Simba kwenye graphics designing na videography wamedoda, wanarudia mambo ya mwaka 1920 enzi za Charlie Chaplin, kazi wanapeana kindugu

Simba kwenye graphics designing na videography wamedoda, wanarudia mambo ya mwaka 1920 enzi za Charlie Chaplin, kazi wanapeana kindugu

View attachment 2289094

MGraphics za leo ni zaidi ya Uchale Chaplin

Halaf tumeambiwa wamekesha usiku kucha ili Dunia itingishike.

Labda ile Dunia Tambara Bovu, Sio Dunia hii ya 🌎 🤪🤪

Nb;; mkipeana kazi kiudugu Quality itaamua baadae, hii mambo ya Mtoto wa Mjomba sijui Mtoto wa Bamdogo,,inazidiwa na ubora mabibi na mabwana.

Kubwa kuliko ipo njiani msijitoe fahamu.

hebu cheki tela la Yanga, unaweza kulinganisha na hio charlie chaplin ??
View attachment 2289335
Yaan mtakimbiana endapo graphics ziwe kali ila mchezaji ana zimia kiwanjan ... Binafsi nina mashaka sana na yule mgonjwa toka Newcastle asije akazimia
 
Ubunifu ni kuweka maudhui yanayofanya content ilete maana wa njia inayofanya matukio yavutie na yasitoje nje ya ujumbe ....

Sheria za mitandao ya kijamii kwenye fair use policies zimeruhusu matumizi ya vipande vidogo vya video za miziki cisivyozidi sekunde tano.

Kuna sheria za ziada kama ceative content, hizi ni video ambazo hazina haki miliki, zinaweza kutumika popote na mtu yeyote, haya mambo si ya kukurupuka.

Tatizo haya mambo hata fundi gereji leo nae anataka kujifanya anajua graphics kisa kaona tu kwamba kuna kipande kidogo cha video flani imetumika Yanga... hizi ni fani za watu aisee, si kitu cha kujifanya unakijua ndan ya dakika.

kama mnaona ni kosa, mkashtaki ili mpewe elimu vizuri.
Unatumia nguvu nyng sana kutetea ujinga

Nakujuza na hii kwenye video ya yule mrundi alietoka uingereza ya ikwiriri

Nae kuna kipande cha video cha copy n paste

Hyo nayo bdo unaona sawa na ni ubunifu wa kujisifia

Aiseee em kwenye nyekundu tuseme nyekundu mambo ya kutetea nnya kuita futar kisa tu uokoe jahaz ni ujinga

Unataka kusema kutengeneza kitu kipya bila kuweka vionjo vya wengine haiwezekan.
 
Simba ndio team ya Kwanza East Africa na Kati kuanza kutumia platforms zao kisasa, na kila mtu alipenda, sio Simba tu bali ata Yanga walipenda, na ndio sababu ya Simba kuwa inafatiliwa sana mitandaoni ukiacha sababu zingine

Leo hii Yanga wamekuwa Bora wa kuwaangalia Simba wanafanya nini, Yanga kaanza kujitahidi kwenye upande wa ubora wa content msimu uliopita ndio na wao wakaanza kutumia platforms zao vizuri

Ni kawaida Kwa mwanzilishi wa Jambo Fulani kuendelea kulifanya kwa mazoea kabla hajapata ushindani wa kweli, kwahiyo Simba aliwaacha mbali Sana wengine ukanda huu na hivi sasa amepata challenge ya ukweli kutoka Yanga

Kwa Simba ni Jambo la kuboresha tu kwakuwa washajua wamepata ushindani, platform za Yanga zilikuwa hazivutii kuzifatilia maana zilikaa kizee na kizamani sana na ndio sababu ya kuwa na wafuasi wachache kuliko Simba

Kufanya vizuri/kujitahidi Kwa Yanga naona kama watu wamesahau kuwa ni Simba ndio iliyofanya Yanga iwe vizuri,ni swala la muda tu Kwa Simba kuanza kuzalisha vitu bora kulingana na ushindani uliopo saizi

Simba imekuwa Bora sana kwenye social network platforms Kwa miaka karibia 5 mfululizo ila cha ajabu haijawahi kutumika nguvu kubwa hivi kuisifia au kuiponda Yanga kama nguvu inayotumika Leo hii

