Simba mbona hatujasajili mpaka sasa wakati Mo ameweka pesa? Yanga wanatunyang'anya mpaka wachezaji

Simba mbona hatujasajili mpaka sasa wakati Mo ameweka pesa? Yanga wanatunyang'anya mpaka wachezaji

Simba itasajili wachezaji watatu wa ndani pamoja na watatu wa kigeni.
Kuna forward toka Ubelgiji, Banda toka Malawi na Fraga anarejea
Yaani Simba usajili mchezaji kutoka Ubelgiji ipi ya ulaya au Ubelgiji ya Mwakaleli Mbeya?
 
Simba ya sasa haiongozwi kitopolo kama washamba wa Jangwani,usajili wa Simba unafocus zaidi CAF hapa ndani tushamaliza Simba ndo mbabe, tulia utaona mziki kwenye pitch pila biriani likitandazwa minyama ya kumwaga.
Hiz kaur zenu ndio mwisho tutakuja kuanza kusema hatuna bahat mara tumejitaid mara timu fulan wachaw ,simba ina ubora gan kuliko timu nyngne dunian mbona timu zote tetes zinaanza mwisho wanasajiliwa kwel ata kama sio wote waliousishwa na tetes na hii tabia ya simba kuanza kujiona wao ndo wamekua na kuendelea ikiota mizizi itawarudsha nyuma simba ni kama timu nyngne tu inakosea inapatia haitakiwa wajione wao wapo sawa na ndo wamejimilikisha mpra wa tz kama viongoz wataendeleza zalau zao watakuja kuona dilisha dogo lipo mbal ,mfano tuliona apa walijifanya wasiri ktk usajil mwsho wakasajil watu pasipo ata kucheza wakawavunjia mikataba cha msing wasikilize maon ya watu wasikilize maon ya kocha na mwsho kabisa wajue timu yao ina mapungufu tetes za usajil sio zambi
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Hiz kaur zenu ndio mwisho tutakuja kuanza kusema hatuna bahat mara tumejitaid mara timu fulan wachaw ,simba ina ubora gan kuliko timu nyngne dunian mbona timu zote tetes zinaanza mwisho wanasajiliwa kwel ata kama sio wote waliousishwa na tetes na hii tabia ya simba kuanza kujiona wao ndo wamekua na kuendelea ikiota mizizi itawarudsha nyuma simba ni kama timu nyngne tu inakosea inapatia haitakiwa wajione wao wapo sawa na ndo wamejimilikisha mpra wa tz kama viongoz wataendeleza zalau zao watakuja kuona dilisha dogo lipo mbal ,mfano tuliona apa walijifanya wasiri ktk usajil mwsho wakasajil watu pasipo ata kucheza wakawavunjia mikataba cha msing wasikilize maon ya watu wasikilize maon ya kocha na mwsho kabisa wajue timu yao ina mapungufu tetes za usajil sio zambi
Huu ni ukweli na wakumbuke popote kuliko na ombwe la taarifa lazima itafutwe au itokee taarifa ya kuziba obwe hilo. Sasa kuna wakuda wanatuambia tusubiri sie sio wa kusubiri mabaki bana.
 
Wewe topolo Simba ni timu ya 13 kwa ubora afrika, nyie gongo wazi 75 afrika. Washindani wa simba kwenye sajili afrika ni 13±10/15. Kwahiyo ni namba 1 mpaka 28 au top 30.
Utopolo 75±10/15 washindani wenu ni timu za kuanzia namba 60 mpaka 90. Kujifananisha na Simba ni kujipendekeza tu na kutafuta umaarufu
 
Hiz kaur zenu ndio mwisho tutakuja kuanza kusema hatuna bahat mara tumejitaid mara timu fulan wachaw ,simba ina ubora gan kuliko timu nyngne dunian mbona timu zote tetes zinaanza mwisho wanasajiliwa kwel ata kama sio wote waliousishwa na tetes na hii tabia ya simba kuanza kujiona wao ndo wamekua na kuendelea ikiota mizizi itawarudsha nyuma simba ni kama timu nyngne tu inakosea inapatia haitakiwa wajione wao wapo sawa na ndo wamejimilikisha mpra wa tz kama viongoz wataendeleza zalau zao watakuja kuona dilisha dogo lipo mbal ,mfano tuliona apa walijifanya wasiri ktk usajil mwsho wakasajil watu pasipo ata kucheza wakawavunjia mikataba cha msing wasikilize maon ya watu wasikilize maon ya kocha na mwsho kabisa wajue timu yao ina mapungufu tetes za usajil sio zambi
Simba ya sasa sio ya maneno mengi,focus ni kimataifa hapa Bongo tushamaliza kazi akuna wakutusumbua,tunapiga yeyote yule kama Bruce Lee,"dadadeki"
 
