Tetesi: Simba kuomba mechi yao ya ligi dhidi ya Mbeya city kuahirishwa

Tetesi: Simba kuomba mechi yao ya ligi dhidi ya Mbeya city kuahirishwa

Klabu kongwe hapa nchini Simba S.C ipo mbioni kukiandikia barua chama cha soka nchini TFF ya kuomba kusogezwa mbele kwa mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya city uliopangwa kupigwa tarehe 17 Jan kwenye uwanja wa Benjamin mkapa.

Hatua iyo imekuja baada ya Simba S.C kuwa na mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi hapo tarehe 15 Jan pambano litakalopigwa huko Dubai hivyo kuwafanya Simba washindwe kuwahi mchezo huo wa ligi.

Kwenu TFF mjiandae kupangua ratiba kwa maslahi mapana ya soka letu maana Simba anawakilisha nchi huko Dubai kwenye mechi za kirafiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tifua tifua na bodi ya ligi kazi kwenu 😀
 
CSKA Moscow haitambuliwi FIFA, Russia wamefungiwa mpaka kwenye masuala ya soka.
 
Klabu kongwe hapa nchini Simba S.C ipo mbioni kukiandikia barua chama cha soka nchini TFF ya kuomba kusogezwa mbele kwa mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya city uliopangwa kupigwa tarehe 17 Jan kwenye uwanja wa Benjamin mkapa.

Hatua iyo imekuja baada ya Simba S.C kuwa na mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi hapo tarehe 15 Jan pambano litakalopigwa huko Dubai hivyo kuwafanya Simba washindwe kuwahi mchezo huo wa ligi.

Kwenu TFF mjiandae kupangua ratiba kwa maslahi mapana ya soka letu maana Simba anawakilisha nchi huko Dubai kwenye mechi za kirafiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chanzo Cha habari hizi,tusizue taharuki kwa vilabu vingine na TFF

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Klabu kongwe hapa nchini Simba S.C ipo mbioni kukiandikia barua chama cha soka nchini TFF ya kuomba kusogezwa mbele kwa mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya city uliopangwa kupigwa tarehe 17 Jan kwenye uwanja wa Benjamin mkapa.

Hatua iyo imekuja baada ya Simba S.C kuwa na mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi hapo tarehe 15 Jan pambano litakalopigwa huko Dubai hivyo kuwafanya Simba washindwe kuwahi mchezo huo wa ligi.

Kwenu TFF mjiandae kupangua ratiba kwa maslahi mapana ya soka letu maana Simba anawakilisha nchi huko Dubai kwenye mechi za kirafiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakibariki hili ntashangaa Sana,,ilihali Yanga aliomba mechi yake ipelekwe mbele kisa anacheza kimataifa lakini walikataa
 
Leta hiyo barua waliyaondika simba kwa tff,tuione wote
 
Washazoea Viporo, Yanga tumetoka Tunisia tukaunga mpaka Kaitaba,tukacheza na Kagera Sugar kwenye uwanja mbovu wenye matope hatukupumzika.
Jamaa Acha uongo basi hivi Ile mechi mlicheza kaitaba kweli?! Au kaitaba ipo mwanza?
 
Mwaka flani yanga ilibidi akacheze mtwara na ndanda na walikua wakabiziwe ubingwa wao ajabu wakaomba tff mechi ipigwe Taifa na ikawa ivyo
 
Jamaa Acha uongo basi hivi Ile mechi mlicheza kaitaba kweli?! Au kaitaba ipo mwanza?
Tuambie tulicheza wapi? Hataka kama tulicheza sehemu nyingine ila ninachokumbuka timu haikupumzika,ilichofanya kubdilisha ndege baada ya kufika uwanja wa mwaimu Nyerere wakachukua ndege nyingine na kesho yake wakacheza.
 
Hii timu inastahili kabisa kuitwa mbumbumbu fc!

Ukiwauliza huko Dubai wameenda kufanya nini, hawawezi kukupa jibu sahihi. Zaidi watakutukana tu, na kukuambia eti 'una wivu'

TFF na Bodi ya Ligi, wakiahirisha hiyo mechi! Nitaamini na wenyewe wanafungamana na hao mbumbumbu kwa 100%
Kama walivyoruhusu manyani flani kumsajili Tusila Kwa kupindisha sheria
 
Niliwadharau bodi ya ligi baada ya ligi baada ya kuiruhusu yanga kumsajiri kisinda na kumficha kambole huku yanga ikidanganya kambole amesajiliwa uganda. TFF hovyo kabisa
Hata mie imenishangaza sana hii. Kwa mwendo huu Uganda watatuburuza sana katika soka
 
Tuambie tulicheza wapi? Hataka kama tulicheza sehemu nyingine ila ninachokumbuka timu haikupumzika,ilichofanya kubdilisha ndege baada ya kufika uwanja wa mwaimu Nyerere wakachukua ndege nyingine na kesho yake wakacheza.
Mlicheza kaitaba mwanza
 
Hii timu inastahili kabisa kuitwa mbumbumbu fc!

Ukiwauliza huko Dubai wameenda kufanya nini, hawawezi kukupa jibu sahihi. Zaidi watakutukana tu, na kukuambia eti 'una wivu'

TFF na Bodi ya Ligi, wakiahirisha hiyo mechi! Nitaamini na wenyewe wanafungamana na hao mbumbumbu kwa 100%
Wafungamane mara ngapiiii shougaaa angu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna wamefungamama na utopoloo kumdhulumu haki yake Fei hujaona?? Kunywa majii mengii afu pumzikaaaa.

Poleeeee mwayaaaaaaa.
 
Waliongea na ndanda...so ilikuwa biashara hakuna ubaya mkuu kubaliana kumbuka mwwnyeji ndo mwenye last say.. nq kibongobongo hela ni tatizo Kwa timu ndogo
Ila tff ilibid wapinge sababu ata kule mtwara nako wangepewa medali zao na kutangazwa au utofaut ulikua wapi?
 
Back
Top Bottom