Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee we jamaa nilikua nakuheshimu mno ila heshima zangu bora nihamishie kwenye viazi tu maana vitanifaa hata kwa chipsi.Ushashikwa akili na Ahmed Ally na ukavaba na wewe.
Yaani Kuna combinations zingine ni bahati mbaya nyie! Hebu fikiria mtu ni kolo lialia alafu ni ccm dam dam. Dah Mungu huyu!
Ili itusaidie nini? Ki ufupi mkuu tumekandwa nje ndani! Tusubiri kwenye ngao ya jamii kama tutafuzu!Naishauri TTF wairudie mechi ya Simba na Yanga.
Ichezwe next week mashabiki tutachangia gharama za mchezo.
Timu lenu bovu, unafungwa nje ndani halafu unasema kubahatisha.Mlibahatisha kumbe.
Kusema tu turudiane watu mnatetemeka hivi.
Unakumbuka shuka asubuhi? Ulishagawa point 6 subiri mwakani.Naishauri TTF wairudie mechi ya Simba na Yanga.
Ichezwe next week mashabiki tutachangia gharama za mchezo.
Ahmed Ally alishawaharibu hamuwezi kufikiria nje ya box.Naishauri TTF wairudie mechi ya Simba na Yanga.
Ichezwe next week mashabiki tutachangia gharama za mchezo.
Kisa faraja za quardiola mnene1😅Naishauri TTF wairudie mechi ya Simba na Yanga.
Ichezwe next week mashabiki tutachangia gharama za mchezo.
🤣🤣🤣 ndio maana runa miaka zaidi ya 60 tokea tupate Uhuru nchi bado masikini!Zile kelele za hatumtaki Mangungu na Try again zineisha sasa hivi tatizo alikua Benchickah