Simba na Yanga zina uhakika wa kushinda mechi 20+ kati ya 30, je kuna mbinu ya kuweza kupiga pesa kwenye beting?

Simba na Yanga zina uhakika wa kushinda mechi 20+ kati ya 30, je kuna mbinu ya kuweza kupiga pesa kwenye beting?

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Ni timu ambazo zina probability kubwa za kushinda, katika mechi 30 kuna mechi 20+ wanaweza kushinda

Tena hapo ukiondoa mechi 2 za derby na 2, probability inazidi

Je, pana uwezekano wa kupiga pesa?

Mapato utayopata wakishinda mechi 20 kati ya 26 (ukiondoa 4 za debi na azam) yatazidi pesa utazoliwa kwa hizo game 6 zitazochana mkeka?
 
Ni timu ambazo zina probability kubwa za kushinda, katika mechi 30 kuna mechi 20+ wanaweza kushinda

Tena hapo ukiondoa mechi 2 za derby na 2, probability inazidi

Je pana uwezekano wa kupiga pesa ?
Wape mazima,
Ila watapewa odds ndogo mfano 1.21 hivi
 
Wape mazima,
Ila watapewa odds ndogo mfano 1.21 hivi
mapato utayopata wakishinda mechi 20 kati ya 26 (ukiondoa 4 za debi na azam) yatazidi pesa utazoliwa kwa hizo game 6 zitazochana mkeka ?
 
mapato utayopata wakishinda mechi 20 kati ya 26 (ukiondoa 4 za debi na azam) yatazidi pesa utazoliwa kwa hizo game 6 zitazochana mkeka ?
Kama anapewa 1.20 basi ukiliwa moja inabidi ule mara Tano kurudisha mtaji. Yaani katika mechi 6 akishinda 5 akapoteza 1 unakua huna hasara wala faida.

Assumptions;
1) Average odds per mechi ni 1.20
2) Stake ni constant
3) No taxes
 
Kama anapewa 1.20 basi ukiliwa moja inabidi ule mara Tano kurudisha mtaji. Yaani katika mechi 6 akishinda 5 akapoteza 1 unakua huna hasara wala faida.

Assumptions;
1) Average odds per mechi ni 1.20
2) Stake ni constant
3) No taxes
naona ishu imepigwa pini mhindi haachi mianya
 
Kuna jamaa uingereza hua anamuua man city tu kwa stake ile ile kuanzia mechi ya kwanza mpaka mwisho, na anakuambia anapiga sana pesa, fikiria msimu uliopita alipigwa Etihad na Brentford, Brentford akiwa na odds 17.....

Ukipata mechi mbili tu usharudisha pesa... Sema inahitaji moyo wa chuma sana
 
Kuna jamaa uingereza hua anamuua man city tu kwa stake ile ile kuanzia mechi ya kwanza mpaka mwisho, na anakuambia anapiga sana pesa, fikiria msimu uliopita alipigwa Etihad na Brentford, Brentford akiwa na odds 17.....

Ukipata mechi mbili tu usharudisha pesa... Sema inahitaji moyo wa chuma sana
Nianze kumuua Man Utd
 
Ni timu ambazo zina probability kubwa za kushinda, katika mechi 30 kuna mechi 20+ wanaweza kushinda

Tena hapo ukiondoa mechi 2 za derby na 2, probability inazidi

Je pana uwezekano wa kupiga pesa?

Mapato utayopata wakishinda mechi 20 kati ya 26 (ukiondoa 4 za debi na azam) yatazidi pesa utazoliwa kwa hizo game 6 zitazochana mkeka?
Makampuni ya kamari lengo kuu ni kupata faida, siku zote odds zinalenga kukudidimiza wewe! Simba vs Dodoma Jiji unakuta odds 1.20.

Pia hushirikiana na timu husika hasa kubwa kupanga matokeo kwa kificho sana. Fuatilia timu kubwa zote kwa jicho la tatu kama la tai utagundua huu mchezo.

Timu kubwa hasa za Ulaya zinapitia katika kipindi kigumu cha uchumi mara baada ya janga la covid, kinachofanyika ni kurudisha hela kwa njia ya haraka ili kukabiliana na hela za mafuta za waarabu ambapo kamari imeonekana kama suluhisho.

Barca,Madrid,Juventus,Chelsea,Man U, Liverpool n.k, kuwa nazo makini kwenye kamari.Ogopa timu anayomiliki Mmarekani na Muitaliano, hawa jamaa ni mafia!

Ogopa mitandao yao ya utabiri kote huko wanacheza na akili zako na kukupoteza!


Nb 1: Hakuna mtaalamu wa kamari ila kuna kuotea kwenye kamari.


Nb 2: Fuatilia mwenendo mzima wa timu na ligi kwa ukaribu na kwa jicho kali.


Nb 3 :Amini machale yako hasa yale yanayokutia hofu.


Nb 4: Usifuate mkumbo wa wengi!!!!!!!


Nb 5: Jilipue!!!!!!!

Ni mtazamo!
 
Back
Top Bottom