Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipaumbele chetu Kikuu ni Burudani kwa Wote na siyo kuweka Kiingilio Kikubwa ili Kukidhi Njaa zenu tukuka, mpate Fedha za Kumalizia Usajili na nyinginezo za Kulipia Madeni Sugu mbalimbali mnayodaiwa na makubwa yakiwa ni ya Wale Waganga wa Kienyeji Wawili wa Kilosa Morogoro na wa Mwandiga Kigoma.Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Huyo wa ten alifosi tu ndiomaana ukaona fungulia dogSingida ilikua buku 3 Simba buku 5 Yanga buku 10 ni levels tu nothing more nothing less
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Pokea maua yako Mkuu. Wenye akili hawashindanii vitu vya kitoto.Mashindano ya kujaza uwanja ni ujinga wa hali ya juu kwa soka la sasa
Simba haiwachukulii mashabik wake km wateja bali km familia na ndio maana wameweka kiingilio kidogo ili kila mmoja amudu kuingia wajumuike pamoja kwenye tamashaMimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Alooooo!!! Utopolo washenz sanaNa ndio maana ilihitajika fungulia mbwa kwasababu type ya mashabiki ni ile level ya ku afford Balimi
Halafu mkuu unazingua ujue, vipimo vinaonyesha kuna kipindi ulibadili avatar ukaweka ambayo hata hatujaizoea wala haikufananii.
Sio hela za simba zinazofanya izo kufuru ni hela za mo. Ngojea siku akizira mtakavyotafutanaKwa sababu simba hatuna njaa, na kwa kukuthibitishia hilo timu imetoka ulaya ilipokua imeweka kambi ya muda mrefu (preseason),, uliza hao ndugu zetu walikua wapi ?
Kwa hiyo GSM hawezi kuzira?Sio hela za simba zinazofanya izo kufuru ni hela za mo. Ngojea siku akizira mtakavyotafutana
Itakua kuna mtu ameifanana ID yako, ngoja nimtafute, nikimpata nitaku tag, huenda ni pacha wako or fan wakoHii Avatar ina miaka 9 tangu niiweke bila kubadilisha.
Kama ni wa level hizo iweje viti ndio vilikuwa vingi vikimshangilia skudu?Singida ilikua buku 3 Simba buku 5 Yanga buku 10 ni levels tu nothing more nothing less
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kumbuka siku ya mwananchi ya msimu wa 22/23 linganisha na Simba day ya 22/23 kiingilio kilikuaje afu rudi uupitia uzi wakoMimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Itakua kuna mtu ameifanana ID yako, ngoja nimtafute, nikimpata nitaku tag, huenda ni pacha wako or fan wako
Yanga na Simba wanatofautiana malengo. Yaweza kuwa Yanga lengo ni kupata pesa, Simba lengo si pesa bali kuiweka timu karibu na mashabiki hivyo lazima mashabiki wawe wengi.Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Sawa tutakutana mwisho wa msimuSingida pamoja na uchanga wao hatujasikia habari za open dogs (fungulia mbwa)
Hiyo buku 10 unayotambia usisahu kutoa shukurani kwa hawa wazalendo waliotoa ticketi za free boti
View attachment 2709635
Lakini pia pamoja na freeboti still haikusaidia kuweza kujaza watu uwanjani.
Blood donation mkai transform kutoka kwenye kujitolea kwenda kwenye biashara nyingine ya malipo ya tiketi.
Hiyo pia inaonesha hamna washabiki ambao wako willing kujitolea damu free bila expectations of something in return.
Kutoka kwenye plan A hadi plan Z ya kufungulia mageti wazi.
View attachment 2709636
Bado nayo fungulia mbwa haikuonesha matokeo ya kuridhisha kama ilivyotegemewa.
Ikabidi mkodi maskauti kukamata wapita njia na kulazimisha waingie uwanjani bila kupenda. Nayo haikusaidia pia.
Hapa nakumbuka kauli ya Hersi
Alisema mtu yuko zake huko hachangii chochote anakula tu mihogo halafu timu ikipata matokeo mabaya anaanza kulauumu viongozi na kudai yeye ndio mwenye uchungu na timu.
Na pia nakumbuka ile kauli ya Manara kuwa asiyelipia 29,000 ya kadi asiruhusiwe kuchangia kwenye magrupu ya wasap.
Haya yote maneno yaliyolewa kufuatia ushirikiano mdogo kutoka kwa mashabiki kwenye kuisadia timu.