Simba na Yanga ni timu masikini kifedha

Simba na Yanga ni timu masikini kifedha

Sultan MackJoe Khalifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2022
Posts
6,782
Reaction score
14,148
Nimeangalia game ya Mamelody Vs Cotonsport. Mamelody wametimia kila idara aisee. Wachezaji wapo sawa kuanzia akili na miili.nimefatilia nikagundua wachezaji wa Mamelody sio wachezaji wa bei rahisi na wa kuokoteza.

Timu masikini azifiki nusu wala fainali CAF, kufika huko ni lazima kwanza kikosi kiwe na wachezaji wenye kiwango ambao ni ghali kuwalipa achilia mbali mishahara yao.

Msemaji wa Simba amesema malengo ya Simba ni kufika nusu fainali, msemaji wa Yanga aliyefungiwa alisema msimu huu Yanga watabeba ubigwa wa CAF.

Wanatudanganya sisi mashabiki kwasababu tunapenda kusikia maneno mazuri na sio kuambiwa ukweli wa mambo namna yalivyo.

Screenshot_20230217-215444.png
 
Nimeangalia game ya Mamelody Vs Cotonsport. Mamelody wametimia kila idara aisee. Wachezaji wapo sawa kuanzia akili na miili.nimefatilia nikagundua wachezaji wa Mamelody sio wachezaji wa bei rahisi na wa kuokoteza.

Timu masikini azifiki nusu wala fainali CAF, kufika huko ni lazima kwanza kikosi kiwe na wachezaji wenye kiwango ambao ni ghali kuwalipa achilia mbali mishahara yao.

Msemaji wa Simba amesema malengo ya Simba ni kufika nusu fainali, msemaji wa Yanga aliyefungiwa alisema msimu huu Yanga watabeba ubigwa wa CAF.

Wanatudanganya sisi mashabiki kwasababu tunapenda kusikia maneno mazuri na sio kuambiwa ukweli wa mambo namna yalivyo.

View attachment 2520897
Ukweli mchungu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Utajiri wa vilabu muda mwingine hutokana na hali ya uchumi wa nchi husika. Kuna vilabu vina thamani kubwa lakini kimichezo viko chini. Nchi za Afrika ya kaskazini na Afrika kusini uchumi wa mataifa yao ni mkubwa ndiyo maana si ajabu kukuta timu mbovu toka huko ikiwa na market value kuliko vilabu vikubwa na maarufu vya Afrika ya kati, mashariki na Afrika magharibi.

Imagine Okwi, Mugalu, Michael Sarpong wako Arabuni wanacheza ilihali hapa bongo hawana nafasi tena.

Mfano kwa sasa timu nyingi za Tanzania zina thamani kubwa kwenye soko kuliko timu karibia zote za Zambia. Lakini likija suala la kiushindani vilabu vingi vya zambia viko juu ( ukiziacha Simba na Yanga).

Hata hivyo hoja yako inabaki kuwa sahihi, Simba na Yanga husajili kwa kuokoteza, hawana ubavu mbele ya giants wa CAF.
 
Viingilio kwenye mechi buku tatu,timu itakuaje na hela!?
Utajiri wa vilabu muda mwingine hutokana na hali ya uchumi wa nchi husika. Kuna vilabu vina thamani kubwa lakini kimichezo viko chini. Nchi za Afrika ya kaskazini na Afrika kusini uchumi wa mataifa yao ni mkubwa ndiyo maana si ajabu kukuta timu mbovu toka huko ikiwa na market value kuliko vilabu vikubwa na maarufu vya Afrika ya kati, mashariki na Afrika magharibi.

Imagine Okwi, Mugalu, Michael Sarpong wako Arabuni wanacheza ilihali hapa bongo hawana nafasi tena.

Mfano kwa sasa timu nyingi za Tanzania zina thamani kubwa kwenye soko kuliko timu karibia zote za Zambia. Lakini likija suala la kiushindani vilabu vingi vya zambia viko juu ( ukiziacha Simba na Yanga).

Hata hivyo hoja yako inabaki kuwa sahihi, Simba na Yanga husajili kwa kuokoteza, hawana ubavu mbele ya giants wa CAF.
 
Kuchukua wachezaji kkwa gharama kubwa ama kulipa mishahara mikubwa si kila kitu.
Kiuchumi simba na yanga haziwezi shindana na ttimu za kaskazini au kusini.
Inapaswa kuwekeza kwenye scouting, wapae wachezaji wazuri na bora kabla hawajaonwa na wakubwa lupitia hivyo tu ndio watacheza fainali au kuchukua kombe, na si kutumia wchezaji wazee hawa.
 
Timu masikini azifiki nusu wala fainali CAF, kufika huko ni lazima kwanza kikosi kiwe na wachezaji wenye kiwango ambao ni ghali kuwalipa achilia mbali mishahara yao.
Hao wachezaji uliowaona wakija Bongo wanalipwa zaidi kuliko wanapochezea. Kwa taarifa tu ni kwamba hiyo Cotton Sports haina hata mchezaji mmoja anayefikia mshahara wa Bocco
 
Argument hii ni nzuri ila haina reflection sahihi na ilegible

Pesa hainunui taji , Chelsea ilichukua ubingwa Ulaya juzijuzi kwa kumfunga PSG ,Je,Chelsea ina pesa kuliko PSG kwa sasa?

Leicester ilichukua ubingwa wa ligi kuu Uingereza mbele ya timu zenye pesa kama Chelsea , Liverpool ,Man U, Man City na Arsenal.

Kuna factors nyingi timu kuchukua taji sio pesa tu
 
Back
Top Bottom