya Simba misimu hii miwili inakosa kikosi chenye quality players, kwamba akitoka mtu anaingia mtu.

Akiumia mchezaji yyt wa kikosi cha kwanza hakuna wa kuziba pengo, leo hakuna Kanoute kati kumepwaya, Chama kakosekana pengo liko wazi kbs, me kila siku naomba Tshabalala asiumwe maana akiumwa majanga.
Na kweli kama si timu yenye ubora kwa nini inaongoza kwa kufunga magoli kwenye ligi?

Umeongea point sana

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
FYI imepanda naambiwa hapa mwaka huu, baada ya kuingia makundi champions league.... !

Muhimu utambue kwanza ukubwa wa Simba ktk soka la EA na Afrika kwa ujumla kisha ndy tujue hayo mengine ambayo ki msingi ni majaaliwa
Eeeh...presha ya nini Ndugu kizuri zaidi mzunguko wa pili upo ambao tunajuaga kabisa ndipo sisi Thimba tunabeba kombe letu la NBC PL maana Yanga katangulia na baiskel ya miti tu [emoji1787]
 
Na kweli kama si timu yenye ubora kwa nini inaongoza kwa kufunga magoli kwenye ligi?

Umeongea point sana

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Magoli ma5 wachezaji wawili nnje kwa kadi nyekundu dhidi ya Mtibwa Sugar, wapinzani wetu Wananchi wana viporo viwili wakiwa wanatuongoza msimamo wa ligi na bado tunashangalia kuwa tuna magoli mengi daaah hizi akili hizi...[emoji119][emoji28]
 
Unaleta ushabiki sana kuliko uhalisia, Simba yuko nafasi ya 13 kwenye rank za shirikisho la mpira Africa hii si kwa bahati, bali kwa mikakati na juhudi za team kwa miaka kadhaa. Kwenye mpira pia kuna nyakati ngumu pia, lakini pia siwezi Sema kuwa Simba ipo katika nyakati ngumu sababu ya Kudrow tu.

Ni kweli Simba ina changamoto ya quality players kwenye kikosi chake pamoja na bench la ufundi lkn si kweli kwamba ni team unayoweza kubeza kama unavyodai.
Simba iliyo kwenye hizo ranks ni ile iliyofuzu ktk hizo rank na siyo hii iliyopo sasa. Hii lilyopa itapata ranks zake baada ya michezo yake yote.
 
Magoli yenyewe ndiyo hayo ya offsides mnayopata kupitia m-pesa?

Naona tangu mwaka jana offsides ni za Yanga tu tena Mayele nakati magoli mengine unakuta hata hayuko offsides.
Issue ya weakness za maamuzi kwa Tanzania ni janga kubwa sana, hata leo kuna matukio kbs yalikuwa ya faul lkn refa kaamua kufunika.

Kimsingi tuna shida ya competent referee's ingawa ni kweli kuna wanaochukua mlungula, ila tuna shida kubwa sana ya mafera wenye kukidhi viwango ndy maana hata hatuna refa mmj kwenye CAF!
 
Kuna kitu unakuwa hujitendei katika facts zako!

Simba kutoa draw si kwamba si bora, alafu unasahau hii ni ligi ni kama race tu.... mpk dakika za mwisho ndy tunaweza kuhukumu, points unazozungmzia wewe zinapimwa mwisho wa msimu na siyo sasa ligi haiishi kwa mechi 13, bali 28. Ni mapema sana kuhukumu.
Mimi nimechallange tu kigezo ulichotumia kusema Simba ina timu nzuri. Ni kweli league ni race ilo nalitambua, ila wakati we unatoa draw mwenzako anashinda hapo tayari anatengeneza gape ambalo ndio ilo mwisho wa msimu linakuja kutoa hukumu.

Hivi unajua kupata point mwishoni mwa ligi ni kazi ngumu sana? Kuna timu zinatafuta nafasi ya kuepuka kushuka daraja, pia kuna timu zinatafuta nafasi kuiwakilisha nchi kimataifa
 
Simba iliyo kwenye hizo ranks ni ile iliyofuzu ktk hizo rank na siyo hii iliyopo sasa. Hii lilyopa itapata ranks zake baada ya michezo yake yote.
Mkuu umeanza fatilia mpira kipindi Mayele kaja Yanga nini ?

Kwamba hujui Simba kwa kuingia makundi msimu huu kapanda rank? na kuvuna points kadhaa? Achilia mbali kufanya ligi yetu iwe namba 11 kwa ubora Africa.?
 
Mkuu umeanza fatilia mpira kipindi Mayele kaja Yanga nini ?

Kwamba hujui Simba kwa kuingia makundi msimu huu kapanda rank? na kuvuna points kadhaa? Achilia mbali kufanya ligi yetu iwe namba 11 kwa ubora Africa.?
Endelea kudanganywa na rank
 
Mwaka huu tulipata bahati ya kupangwa na timu rahisi kwenye hatua ya mtoano hivyo tukafuzu hatua ya makundi. Kama tungekutana na timu kubwa kiasi basi tungeshatolewa kitambo.

Bila kufanya usajili wa maana ni bora tuwape Yanga wacheze hatua ya makundi CAFCL na Azam aende CAFCC. Tuache mzaha unaoweza kusababisha tukapigwa magoli ya aibu.

Huwezi kucheza makundi na wachezaji kama Bocco, Kibu, Kapama, Kyombo, Onyango, Mzamiru, Gadiel, Mwanuke, Akpan, Okwa, Mkude, Nyoni, Outarra na ukategemea matokeo mazuri.
Unachokisema ni sawa ila kumbuka Caf champions league ni tofauti na league ya ndani wakati Barcelona anachukua league ya ndani back to back Madrid aliyekuwa anaonekana mbovu anachukua UEFA champions league back to back inawezekana simba ikawa mbovu ila game approach za champions league ni tofauti na premier league.
 
Shida ni pala ambapo mnajilinganisha na Yanga, hapo lazima mpate mawazo nyie level yenu ni Singida, Mbeya, Kagera na katiba ya hizo
 
Back
Top Bottom