Wachambuzi kuanzia kwenye Media zao hadi account za mitandao yao ya kijamii ni wazi kuwa wanatumia nguvu kubwa sana kuiponda Simba na kuisifia Yanga, kuna muda nahisi itakuwa kuna campaign Fulani ipo behind the scene

Japokuwa ni kweli Yanga wanafanya vizuri ila Kinachoendelea hivi sasa ni kama vile ilivokuwa kwenye utawala wa hayati Magufuri yani we sifia tu, sifia tu haijarishi unasifia nini we sifia tu na usisahau kuuponda upinzani
Maoni ya mwenye akili, safi kabisa Mkuu.
 
Wabongo walivyo mazuzu wanatembelea upepo wa waandishi wa habari wa mchongo wanaamini videos ziking'aa ndo nzuri badala ya kuangalia creativity.
 
Adele katoa single yake ya hello 2015 in B&W na bado imegonga views zaidi ya Bilion huko youtube

Wala huwezi kuona wenye akili timamu wana kandia hiyo video kwa kuiponda imechukua style ya zamani kwakua tu ina B&W.

Manara na wapambe zake sijui kama wana utaalamu wa B&W kwenye media

Kuhusianisha B&W na zama za kale hiyo tu ni kigezo tosha kujua uwezo wa mtu katika kupambanua mambo

Kuweka matukio katika jambo ambalo ni la siri kwa mfumo wa B&W ni jambo bora maradufu kuliko content ya rangi kwasababu rangi ina reveal informations nyingi

Na sometimes B&W ina indicate valuable msome Grant hapo chini

View attachment 2289104
Hawana akili za kuchambua mambo hao utopolo zaidi ya kufuata manara kasema nn kwa mfano ukiangalia videos za wizkid you tube ni kama za champlin ila ndo msanii kila siku anachukua video bora kwenye tuzo yule jamaa wetu wa tandane anatoa videos zinang'aa lakini anatoka patupu watu wanaagalia creativity sio mng'ao na copy and paste.
 
Wabongo walivyo mazuzu wanatembelea upepo wa waandishi wa habari wa mchongo wanaamini videos ziking'aa ndo nzuri badala ya kuangalia creativity.
Creativity Kama Hiii

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20220714_102524.jpg
 
Simba ndio team ya Kwanza East Africa na Kati kuanza kutumia platforms zao kisasa, na kila mtu alipenda, sio Simba tu bali ata Yanga walipenda, na ndio sababu ya Simba kuwa inafatiliwa sana mitandaoni ukiacha sababu zingine

Leo hii Yanga wamekuwa Bora wa kuwaangalia Simba wanafanya nini, Yanga kaanza kujitahidi kwenye upande wa ubora wa content msimu uliopita ndio na wao wakaanza kutumia platforms zao vizuri

Ni kawaida Kwa mwanzilishi wa Jambo Fulani kuendelea kulifanya kwa mazoea kabla hajapata ushindani wa kweli, kwahiyo Simba aliwaacha mbali Sana wengine ukanda huu na hivi sasa amepata challenge ya ukweli kutoka Yanga

Kwa Simba ni Jambo la kuboresha tu kwakuwa washajua wamepata ushindani, platform za Yanga zilikuwa hazivutii kuzifatilia maana zilikaa kizee na kizamani sana na ndio sababu ya kuwa na wafuasi wachache kuliko Simba

Kufanya vizuri/kujitahidi Kwa Yanga naona kama watu wamesahau kuwa ni Simba ndio iliyofanya Yanga iwe vizuri,ni swala la muda tu Kwa Simba kuanza kuzalisha vitu bora kulingana na ushindani uliopo saizi

Simba imekuwa Bora sana kwenye social network platforms Kwa miaka karibia 5 mfululizo ila cha ajabu haijawahi kutumika nguvu kubwa hivi kuisifia au kuiponda Yanga kama nguvu inayotumika Leo hii

Wachambuzi kuanzia kwenye Media zao hadi account za mitandao yao ya kijamii ni wazi kuwa wanatumia nguvu kubwa sana kuiponda Simba na kuisifia Yanga, kuna muda nahisi itakuwa kuna campaign Fulani ipo behind the scene

Japokuwa ni kweli Yanga wanafanya vizuri ila Kinachoendelea hivi sasa ni kama vile ilivokuwa kwenye utawala wa hayati Magufuri yani we sifia tu, sifia tu haijarishi unasifia nini we sifia tu na usisahau kuuponda upinzani
Comment bora kabisa hii
 
KUPANGA NI KUCHAGUA.

