min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ivi hizo balimi bado zipo?Na ndio maana ilihitajika fungulia mbwa kwasababu type ya mashabiki ni ile level ya ku afford Balimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi hizo balimi bado zipo?Na ndio maana ilihitajika fungulia mbwa kwasababu type ya mashabiki ni ile level ya ku afford Balimi
Kama wanajipenda wajaribu iyo elfu kumi uone, usiige kunya kwa tembo utapasuka msamba, yanga keshaseti standard yake ya viingilio kulingana na thamani yake sokoni kwa sasa na sio suala la kuwafurahisha watu wakati moja ya vyanzo vya mapato ya klabu inatakiwa itoke kwenye get collection, wachezaji wanasajiliwa kwa mamilioni ya pesa na shabiki anahitaji matokeo bora uwanjani ni lazima na yeye awe source ya mapato ndani ya klabu sio kuwa mpiga kelele tu kuwalaumu viongozi wakati achangii chochote, kwa maana iyo kila klabu ina malengo yake simba kachagua kufurahisha genge kujaza uwanjani kwa kiingilio icho cha buku 3 na wenzao yanga walichagua kuendelea kuipa nguvu ya kiuchumi klabu kupitia get collection kwa kiingilio cha elfu kumi, Timu mbili malengo tofauti, na simba awawezi kuthubutu kuweka icho kiingilio wanajua wataangukia pua vibaya sanaMimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Tunakwenda na details bwana wewe, shabiki mmoja wa yanga aliyeingia kwa buku kumi ni sawa mashabiki wawili wa simba walioingia kwa buku 5, Sasa kwenye makusanyo mnakuwaje sawa? Izo hesabu za memkwa au?Kama suala ni hela yafaa nini kuweka kiingilio ambacho hakikupi hela? Kuweka kiingilio cha 10000 sio guarantee kwamba utapata hela nyingi kuliko alieweka kiingilio kidogo.
Unapigia hesabu hewa. Suala sio hiyo 10000 au 5000 suala ni idadi ya mashabiki wangapi wameingia. Kiasi cha hela=kiingilio×idadi ya mashabiki. Sasa wewe wa 10000 umeingiza mashabiki 15000 na wa 5000 ameingiza mashabiki 45000 unafikiri yupi ameingiza kiasi kikubwa cha hela.Tunakwenda na details bwana wewe, shabiki mmoja wa yanga aliyeingia kwa buku kumi ni sawa mashabiki wawili wa simba walioingia kwa buku 5, Sasa kwenye makusanyo mnakuwaje sawa? Izo hesabu za memkwa au?
hesabu ndogo inakushindaUnapigia hesabu hewa. Suala sio hiyo 10000 au 5000 suala ni idadi ya mashabiki wangapi wameingia. Kiasi cha hela=kiingilio×idadi ya mashabiki. Sasa wewe wa 10000 umeingiza mashabiki 15000 na wa 5000 ameingiza mashabiki 45000 unafikiri yupi ameingiza kiasi kikubwa cha hela.
Lini Yanga walishawahi jaza uwanja pasipo ticketi za bure za mafungu za kununuliwa? Mimi Yanga lia pia ila tu kwa mashabiki kujitoa uwanjani simba hatuwafikiiMimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Sijui manfikiri kwa kutumia nini. Nimekupa hadi formula na mfano lakini bado huelewi. Kiingilio cha 10000 hakikupi uhakika kwamba utakusanya kiasi kikubwa cha fedha kuliko wa kiingilio kidogo sababu ni kwamba inategemea ni watu wangapi wametoa hivyo viingilio kwa kila upande. Kama hesabu ndogo kama hiyo huelewi basi kwa huo ukilaza wako sina namna ya kukuelewesha zaidi.
Yanga aijawai kuwa na shabiki boya boya kama wewe usituchafulie hali ya hewa hapa, tokea lini ukawa shabiki wa yanga wewe?Lini Yanga walishawahi jaza uwanja pasipo ticketi za bure za mafungu za kununuliwa? Mimi Yanga lia pia ila tu kwa mashabiki kujitoa uwanjani simba hatuwafikii
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Sasa kama mwenzako kashindwa kujaza uwanja kwa elfu kumi na wewe unataka waweke elfu kumi ili iweje?Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Wale wa "fungulia mbwa"? Ni kweli si haba.
Kuna Kitu tuna paswa kujuaMimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....
Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....
Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...
Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...
Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Wewe ni Yanga lia lia kwenye nini?Lini Yanga walishawahi jaza uwanja pasipo ticketi za bure za mafungu za kununuliwa? Mimi Yanga lia pia ila tu kwa mashabiki kujitoa uwanjani simba hatuwafikii
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Hao walioweza kutoa elf 10 ndio mashabiki halisi hatuhitaji kujaza uwanja kwa sifa za kijingaKuna Kitu tuna paswa kujua
Je kipato cha watu wengi wanao enda kuiangalia matukio kama hayo kikoje?
Iyo elf tano ni kubwa sana kwa wengi ndio mana ipo hivyo lengo sio kupima kipato lengo ni kupima mwitikio wa mashabiki
Yanga na mashabiki wengi Sana wslikasirika kuwekewa elf 10 hawakusema hadharan Lakin wame kili hilo kwenye magroup yao
Hesabu ya pesa hai hitaji kwenda shule watu elfu 60= kwa elfu 5 ni sh ngapi ? na watu elf 44 kwa buku 10 ni sh ngapi?Sijui manfikiri kwa kutumia nini. Nimekupa hadi formula na mfano lakini bado huelewi. Kiingilio cha 10000 hakikupi uhakika kwamba utakusanya kiasi kikubwa cha fedha kuliko wa kiingilio kidogo sababu ni kwamba inategemea ni watu wangapi wametoa hivyo viingilio kwa kila upande. Kama hesabu ndogo kama hiyo huelewi basi kwa huo ukilaza wako sina namna ya kukuelewesha zaidi.
Nani amekuambia lengo ni kuujaza uwanja? Lengo ni kutambulisha kikosi cha msimu mpya, hayo mengine yanakuja automatically. Kama Simba angeanza kufanya Simba Day kabla ya Yanga Day na kiingilio kikawa hivyo hivyo, uzi wako ungesomekaje katika title? Ficha ujingaNaona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...
Aliyeweka kiingilio cha elfu 10 wakiingia watu elfu 30 tu mnakua sawa na wewe uliyejaza uwanja watu elfu 60Kama suala ni hela yafaa nini kuweka kiingilio ambacho hakikupi hela? Kuweka kiingilio cha 10000 sio guarantee kwamba utapata hela nyingi kuliko alieweka kiingilio kidogo.