Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe huwa hausomi content, unaishia heading tu? Mbona kwenye maeezo yapo clear kuwa kwa saa za Africa Mashariki?Ndio maana tunaitwa MBUMBUMBU.
Eti usiku wa manane, Mbumbumbu kweli.
Unapotosha kwa heading yako.
View attachment 2566437
Afadhali ungeongezea na maneno KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI.
View attachment 2566434
Mechi ni saa nne uisku kwa saa za Morocco ambao ni muda wa kawaida jwa mechi za mpira wa miguu.
kWa wachezaji utakuwa ni mda sahihi ( saa nne usiku kwa Morroco)Shida Kwa wachezaji...
Kazi wanayo waarabu mda huo washishaba futari naziona gori zaidi3 isije kutokea 7 watu wakazirudisha huko moroccoSIMBA KUCHEZESHWA SAA NANE USIKU NA MWARABU.
KWA Mjibu wa ratiba iliyopo Shirikisho la Mpira Barani Afrika (CAF) inaonesha kuwa Mchezo wa Mwisho wa Mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya Raja Casablanca [emoji1026] na Simba [emoji1241] utachezwa Jumamosi ya April 1,2023 kuanzia saa nane kamili usiku.
Mechi zingine ambazo zitachezwa mda huo ni Esperance [emoji1249] vs CR Belouzidad na Wydad vs JS Kabylie.
Athari Kwa Simba
_Kikosi chetu kina wazee wengi Kwa muda huo binafsi naona muarabu kashafanya calculations ili achukue point zote
Kusinzia uwanjani
Kutokana na uzee wa wachezaji wetu ...sitoshangaa wakianza kusinzia uwanjani
NB: mwarabu Hana huruma...hatuachii hata hizi point za mwisho???
#TotalEnergayChampionsLeague
View attachment 2566225
Aisee, wajinga mpo wengi sana!Kwani wewe huwa hausomi content, unaishia heading tu? Mbona kwenye maeezo yapo clear kuwa kwa saa za Africa Mashariki?
Awababu seya mara ngapi?Mwarabu asije kuwababu seya wachezaji wetu usiku huo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
timu ya wazee ingefika robo fainali mabigwa Africa nzima, wazee ni wale wanaocheza kombe la ma -looser.Kutokana na uzee wa wachezaji wetu ...sitoshangaa wakianza kusinzia uwanjani
Mechi ikiisha wanakula daku kabisaSIMBA KUCHEZESHWA SAA NANE USIKU NA MWARABU.
KWA Mjibu wa ratiba iliyopo Shirikisho la Mpira Barani Afrika (CAF) inaonesha kuwa Mchezo wa Mwisho wa Mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya Raja Casablanca [emoji1026] na Simba [emoji1241] utachezwa Jumamosi ya April 1,2023 kuanzia saa nane kamili usiku.
Mechi zingine ambazo zitachezwa mda huo ni Esperance [emoji1249] vs CR Belouzidad na Wydad vs JS Kabylie.
Athari Kwa Simba
_Kikosi chetu kina wazee wengi Kwa muda huo binafsi naona muarabu kashafanya calculations ili achukue point zote
Kusinzia uwanjani
Kutokana na uzee wa wachezaji wetu ...sitoshangaa wakianza kusinzia uwanjani
NB: mwarabu Hana huruma...hatuachii hata hizi point za mwisho???
#TotalEnergayChampionsLeague
View attachment 2566225