Unaweza kuwanunua waandishi na wachambuzi ili kuwaaminisha watu kila unachofanya wewe ndio kuzuri na kila wanachofanya wenzio hakina maana yoyote ni kila kinachofanywa na wengine na sio wewe basi hicho kitu ni kitu cha hovyo.

Unaweza kuwadanganya watu wachache kwa muda mfupi ila kumbuka huwezi kuwadanganya watu wengi tena kwa muda mrefu.

Unaweza kutengeneza bahasha nyingi sana ili kuwatuma chawa wako wakawaaminishe watu mtaro ni mkubwa kuliko mto. Au kwa kuwa unatoka mkoa wa Kilimanjaro basi utake watu waamini bwawa la nyumba ya Mungu lina samaki wengi kuliko ziwa victoria.

Unaweza kuwahadaa watu kwa kuacha kuzungumzia ukubwa wa tukio na kubuni kitu cha kuhamisha ujenzi wa ujenzi wa daraja kubwa la mto rufiji ili tu kufanya anayejenga daraja hilo aonekane ni mdogo kuliko kuliko anayejenga daraja la mto ng'ombe kwa kuwa tu nia yako ni kudogosha mambo makubwa yanayofanywa na walio sio wa upande wako. Au ukabeza nyumba inayojengwa ila ukazisifu nondo zinazojenga nyuma.

Ukifanikiwa leo kuwahadaa watu kwa kuwatuma chawa wasifu kila unachofanya na kubeza kila wanachofanya wengine kuna siku watu watajua na utajikuta uko uchi na utashindwa kuificha aibu yako.

Kuna uzi mwembamba sana umebaki kwa waandishi na wachambuzi kujitenga. Wapo watakaobaki na heshima na wapo watakaovuna aibu.

View attachment 2289378
Afu jamaa wakadai wamedizaini wao [emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2289094

MGraphics za leo ni zaidi ya Uchale Chaplin

Halaf tumeambiwa wamekesha usiku kucha ili Dunia itingishike.

Labda ile Dunia Tambara Bovu, Sio Dunia hii ya 🌎 🤪🤪

Nb;; mkipeana kazi kiudugu Quality itaamua baadae, hii mambo ya Mtoto wa Mjomba sijui Mtoto wa Bamdogo,,inazidiwa na ubora mabibi na mabwana.

Kubwa kuliko ipo njiani msijitoe fahamu.

hebu cheki tela la Yanga, unaweza kulinganisha na hio charlie chaplin?

View attachment 2289335
Wana yule kijana anayevimba hapo Twitter anaitwa given ndo anayefanya hizo mambo
 
Tatizo simba ni washamba wa kuvamia fani ambazo haziwahusu, mtu kama wewe tangu lini unajua ma,bo ya graohics?



Kuna vitu vinaitwa fair use policies, sheria za mitandao ya kijamii kuhusu utumiaji wa maudhui yenye haki miliki katika njia inayofaa, zinaruhusu mtu kuchukua kipande kidogo kutoka video nyingine na hapa kimetolewa kipande cha funguo tu na wala hakuna kosa maana hii video imetumika kwenye mitandao ya kijamii na sio kusema kwamba ni muziki utaomwingizia mwanamziki kipato au muvi ya kununua ..

Nadhani elimu kwa upande wa simba ni tatizo kubwa sana
Ungemwelewa alichokiandika usingepambana kujibu hivi aisee
 
Waandishi na wachambuzi wa bongo wengi wao wana upuuzi sana.
 
Graphics Designer Anachohakikisha Ni Bidhaa Za Mo Zinaonekana Vizuri Basi Vingine Inshaallah [emoji23]....Na PC Inayotumika Nasikia imenunuliwa Machinga Complex [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom