Simba kuchezeshwa saa nane za usiku na mwarabu

Kwani wewe huwa hausomi content, unaishia heading tu? Mbona kwenye maeezo yapo clear kuwa kwa saa za Africa Mashariki?
 
Kama ni kweli, basi Taifa linaenda kuaibishwa ugenini! Kuwachezesha wachezaji wazee usiku mnene kiasi hicho ni ukiukwaji mkubwa wa haki yao ya msingi ya kulala na kupumzisha miili yao.
 
Kazi wanayo waarabu mda huo washishaba futari naziona gori zaidi3 isije kutokea 7 watu wakazirudisha huko morocco
 
Mechi ikiisha wanakula daku kabisa
 
Kama ni kweli, basi Taifa linaenda kuaibishwa ugenini! Kuwachezesha wachezaji wazee usiku mnene kiasi hicho ni ukiukwaji mkubwa wa haki yao ya msingi ya kulala na kupumzisha miili yao.
Full kusinzia
 
timu ya wazee ingefika robo fainali mabigwa Africa nzima, wazee ni wale wanaocheza kombe la ma -looser.
Sawa wanefika robo fainali......lkn Je wamekutana na timu gani???
 
uzi una kejeli na dharau nyingi kwa Simba yetu ila sisi mashabiki atujali.

Onyango sio mzee na wala hasinzii,,ila wewe jamaa mtata sana😅😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…