Tetesi: Simba kuomba mechi yao ya ligi dhidi ya Mbeya city kuahirishwa

Tetesi: Simba kuomba mechi yao ya ligi dhidi ya Mbeya city kuahirishwa

Imeniambia maproo wa ulaya hawapumziki. "Mapro hawana mambo hayo ya kupumzika."

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"Nitajie timu yoyote ulaya unayo ijua wewe ambayo iliunganisha mechi bila kupumzika hata siku nitajie hapa"

Pili schedule na ligi na CAF pamoja changamoto za usafiri zilingiliana na ndio maana timu baada ya kutua uwanja wa ndege ikaunga Mwanza.
Anaishangaa Yanga kuomba kupumzika halafu wakati huo huo anashindwa kuishangaa timu yake ya Simba kuomba mechi isogezwe mbele
 
Imeniambia maproo wa ulaya hawapumziki. "Mapro hawana mambo hayo ya kupumzika."

👇👇👇👇
"Nitajie timu yoyote ulaya unayo ijua wewe ambayo iliunganisha mechi bila kupumzika hata siku nitajie hapa"

Pili schedule na ligi na CAF pamoja changamoto za usafiri zilingiliana na ndio maana timu baada ya kutua uwanja wa ndege ikaunga Mwanza.
Hamna schedule iliyoingiliana mlilikoroga wenyewe. Nimekuuliza nipe ratiba ya kati ya game ya Tunisia na Kagera Sugar zilikuwa zinapita siku ngapi?

Hiyo kuunganisha ndege siyo jambo la ajabu, mbona Tunisia huko mliungaunga ndege.
 
Anaishangaa Yanga kuomba kupumzika halafu wakati huo huo anashindwa kuishangaa timu yake ya Simba kuomba mechi isogezwe mbele
Hakuna uthibitisho wowote wa Simba kuomba game isogezwe mbele na hata kama wanahusika, siyo kwa sababu wanataka wapumzike.

Unajua Simba wanachowashindia Yanga ni kimoja. Mpira wa kisasa ni biashara na katika biashara inahitaji maelewano na mahusiano mazuri kati ya wadau. Yanga bado wana dhana za mpira wa ushindani na uadui. Kiongozi wa Simba kumpigia simu wa Mbeya City na TFF na kuwaomba game isogezwe mbele hakutakiwi kuwa jambo la ajabu na la kuleta majadiliano kwa mashabiki. Ukizingatia wapo huko wanafanya jambo ambalo ni dhahiri lina nina njema kwa taifa, ni suala la uungwaji mkono. Kesho Mbeya City anaweza kuwacheki Simba, wakamuomba mchezaji fulani. Inakuwa rahisi kuwapa ushirikiano na hata kuwapa favour kubwa bila kuondoa dhana ya ushindani kati ya timu na timu. Huo ndiyo mpira wa kisasa ulivyo. Kwenye biashara back deals zinafanyika kila siku na maisha yanaenda.
 
Ulichoongea unakielewa kweli? Kama hakuna mambo ya kupumzikia kwanini timu yako ya Simba wameomba kupumzika na TFF kuwakubalia?
Ndugu yangu wewe shida yako ni moja tu. Unataka kushindana na kauli ya ALHAJ Ismail Aden.
 
Hamna schedule iliyoingiliana mlilikoroga wenyewe. Nimekuuliza nipe ratiba ya kati ya game ya Tunisia na Kagera Sugar zilikuwa zinapita siku ngapi?

Hiyo kuunganisha ndege siyo jambo la ajabu, mbona Tunisia huko mliungaunga ndege.
Tulilikoroga wenyewe HOW?Wakati tokea msafara wa Yanga unaanza kutoka Tunisia Azam Media watangazaji wao walikuwa wana report au ndio USHABIKI kisa sio Yanga?

Hujanijibu mjadala ulianzisha ?

Mapro hawana mambo hayo ya kupumzika."

👇👇👇👇
"Nitajie timu yoyote ulaya unayo ijua wewe ambayo iliunganisha mechi bila kupumzika hata siku nitajie hapa"
 
Back
Top Bottom