sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
MGraphics za leo ni zaidi ya Uchale Chaplin
Halaf tumeambiwa wamekesha usiku kucha ili Dunia itingishike.
Labda ile Dunia Tambara Bovu, Sio Dunia hii ya 🌎 🤪🤪
Nb;; mkipeana kazi kiudugu Quality itaamua baadae, hii mambo ya Mtoto wa Mjomba sijui Mtoto wa Bamdogo,,inazidiwa na ubora mabibi na mabwana.
Kubwa kuliko ipo njiani msijitoe fahamu.
hebu cheki tela la Yanga, unaweza kulinganisha na hio charlie chaplin?