Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 950
- 1,672
Nianze kutoka credit kwa wadau wasoka, mpira wa miguu ni industry pekee yenye muamko na ushawishi mkubwa kwa jamii, nchini Tanzania. Lakini, kama hujaliona hili, basi angalia nyanja ya siasa mfano, watu wengi sasa wanahisi yanayotokea huko basi hayawahusu, ni kama mambo yanatokea kwa jirani vile, wana-feel disconnected kabisa na siasa. Hii kuonesha watanzania tupo nyuma nyuma (hatuna muamko) kwenye mambo mengi. Ndio maana hata Nchi yetu huko duniani haifahamiki pamoja na kuwa na kila kitu kinachoweza i-brand nchi hii.
Turudi katika Soka sasa, I love soccer, lakini sio kila mtu anapenda soka. Sasa wanasaikolojoa wanasema kwamba, mapenzi ya kitu fulani mara nyingi huendana na investment ya muda, hisia, pesa.
Mfano, Nina jirani yangu hapa, anapenda sana Mbwa. Yupo tayari hata kutoa 500k aweze kupata hybrid ya mbwa fulani, lakini mimi mfano hata 5k siwezi toa, sababu sipendi mbwa kabisa.
"Kwanini nayasema haya, Nimeona Waandishi wakubwa, hasa wachambuzi wa soka, akiwemo Edo Kumwembe "The Living Legend" anasema yaani mtu anaweza tumia let's 200k per day(alitaja vitu) lakini huyo huyo anasema kiingilio cha 10k katika match ni kubwa."
Kwa akili ya kawaida unaweza ona huyo jamaa ni mshenzi kweli iIa kuna sababu kubwa ndani ya hiyo kauli. nakuomba urudi kwenye mfano wangu mbwa hapo juu. Utapata jibu.
Wakaenda mbali na kutoa mifano ya mashabiki ulaya, sitaki kugusa issue ya uchumi wao. Ila nataka nizungumzie issue ya mindset.
Swali: Je mashabiki wa ulaya na watanzania tupo sawa katika mindset zetu, hasa yanapokuja masuala ya kisoka?
Hapa ndipo jibu utalipata: Kuna shabiki wa Tanzania yupo tayari kujitoa kwenye timu? Kuna shabiki wetu yupo tayari kushuka daraja na timu yake?
Okay wanaweza kuwepo ila wachache sana.
Sasa ni nini changamoto? Ni kweli maybe viingilio vinaweza kuwa ni vikubwa, ila tusiishie hapo, Vilabu vya Tanzania kiukweli vina LOYAL FANS wachache sana. Wale mashabiki wanaosema tutakua na wewe "evermore" ni wachache sana. Na hapa ndipo wenzetu England wamefanikiwa. Ndio maana hayo mengi tunayozungumza yanayotokea kwao bila nguvu, ila sisi sasa wasemaji na wahamasishaji wa Timu wanakazi sana, vispika vitapita barabarani...alooh.
( Uzi naona umekua mrefu sana. Tutazungumza kwenye comment)
Ila vilabu wajitahidi sana kutengeza loyal fans, wasione kama wana mashabiki wengi, wengine wapo ku-mingle tu, hata wachezaji wao hawawajui. Ukiwa na loyal fans mambo mengi yataenda vizuri sana.
Huo ni mtazamo wangu, je upi mtazamo wako? Kipi kinakufanya usifike uwanjani? Ningependa tusijifiche kwenye kichaka cha viingilio tu.
Wakati wako wa kuzungumza sasa.
N.B. Nashukuru Mungu ile kauli ya "Nilikua nakuheshimu na kukuona mwenye akili, kumbe na wewe ni wale wale mashabiki wa Simba na Yanga"
Turudi katika Soka sasa, I love soccer, lakini sio kila mtu anapenda soka. Sasa wanasaikolojoa wanasema kwamba, mapenzi ya kitu fulani mara nyingi huendana na investment ya muda, hisia, pesa.
Mfano, Nina jirani yangu hapa, anapenda sana Mbwa. Yupo tayari hata kutoa 500k aweze kupata hybrid ya mbwa fulani, lakini mimi mfano hata 5k siwezi toa, sababu sipendi mbwa kabisa.
"Kwanini nayasema haya, Nimeona Waandishi wakubwa, hasa wachambuzi wa soka, akiwemo Edo Kumwembe "The Living Legend" anasema yaani mtu anaweza tumia let's 200k per day(alitaja vitu) lakini huyo huyo anasema kiingilio cha 10k katika match ni kubwa."
Kwa akili ya kawaida unaweza ona huyo jamaa ni mshenzi kweli iIa kuna sababu kubwa ndani ya hiyo kauli. nakuomba urudi kwenye mfano wangu mbwa hapo juu. Utapata jibu.
Wakaenda mbali na kutoa mifano ya mashabiki ulaya, sitaki kugusa issue ya uchumi wao. Ila nataka nizungumzie issue ya mindset.
Swali: Je mashabiki wa ulaya na watanzania tupo sawa katika mindset zetu, hasa yanapokuja masuala ya kisoka?
Hapa ndipo jibu utalipata: Kuna shabiki wa Tanzania yupo tayari kujitoa kwenye timu? Kuna shabiki wetu yupo tayari kushuka daraja na timu yake?
Okay wanaweza kuwepo ila wachache sana.
Sasa ni nini changamoto? Ni kweli maybe viingilio vinaweza kuwa ni vikubwa, ila tusiishie hapo, Vilabu vya Tanzania kiukweli vina LOYAL FANS wachache sana. Wale mashabiki wanaosema tutakua na wewe "evermore" ni wachache sana. Na hapa ndipo wenzetu England wamefanikiwa. Ndio maana hayo mengi tunayozungumza yanayotokea kwao bila nguvu, ila sisi sasa wasemaji na wahamasishaji wa Timu wanakazi sana, vispika vitapita barabarani...alooh.
( Uzi naona umekua mrefu sana. Tutazungumza kwenye comment)
Ila vilabu wajitahidi sana kutengeza loyal fans, wasione kama wana mashabiki wengi, wengine wapo ku-mingle tu, hata wachezaji wao hawawajui. Ukiwa na loyal fans mambo mengi yataenda vizuri sana.
Huo ni mtazamo wangu, je upi mtazamo wako? Kipi kinakufanya usifike uwanjani? Ningependa tusijifiche kwenye kichaka cha viingilio tu.
Wakati wako wa kuzungumza sasa.
N.B. Nashukuru Mungu ile kauli ya "Nilikua nakuheshimu na kukuona mwenye akili, kumbe na wewe ni wale wale mashabiki wa Simba na Yanga"