Kipaumbele chetu Kikuu ni Burudani kwa Wote na siyo kuweka Kiingilio Kikubwa ili Kukidhi Njaa zenu tukuka, mpate Fedha za Kumalizia Usajili na nyinginezo za Kulipia Madeni Sugu mbalimbali mnayodaiwa na makubwa yakiwa ni ya Wale Waganga wa Kienyeji Wawili wa Kilosa Morogoro na wa Mwandiga Kigoma.
Na kingine Simba SC ni Timu iliyo chini ya Mwekezaji Bilionea ambaye Afrika na hata Kwingineko duniani wanamjua hivyo ni Aibu Timu kwa Bilionea kuweka Kiingilio Kikubwa kumaliza Shida za Klabu na Kukomoa Mashabiki.
Simba SC ina Mwekezaji Bilionea mwenye Fedha na Utajiri wa halali ila kuna Timu zingine hapa duniani ( siyo Tanzania ) zina zina Matajiri Mafia, Majambazi, wakwepa Kodi, Wahujumu Uchumi, Wauza Dawa za Kulevya, Wadhulumati wa Mali za Watu na sasa Utajiri wao uneongezeka baada ya Mwanamke Mmoja kwa Kushirikiana na Mwanaume wake wa Siri ( sasa hana Kazi Kapumzika ) wamemuunganisha Tajiri huyo kubeba Silaha zote zinazotoka Bahari inayogombewa na Wadubai kwenda Congo DR huku Gari zake zingine zikibeba Madini na Makaa ya Mawe ndani ya nchi ya waliompa hiyo Dili.
Cc:
SAGAI GALGANO,
cocastic,
rodrick alexander etc