MIXOLOGIST JF-Expert Member Joined Mar 1, 2016 Posts 14,311 Reaction score 36,056 Apr 14, 2023 #21 Yanga 90 - Simba 0
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 38,283 Reaction score 97,793 Apr 14, 2023 #22 Dar city 💛💚💛💚
Kichuguu Platinum Member Joined Oct 11, 2006 Posts 17,048 Reaction score 22,790 Apr 15, 2023 #23 Mimi napenda sana ile tambiana tambiana inayoendelea kwa sasa hivi; inaburudisha sana. Nasikitika itatamatika Jumapili ila ningependa mechi ihahirishwe kidogo kusudi tambiana tambina hii iendelee kidogo mili tuendelee kupata burudani ya aina yake.
Mimi napenda sana ile tambiana tambiana inayoendelea kwa sasa hivi; inaburudisha sana. Nasikitika itatamatika Jumapili ila ningependa mechi ihahirishwe kidogo kusudi tambiana tambina hii iendelee kidogo mili tuendelee kupata burudani ya aina yake.
DUBULIHASA JF-Expert Member Joined Nov 26, 2016 Posts 4,446 Reaction score 8,215 Apr 15, 2023 #24 Simba 3 ynga 0
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Apr 15, 2023 #25 Mashabiki wa simba wanapenda sana kujitutumua kabla ya mechi, huku wakiwa wanaujua ukweli. Halafu baada tu ya mechi sasa! utaona watakavyo washushia wachezaji wao, benchi la ufundi, na mwekezaji wao; gunia la lawama.
Mashabiki wa simba wanapenda sana kujitutumua kabla ya mechi, huku wakiwa wanaujua ukweli. Halafu baada tu ya mechi sasa! utaona watakavyo washushia wachezaji wao, benchi la ufundi, na mwekezaji wao; gunia la lawama.
ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 15,265 Reaction score 29,991 Apr 15, 2023 #26 Chama Baleke said: FT 3-1 Baleke kama kawaida na migoli yake ya UEFA Click to expand... Tabiri fake
ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 15,265 Reaction score 29,991 Apr 15, 2023 #27 Tate Mkuu said: Mashabiki wa simba wanapenda sana kujitutumua kabla ya mechi, huku wakiwa wanaujua ukweli. Halafu baada tu ya mechi sasa! utaona watakavyo washushia wachezaji wao, benchi la ufundi, na mwekezaji wao; gunia la lawama. Click to expand... Utasikia sisi tupo busy na CAF champions League nyie endeleeni kuroga, mara bahasha maneno kibao
Tate Mkuu said: Mashabiki wa simba wanapenda sana kujitutumua kabla ya mechi, huku wakiwa wanaujua ukweli. Halafu baada tu ya mechi sasa! utaona watakavyo washushia wachezaji wao, benchi la ufundi, na mwekezaji wao; gunia la lawama. Click to expand... Utasikia sisi tupo busy na CAF champions League nyie endeleeni kuroga, mara bahasha maneno kibao
BUSH BIN LADEN JF-Expert Member Joined Mar 16, 2019 Posts 8,447 Reaction score 19,425 Apr 15, 2023 #28 Hakuna namna makolo watachomoka kwa Mkapa. Kesho simba ataingia kijiji cha wamaasai, lazima atundikwe msalabani
Hakuna namna makolo watachomoka kwa Mkapa. Kesho simba ataingia kijiji cha wamaasai, lazima atundikwe msalabani