Simba kwanini kiingilio kisingekuwa elfu kumi kama Yanga??

Simba kwanini kiingilio kisingekuwa elfu kumi kama Yanga??

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....

Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....

Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...

Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...

Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
 
Bahati Mbaya Mashabiki na VIONGOZI wengi wa hizi timu hupenda kuzilinganisha.

Hizi timu zimekuwa changamoto mno kwenye hili Taifa
Kila Baada ya dakika Tano Simba yanga.

Kila timu ifanye yake.
NB.
NATAMANI HIZI TIMU ZIFE KABISA, KUPUNGUZA IDADI YA MACHIZI SOKA.
 
Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....

Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....

Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...

Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...

Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Kila mtu akae kwenye level zake hata beer Heineken na Balimi haziwezi kua bei sawa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ukubwa wa Simba unafahamika wala haikuhitajika kuweka kiingilio cha juu ili ku prove kitu.

Mashindano yaliyokuwa sahihi kupima nguvu ya mashabiki yalifanyika na kuna timu ilitupa taulo mapema kabla ya competition kufika tamati.

Au mmesahau ile competition ya nani zaidi?

Yanga walichanga shingapi?
 
Bahati Mbaya Mashabiki na VIONGOZI wengi wa hizi timu hupenda kuzilinganisha.

Hizi timu zimekuwa changamoto mno kwenye hili Taifa
Kila Baada ya dakika Tano Simba yanga.

Kila timu ifanye yake.
NB.
NATAMANI HIZI TIMU ZIFE KABISA, KUPUNGUZA IDADI YA MACHIZI SOKA.
NATAMANI HIZI TIMU ZIFE KABISA, KUPUNGUZA IDADI YA MACHIZI SOKA. Hii nmeipenda mno.
 
Kikubwa mashabiki wapate burudani kutoka kwa wachezaji wachezaji wa timu yao kwa gharama nafuu, watu elfu 60 sio wachache
 
Singida ilikua buku 3 Simba buku 5 Yanga buku 10 ni levels tu nothing more nothing less

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Singida pamoja na uchanga wao hatujasikia habari za open dogs (fungulia mbwa)

Hiyo buku 10 unayotambia usisahu kutoa shukurani kwa hawa wazalendo waliotoa ticketi za free boti

Screenshot_20230805-235149.png


Lakini pia pamoja na freeboti still haikusaidia kuweza kujaza watu uwanjani.

Blood donation mkai transform kutoka kwenye kujitolea kwenda kwenye biashara nyingine ya malipo ya tiketi.

Hiyo pia inaonesha hamna washabiki ambao wako willing kujitolea damu free bila expectations of something in return.

Kutoka kwenye plan A hadi plan Z ya kufungulia mageti wazi.



Bado nayo fungulia mbwa haikuonesha matokeo ya kuridhisha kama ilivyotegemewa.

Ikabidi mkodi maskauti kukamata wapita njia na kulazimisha waingie uwanjani bila kupenda. Nayo haikusaidia pia.

Hapa nakumbuka kauli ya Hersi

Alisema mtu yuko zake huko hachangii chochote anakula tu mihogo halafu timu ikipata matokeo mabaya anaanza kulauumu viongozi na kudai yeye ndio mwenye uchungu na timu.

Na pia nakumbuka ile kauli ya Manara kuwa asiyelipia 29,000 ya kadi asiruhusiwe kuchangia kwenye magrupu ya wasap.

Haya yote maneno yaliyolewa kufuatia ushirikiano mdogo kutoka kwa mashabiki kwenye kuisadia timu.
 
Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....

Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....

Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...

Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...

Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Una hoja mkuu.
 
Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....

Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....

Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...

Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...

Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu

Great Thinker.... ✔️ ✔️ ✔️
 
Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....

Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....

Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...

Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...

Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Wamejifunza kutoka kwa yaliyowatokea Yanga, so si vibaya kujirekebisha kwa faida ya familia ya soka.
 
Kama suala ni hela yafaa nini kuweka kiingilio ambacho hakikupi hela? Kuweka kiingilio cha 10000 sio guarantee kwamba utapata hela nyingi kuliko alieweka kiingilio kidogo.
 
Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....

Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....

Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...

Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...

Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Yanga ndio waliwaiga Simba katika suala zima la hili tamasha hivyo ni dhambi kubwa Simba kuiga kinachofanywa na Yanga
 
Back
Top Bottom