Sikatai kaur yako ila unavyokua bora ww ndo njia ya wenzako kujua uzur wako na udhaifu wako mwsho wapo watu watakuja watakupa apo ulipo na ndio maana miaka minne nyuma simba ilijua ubora wa yanga wakajipanga na wao wakawaizd yanga vivyo ivyo ata kwa simba kuna yanga na azam sio kama wanarizka na ubora wa simba hapana na wao wanafanya juu chin sio kusubr simba ashuke ubora ikiwezekana ata kumshusha ,mm nakuakikishia hiv simba wasipofanya usajir zaid ya wachezaj wanne tena wa viwango ligi inayokuja watazd kupata tabu ya ndan mpaka ya nje wachezaj wa simba kuna baadh bado wana hali na uwezo wa kucheza ila weng wanategemea na ubora wa timu wanayokutana nayo ukitaka kuamin ilo angalia siku yanga akikamia mechi wachezaj wa simba wanavyopata shida au angalia mech ya kwanza ya kcfc kule south kama simba wangefanya vzur ktk dilisha dogo baada ya kufka robo final bas mwaka huu walikua wanaishia nusu au fainal maana walikua na njia rais kulko mwaka wowote lkn aya mazalau yao na kujiona wao kila mchezaj wao mzur yamewaponza na yatawaponza ,ufike wakat si sahihi kuoneana aibu au kuwakumbatia wachezaj kisa walifanya vzur miaka ya nyuma au ukimuacha atachukulia na timu fulan mtu kiwango kimeshuka aachwe aje mwingne ni bora ukawa na wachezaj 25 wenye viwango vzur kuliko kujaza ad 30 au zaid wengine ata mech ndogo ukiwapanga hawafany vzur tusiongee tu tumekua au tumeendelea kwa maneno kuendane na vtendo