Tetesi: Simba kuomba mechi yao ya ligi dhidi ya Mbeya city kuahirishwa

Tetesi: Simba kuomba mechi yao ya ligi dhidi ya Mbeya city kuahirishwa

utopolo og

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
575
Reaction score
1,575
Klabu kongwe hapa nchini Simba S.C ipo mbioni kukiandikia barua chama cha soka nchini TFF ya kuomba kusogezwa mbele kwa mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya city uliopangwa kupigwa tarehe 17 Jan kwenye uwanja wa Benjamin mkapa.

Hatua iyo imekuja baada ya Simba S.C kuwa na mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi hapo tarehe 15 Jan pambano litakalopigwa huko Dubai hivyo kuwafanya Simba washindwe kuwahi mchezo huo wa ligi.

Kwenu TFF mjiandae kupangua ratiba kwa maslahi mapana ya soka letu maana Simba anawakilisha nchi huko Dubai kwenye mechi za kirafiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama TFF watalibariki hili basi tutakuwa na chama cha mpira na bodi ya ligi ya hovyo sana haijawahi tokea. Yaani mechi ya ligi kuu ihairishwe kwasababu ya mechi ya kirafiki, kwani wakati wanaenda Dubai hawakujua kama wana mechi ya ligi kuu tarehe 17? Au wamedharau kwavile wanawamudu TFF na bodi ya ligi.
 
Kama TFF watalibariki hili basi tutakuwa na chama na cha mpira na bodi ya ligi ya hovyo sana haijawahi tokea. Yaani mechi ya ligi kuu ihairishwe kwasababu ya mechi ya kirafiki, kwani wakati wanaenda Dubai hawakujua kama wana mechi ya ligi kuu tarehe 17? Au wamedharau kwavile wanawamudu TFF na bodi ya ligi.
Kibongo bongo hakuna lisilowezekana
 
Kama TFF watalibariki hili basi tutakuwa na chama na cha mpira na bodi ya ligi ya hovyo sana haijawahi tokea. Yaani mechi ya ligi kuu ihairishwe kwasababu ya mechi ya kirafiki, kwani wakati wanaenda Dubai hawakujua kama wana mechi ya ligi kuu tarehe 17? Au wamedharau kwavile wanawamudu TFF na bodi ya ligi.
unanitukosea wanayanga pakubwa Sana kwani kinaharibika Nini uaze kuhara hivyo
 
Kama TFF watalibariki hili basi tutakuwa na chama na cha mpira na bodi ya ligi ya hovyo sana haijawahi tokea. Yaani mechi ya ligi kuu ihairishwe kwasababu ya mechi ya kirafiki, kwani wakati wanaenda Dubai hawakujua kama wana mechi ya ligi kuu tarehe 17? Au wamedharau kwavile wanawamudu TFF na bodi ya ligi.
Kweli binadam tumeumbwa kusahau busara za Tiefuefu ndo ziliruhusu timu fulani kwenye NBC PL kuvaa nembo ya mdhamini wanaemjua wao kwa maslahi mapana ya soka letu kivyetu vyetu... Sasa mi sioni dhambi kama watawaruhusu Simba kucheza mechi hiyo ya kirafika kwa maslahi mapana ya soka letu.
 
Kama TFF watalibariki hili basi tutakuwa na chama na cha mpira na bodi ya ligi ya hovyo sana haijawahi tokea. Yaani mechi ya ligi kuu ihairishwe kwasababu ya mechi ya kirafiki, kwani wakati wanaenda Dubai hawakujua kama wana mechi ya ligi kuu tarehe 17? Au wamedharau kwavile wanawamudu TFF na bodi ya ligi.
Niliwadharau bodi ya ligi baada ya ligi baada ya kuiruhusu yanga kumsajiri kisinda na kumficha kambole huku yanga ikidanganya kambole amesajiliwa uganda. TFF hovyo kabisa
 
unanitukosea wanayanga pakubwa Sana kwani kinaharibika Nini uaze kuhara hivyo
Wewe ndio unawakosea wanayanga kwa kukosa akili ya kufikiria. Mechi ya ligi na ya kirafiki ni ipi yenye nguvu kughairishwa? Yaani kuwe na kiporo cha mechi kisa watu wameenda kuzurura Dubai. Kwanzia TFF, bodi ya ligi hadi uongozi wa Simba watakuwa hawajielewi
 
