buhoro ksl
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 248
- 246
Mm simba damu...tuheshimiane dogoSimba gani wewe? Hakuna SIMBA mwoga kias hicho! tunakujua u mmoja wa matopolo.
kweli jombaWewe amka usingizini, wenye Yanga wamerudi baada ya kuhujumiwa wakati wa mwendazake.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kila mwaka Yanga huwa wanasajili hivihiviKiufupi ule ubabe wa Yanga aka uto in dhahiri umerejea. Naona wengi sas awanasimba tunawabeza lakini ukweli tusipoangalia hawa jamaa wanakuja kuchukua mafanikio yetu.
Kumbuka tuna wachezaji umri umewatupa kama John Boco, Onyango wakipata injury tu basi tumekwishamsimu ujao.
Mtopolo katika ubora wako.Kiufupi ule ubabe wa Yanga aka uto in dhahiri umerejea. Naona wengi sas awanasimba tunawabeza lakini ukweli tusipoangalia hawa jamaa wanakuja kuchukua mafanikio yetu.
Kumbuka tuna wachezaji umri umewatupa kama John Boco, Onyango wakipata injury tu basi tumekwishamsimu ujao.
Lekagashi nang'ho bhuholo mbongeMm simba damu...tuheshimiane dogo