Simba kumfunga Al Ahly wanapaswa kuwa na kikosi cha Yanga

Simba si ameifunga Yanga juzi? Halafu CAF nao wachonganishi. Sasa mbona kila kitu wanaipa Simba tu?
 
Game naipa Hamsini Hamsini Simba anaweza pita au asipite, Ligi yetu imekua sana mara zote Simba wa Kimataifa hua wanakiwasha , acha vioja bwana mdogo facken kabisa.
Najua unaongea huku unatetemeka
 
Kwa kikosi hiki...... Tukutane fainali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…