Simba ya sasa sio ya maneno mengi,focus ni kimataifa hapa Bongo tushamaliza kazi akuna wakutusumbua,tunapiga yeyote yule kama Bruce Lee,"dadadeki"
Sikatai kaur yako ila unavyokua bora ww ndo njia ya wenzako kujua uzur wako na udhaifu wako mwsho wapo watu watakuja watakupa apo ulipo na ndio maana miaka minne nyuma simba ilijua ubora wa yanga wakajipanga na wao wakawaizd yanga vivyo ivyo ata kwa simba kuna yanga na azam sio kama wanarizka na ubora wa simba hapana na wao wanafanya juu chin sio kusubr simba ashuke ubora ikiwezekana ata kumshusha ,mm nakuakikishia hiv simba wasipofanya usajir zaid ya wachezaj wanne tena wa viwango ligi inayokuja watazd kupata tabu ya ndan mpaka ya nje wachezaj wa simba kuna baadh bado wana hali na uwezo wa kucheza ila weng wanategemea na ubora wa timu wanayokutana nayo ukitaka kuamin ilo angalia siku yanga akikamia mechi wachezaj wa simba wanavyopata shida au angalia mech ya kwanza ya kcfc kule south kama simba wangefanya vzur ktk dilisha dogo baada ya kufka robo final bas mwaka huu walikua wanaishia nusu au fainal maana walikua na njia rais kulko mwaka wowote lkn aya mazalau yao na kujiona wao kila mchezaj wao mzur yamewaponza na yatawaponza ,ufike wakat si sahihi kuoneana aibu au kuwakumbatia wachezaj kisa walifanya vzur miaka ya nyuma au ukimuacha atachukulia na timu fulan mtu kiwango kimeshuka aachwe aje mwingne ni bora ukawa na wachezaj 25 wenye viwango vzur kuliko kujaza ad 30 au zaid wengine ata mech ndogo ukiwapanga hawafany vzur tusiongee tu tumekua au tumeendelea kwa maneno kuendane na vtendo
 
Sikatai kaur yako ila unavyokua bora ww ndo njia ya wenzako kujua uzur wako na udhaifu wako mwsho wapo watu watakuja watakupa apo ulipo na ndio maana miaka minne nyuma simba ilijua ubora wa yanga wakajipanga na wao wakawaizd yanga vivyo ivyo ata kwa simba kuna yanga na azam sio kama wanarizka na ubora wa simba hapana na wao wanafanya juu chin sio kusubr simba ashuke ubora ikiwezekana ata kumshusha ,mm nakuakikishia hiv simba wasipofanya usajir zaid ya wachezaj wanne tena wa viwango ligi inayokuja watazd kupata tabu ya ndan mpaka ya nje wachezaj wa simba kuna baadh bado wana hali na uwezo wa kucheza ila weng wanategemea na ubora wa timu wanayokutana nayo ukitaka kuamin ilo angalia siku yanga akikamia mechi wachezaj wa simba wanavyopata shida au angalia mech ya kwanza ya kcfc kule south kama simba wangefanya vzur ktk dilisha dogo baada ya kufka robo final bas mwaka huu walikua wanaishia nusu au fainal maana walikua na njia rais kulko mwaka wowote lkn aya mazalau yao na kujiona wao kila mchezaj wao mzur yamewaponza na yatawaponza ,ufike wakat si sahihi kuoneana aibu au kuwakumbatia wachezaj kisa walifanya vzur miaka ya nyuma au ukimuacha atachukulia na timu fulan mtu kiwango kimeshuka aachwe aje mwingne ni bora ukawa na wachezaj 25 wenye viwango vzur kuliko kujaza ad 30 au zaid wengine ata mech ndogo ukiwapanga hawafany vzur tusiongee tu tumekua au tumeendelea kwa maneno kuendane na vtendo
Mbona unaumia Sana kuliko hata wahusika!?
 
Nyani/Mbwa mnahangaika sana .... Hakuna mchezaji mwenye akili atakataa kuchezea Simba akaenda kuchezea Yanga. Hamna....niamini mimi. Simba hii inasajili kurekebisha team taratibu tu wala haina makeke. Banda Peter Tayari is Red.

Na nyie mnashangilia wachezaji waliochokwa kwao akina Makambo...
Screenshot_20210728-053640.png


Kiufupi ule ubabe wa Yanga aka uto in dhahiri umerejea. Naona wengi sasa wanasimba tunawabeza lakini ukweli tusipoangalia hawa jamaa wanakuja kuchukua mafanikio yetu.

Kumbuka tuna wachezaji umri umewatupa kama John Boco, Onyango wakipata injury tu basi tumekwisha msimu ujao.
 
Sikatai kaur yako ila unavyokua bora ww ndo njia ya wenzako kujua uzur wako na udhaifu wako mwsho wapo watu watakuja watakupa apo ulipo

Mkuu kwanza relax,Simba na Yanga ni watani wa jadi,usitumie nguvu kubwa sana ni utani tu,japo haiondoi ukweli wa Simba kuwa mbabe wa hii nchi na ndio timu ya nchi na serikali yake.
 
Kiufupi ule ubabe wa Yanga aka uto in dhahiri umerejea. Naona wengi sasa wanasimba tunawabeza lakini ukweli tusipoangalia hawa jamaa wanakuja kuchukua mafanikio yetu.

Kumbuka tuna wachezaji umri umewatupa kama John Boco, Onyango wakipata injury tu basi tumekwisha msimu ujao.
Utopolo tuliza makalio...unayachezesha sana. Mwiko utatoka. Hakuna mchezaji anayetakwa na Simba akachukuliwa na Yanga. Hamna. Sasa wewe tulia ili mwiko ukae vizuri.
 
Usiache. Kule kwenye uzi wako endelea kujifanya Simba. Nami ntajifanya Simba ili baadaye tuwagombanishe. So usishtuke ukiona najifanya kuikandia Yanga.

Mambo vipi lakini? Kwenye group letu umenyamaza sana. Ila Simba wamekua sana. Wanautulivu flani sielewi kwa nini wapo cool. Manara tumemtumia hajaleta faida. Maboss wana mmind kuwa anakula sehemu zote.
 
Usiache. Kule kwenye uzi wako endelea kujifanya Simba. Nami ntajifanya Simba ili baadaye tuwagombanishe. So usishtuke ukiona najifanya kuikandia Yanga.

Mambo vipi lakini? Kwenye group letu umenyamaza sana. Ila Simba wamekua sana. Wanautulivu flani sielewi kwa nini wapo cool. Manara tumemtumia hajaleta faida. Maboss wana mmind kuwa anakula sehemu zote.

Simba tuko makini sana
 
Back
Top Bottom