The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu