"Simba nguvu moja." Tujadiliane namna ya kuwaua Waarabu na kuongoza Kundi D

Simba akipata points 2 kwenye group lake nipigwe ban wiki2.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ban ya maisha kabisa ufungue ID mpya nawaalika Moderator waone commitment yako

Inaonekana ID hii unaichukia mno kama siyo sana tu. Hii ID itatoweka hapa pale tu nikifa ila kwakuwa nipo hai itaendelea kuwepo na kama unaichukia nakushauri tafuta Sumu ya Panya uinywe huku ukiitaja hii ' Brand ID ' ya GENTAMYCINE utakuwa umefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.
 
Vipi na Yanga nasikia mmefuzu mmeingia kwenye hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa ndondo cup..kutokana na droo iliyochezeshwa Group Z kuna timu za Yanga,Mashujaa,Lipuli na Tukuyu stars...kila la kheri wawakilishi wetu wa kimataifa yanga

Leo hii GENTAMYCINE amekuwa Yanga SC? Kwakuwa tu nimesema ukweli na uwazi bila Unafiki kama mlionao wengi wenu?
 
Tukiwa na umoja Simba hafungwi kwa mchina...Simba ambayo inafungwa kwa mchina au zamani shamba la Bibi in mgogoro au Haina mshikamano...ila tukiwa katika ubora wetu Mzee dalali aunganishe matawi ya Simba tuwe kitu kimoja kwa mchina hatoki mwarabu Wala mwafrica mwenzetu Kama kufia tutafia ugenini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekurupuka mkuu nilim_quote frank kwa maneno yake aliyoyasema simba tukivuna point 2 apewe ban ya wiki mbili
 
Unfortunately, wana Simba wenzako watakataa kuona ukweli ulio dhahiri.

Uchambuzi wako hasa kuhusu backline ya Simba kausema Chambeshi, kocha wa Nkana. Kausema King Kibaden mwana Simba kindakindaki.

Ni kundi gumu mno kwa Simba. Kuna watu wanadai eti point tisa kwa Mchina. At most point tano kwa Mchina.
 
Yanga itahusika vipi huko mnako Jafiliana?
 
Shida yenu uwaga hamtaki kuambiwa ukweli, mleta mada amewasilisha hoja zake kiufundi sana, ameongelea vizuri mapungufu ya club/timu kiufundi kabisa, hata alipozitaja Yanga na Azam fc ametumia jicho lake vizuri kuona mbali.hatukatai Simba inao wachezaji wakubwa, na wako vizuri ukiangalia mchezaji mmoja mmoja, Ila kitimu, kisaiklogia, na kimbinu naungana na mleta Uzi kwamba Azam na Yanga japo wengi hamtaki kusikia hill wako njema bro, sana malengo flani wawapo uwanjani, hata kama timu zao zikiwa zimezidiwa uwanjani, bench I lao LA ufundi uja na plan nyingine ambazo huleta matokeo chanya, hill ndilo halichoona mleta Uzi kwa jicho lake LA kimchezo. Kama Simba atawezi kufanyia mapungufu take ambayo watu wa mpira wameyaonyesha wazi akiwemo mleta mada, basi walau itaambulia hata point 5 kwenye kundi lake wakati ikijipanga vilivyo kwa ajili ya msimu ujao. Otherwise muwatoe kafara wapenzi na mashabiki wenu si chini ya kumi kila mechi kama mlivyozoea. Nakupongeza sana mleta mada maana pamoja na kuwa Simba kindakikindaki, ila ukweli umeuona na umeueleza wazi. Simba Nguvu Moja in pamoja na kukubaliana na mapungufu uliyonayo na kuyarekebisha kwa ajili ya kuboresha, siyo kupinga tu bila akupaye changamoto. Ni hayo tu. Alafu mkuu Genta Sikh nyingine usiwape mbinu za kushinda hao jamaa zako uone watakavyoooga nyingi hapo hapo kwa mchina, ushauri wako ulioutoa kwa Nkana, nilikuvulia kofia, so kwa ulozi hule.
unajiona unajua mwenywe kumbe takatakata tupu.
et unasema yanga na azam wapo vzr kuliko simba..
yani umeongea upuuzi apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tunashukuru kwa maoni yako, haya uliyoandika yote yanafanyiwa kazi

kuanzia kipa hadi staker, maana tuna nafasi zaidi ya tatu kwenye usajili

so atapatikana kipa, beki 1 wa kati na straker, pia simba wana lengo la kuchukua kiungo wa kusaidiana na jonas mkude

hadi hapo unaweza kuona kwamba mipango ya simba si ya kuishia hatua ya makundi
 
Afrika husiposhinda nyumbani husitegemee kushinda ugenini hii inatokana na fitina za ugenini tofauti na wenzetu ulaya.

Hivyo kwa uwekezaji wa simba ilionao na aina ya wachezaji ilionao robo itafika kwa kushinda mechi zote nyumbani,kumbuka ni timu pekee ukanda huu kufika makundi.
Hata last year timu iliyoitoa simba shirikisho ilikuwa ni bora ndiyo maana nayo ilitolewa nusu fainali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…