Klabu kongwe hapa nchini Simba S.C ipo mbioni kukiandikia barua chama cha soka nchini TFF ya kuomba kusogezwa mbele kwa mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya city uliopangwa kupigwa tarehe 17 Jan kwenye uwanja wa Benjamin mkapa...
Mechi ya kiataifa ya Kirafiki.

CSKA na vilabu vya Russia vimekula BAN na Fifa . Ama hujui?
 
Kama TFF watalibariki hili basi tutakuwa na chama na cha mpira na bodi ya ligi ya hovyo sana haijawahi tokea. Yaani mechi ya ligi kuu ihairishwe kwasababu ya mechi ya kirafiki, kwani wakati wanaenda Dubai hawakujua kama wana mechi ya ligi kuu tarehe 17? Au wamedharau kwavile wanawamudu TFF na bodi ya ligi.
Tuko pale tukingojea majibu ya TFF.
 
Mechi ya kiataifa ya Kirafiki.

CSKA na vilabu vya Russia vimekula BAN na Fifa . Ama hujui?
Acheni Wivu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani mnawaonea Wivu kisa tu wanawakilisha nchi huko duniani kupitia mechi za kimataifa za kirafiki na timu zinazobuluza Mikia kwenye ligi za mataifa yao
 
Kama TFF watalibariki hili basi tutakuwa na chama na cha mpira na bodi ya ligi ya hovyo sana haijawahi tokea. Yaani mechi ya ligi kuu ihairishwe kwasababu ya mechi ya kirafiki, kwani wakati wanaenda Dubai hawakujua kama wana mechi ya ligi kuu tarehe 17? Au wamedharau kwavile wanawamudu TFF na bodi ya ligi.
Tunatangaza nchi kama Royal tour! tulia wewe! [emoji1787]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio unawakosea wanayanga kwa kukosa akili ya kufikiria. Mechi ya ligi na ya kirafiki ni ipi yenye nguvu kughairishwa? Yaani kuwe na kiporo cha mechi kisa watu wameenda kuzurura Dubai. Kwanzia TFF, bodi ya ligi hadi uongozi wa Simba watakuwa hawajielewi
Unaelewa nn neno hili ,fair katika michezo,Simba sio tu timu ni mdau wa TFF nchini ,ukiona wamefanya hivyo Simba ndo utaratibu uliopo
 
Kweli binadam tumeumbwa kusahau busara za Tiefuefu ndo ziliruhusu timu fulani kwenye NBC PL kuvaa nembo ya mdhamini wanaemjua wao kwa maslahi mapana ya soka letu kivyetu vyetu... Sasa mi sioni dhambi kama watawaruhusu Simba kucheza mechi hiyo ya kirafika kwa maslahi mapana ya soka letu.
Mpira hauongozwi na busara bali kanuni na sheria. Acheni kutetea mambo ya kijinga. Ulimwenguni kote ni taratibu, sheria na kanuni ndio unaotawala mchezo wa mpira wa miguu sio busara za mtu/ watu fulani.
 
Unaelewa nn neno hili ,fair katika michezo,Simba sio tu timu ni mdau wa TFF nchini ,ukiona wamefanya hivyo Simba ndo utaratibu uliopo
Anza kwa kuniambia hilo neno linatumikaje kwenye mpira wa miguu, isije ikawa umekariri neno halafu haujui linatumikaje katika soccer
 
Mpira hauongozwi na busara bali kanuni na sheria. Acheni kutetea mambo ya kijinga. Ulimwenguni kote ni taratibu, sheria na kanuni ndio unaotawala mchezo wa mpira wa miguu sio busara za mtu/ watu fulani.
Yani hizo sheria unazozisema wewe kuna muda zinagonga mwamba amini na kwambia....
 
Back
Top Bottom