Simba na Yanga ni uchawi unaotumiwa kupumbaza akili za vijana Watanzania

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiwa kiongozi kwenye taifa lenye changamoto lukuki then vijana wenyewe mawazo yao ndio kama haya yaani utaongoza kwa raha sana yaani!!
 
Jiwe ndiye alileta hii shida, acha kurukaruka kama headless chicken
 
Mleta mada hauko serious humu Jamii forums kuna majukwaa mbali mbali .
Hili ni jukwaa la kisports unataka watu wajadili siasa huoni kuwa hata hizo siasa huna unachokifahamu?

Nenda kaangalie dhima ya kila jukwaa ndipo uwe na hoja au ukose hoja ya kulaumu .
 
Upo sahihi Sana na ndio maana hata umeme ukatike vipi lakini siku ya mechi ya Simba na Yanga utakuta karibia sehemu yote ya nchi upo siku hiyo coz wanajua watawafumbua macho kujua umuhimu wa umeme. Ila siku nyingine hata mtu mwenye kiwanda chake umeme ukikatika Walaa husikii kelele za kutosha kama siku ya Simba na yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…