Simba kwanini kiingilio kisingekuwa elfu kumi kama Yanga??

Hii ndonga imetulia
 
Kwa sababu simba hatuna njaa, na kwa kukuthibitishia hilo timu imetoka ulaya ilipokua imeweka kambi ya muda mrefu (preseason),, uliza hao ndugu zetu walikua wapi ?
Walikuwa wanashindia ugali kwa sukari hapo gezaulole.
 
YANGA kwanini kiingilio kisingekua elfu 5 kama Simba
 
Kwahiyo Kila kinachofanywa na Yanga simba nao wafanye hivyo?

Yanga walichagua kutafuta hela ya kumbakisha mayele bado ikashindikana Mashabiki wakasusa kuingia uwanjani.

Simba wamechagua kuwaleta Mashabiki karibu na timu yao kwa kuweka kiingilio rafiki halafu mnataka kuwapangia cha kufanya.Huu ni uzuzu
 
Ni timu mbili tofauti kabisa. Na pia jilani yako akiwa kipele ndio n ww uwe kipele?
Asante.
 
Simba ishaacha kushindana na hawa vyura ,kwasasa inafanya mambo yake,ndio maana Simba inafanya vitu tofauti ili isionekane inashindana na hawa waokota makopo😅😂
 
Kama suala ni hela yafaa nini kuweka kiingilio ambacho hakikupi hela? Kuweka kiingilio cha 10000 sio guarantee kwamba utapata hela nyingi kuliko alieweka kiingilio kidogo.
Yanga iliingiza mashabiki 44000 kwa kiingilio cha 10k. Simba hata mjaze Uwanja full house kwa 5k hamfikii hiyo hela ya Yanga.
 
Ikiwa uwanja ume jaa simba wameingiza bei gani?
 
Yanga iliingiza mashabiki 44000 kwa kiingilio cha 10k. Simba hata mjaze Uwanja full house kwa 5k hamfikii hiyo hela ya Yanga.
Hongera kwa kujifariji. Wapi na lini yanga walitamka wameingiza hao mashabiki?
 
Yanga iliingiza mashabiki 44000 kwa kiingilio cha 10k. Simba hata mjaze Uwanja full house kwa 5k hamfikii hiyo hela ya Yanga.
Tunawapongeza , Maana iliwasaidia kumlipa Luc Eymael pamoja na kuwaita manyani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…