Simba kumtambulisha kocha wake saa mbili usiku huu

Simba kumtambulisha kocha wake saa mbili usiku huu

CV ya ndiaye ni kubwa kuliko klabu ya simba, ana uzoefu wa ligi za Africa na CAF champions league & CAF confederation CUP....... Soka la Africa linahitaji wanaolijua.... We unadhani Al Ahly kumchukua Pitso Mosimane walikua hawawaoni wazungu[emoji16]
Nikikumbuka kuhusu Zahera wa Kongo na mabao ya River United huwa natokwa na machozi.
Mwaka huu hatuwabebi tena.
 
Msije kusema hatukuwaambia...

Screenshot_20211106-210003_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom