Tetesi: Simba kuibomoa Yanga, Azam

Mangungu yupo kwake anakula maisha, Mo anakula maisha, Try again anakula maisha.... Afu anatoka mtu anawaza mambo ya Simba kama vile anakula hata shingilingi 5πŸ˜…πŸ˜…... Maisha ya Simba na yanga achana nayo.... ...Ukiona kwenye mpira hakuna furaha kanywe hata mbegi. Sio unakuja na huu ulojo
 
 
Mkuu hao wachezaji uliowataja wanathamani ya b 30.
Na thamani ya Simba in b 20 lamdah muuze wachezaji wote waliopo pamoja na asset za timu ndo mnunue hao wachezaji 6
 
πŸ˜„πŸ˜„
 
Konyagi feki, burudani na bangi
 
Ndoto za alinacha hizi bila shaka.
 
Nilivyoona hiyo picha uloweka nikajua tu kilichoandikwa kitakuwa ni shombo.
 
Viongozi wanatafuta huruma kwa wanachama,yaleyale ya Wanambiwa Manzoki anakuja halafu wanaletewa Jobe. Naona viongozi wanacheza na mitandao tu.
 
Kwa vichekesho hivi na vingine katika msimu wa maji kupwa maji kujaa kwa wanalunyasi unabonyeza ngapi?
 
Tunaweza kuwagei hao wote na Bado mkafungwa na msichukue ubingwa foleva
 
Furaha yangu ni kuona wanasimba wakiteseka, wakitapatapa na kuweweseka kama wagonjwa wa pepo punda.
Ila bado unaendelea kua maskini. Sasa inakusaidia nini kumcheka tshabalala anaelipwa milioni 30+ kisa kakosa ubingwa huku wewe ukiendelea kua MASKINI.
 
Kolo ana hela???
 
kwa mipango ya mdomoni mnyama kashindikana...
 
Ila bado unaendelea kua maskini. Sasa inakusaidia nini kumcheka tshabalala anaelipwa milioni 30+ kisa kakosa ubingwa huku wewe ukiendelea kua MASKINI.
Virusi vya umaskini vimekula ubongo wako wote kiasi kwamba unamuona kila mtu ni maskini mwenzio.
 
Manzoki tayari kasaini?
 
ku-recycle wachezaji hao hao ndani ya ligi siyo maendeleo ya Soka. Nilitegemea Simba ije na usajili wa nguvu zaidi ya Yanga lakini huu usajili wa kujaribu kuishusha Yanga kwa kuichukulia wachezaji wake hakujengi. Kama Yanga ilipata wachezaji hao, haiwezi kushindwa kupata wengine wazuri zaidi. Halafu performance ya wacheazji ndani ya timu moja siyo lazima iwe sawa wakiwa kwenye timu nyingine, Mkude na Okrah ni mifano mizuri sana.
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…