Kisheria ama TFF hua wanataka wachezaji waje kufanya mazoezi saa ngapi..ikipendeza actually lazima tunaomba utuwekee ama u-quote kifungu hiko Cha SheriaMechi moja na robo wanakuja saa tatu.
Au ndio kama asemavyo Kiembe huwaga hawalali kabisa.
View attachment 3263003
Nimekuulizwa swali hujajibu? Okay kisheria mda wa mechi yaani moja na robo mpaka tatu kamili.Kisheria ama TFF hua wanataka wachezaji waje kufanya mazoezi saa ngapi..ikipendeza actually lazima tunaomba utuwekee ama u-quote kifungu hiko Cha Sheria
Hilo bus la pili mbona picha zake hatuzioni?Hii sio kawaida na sijawai kuiona kwamba Simba anaenda kufanya mazoezi ya mwisho siku Moja kabla ya mechi akiwa na mabasi mawili makubwa la wachezaji na jingine aijulikani limejaza watu wa shughuli Gani!
Wasimamizi wa uwanja nawapa kongole Kuna ujinga ulitaka kufanyika pale ndani kwa kisingizio cha mazoezi ya mwisho!
Derby uwa Ina mambo mengi na ukizubaa mwenzako akakuwai umekwisha utakiwi kufumba ata jicho Moja na kupoteza Umakini kwenye derby kwasababu ni mechi zinazochezwa zaidi nje ya uwanja!
Walipoona mambo yameharibika liliondoka haraka na kuliacha la wachezaji,,lilikuwa basi la kukodiHilo bus la pili mbona picha zake hatuzioni?
Ni lini na mechi Gani ya derby ulishaona timu inakwenda pale kwa mkapa kufanya mazoezi ya mwisho?Kisheria inaruhusiwa mabasi mangapi ama TFF wanasema kuingia uwanjani kufanya mazoezi unatakiwa kuingia na mabasi mangapi
Tangu nianze kupata ufahamu,sijawahi kuona au kusikia kabla ya mechi ya derby mgeni anaenda kufanya mazoezi,japo ni suala la kikanuni ila halijawahi kuwa implemented TzKisheria inaruhusiwa mabasi mangapi ama TFF wanasema kuingia uwanjani kufanya mazoezi unatakiwa kuingia na mabasi mangapi
Mechi za derby sijawai kuona timu inaenda pale kwa mkapa kufanya mazoezi ya mwisho,,kifungu kipo cha kufanya mazoezi kabla ya mechi but kwa derby sijawai kuona timu inaenda pale kufanya mazoezi ya mwisho Leo ndio ninaona Simba anataka kufanya icho kituKisheria ama TFF hua wanataka wachezaji waje kufanya mazoezi saa ngapi..ikipendeza actually lazima tunaomba utuwekee ama u-quote kifungu hiko Cha Sheria
BM wamejaza waganga tuWalitaka walete uchawi bora wamefurushwa
Kama vipi Makolo msiondoke apoo waiteni Yanga mpiraa upigwe usiku huu huu mambo yasiwe mengi..Maana inaonekana mnapenda sana mambo ya gizani.
Ndo uone Ulitaka waanzeliniHii sio kawaida na sijawai kuiona kwamba Simba anaenda kufanya mazoezi ya mwisho siku Moja kabla ya mechi akiwa na mabasi mawili makubwa la wachezaji na jingine aijulikani limejaza watu wa shughuli Gani!
Wasimamizi wa uwanja nawapa kongole Kuna ujinga ulitaka kufanyika pale ndani kwa kisingizio cha mazoezi ya mwisho!
Derby uwa Ina mambo mengi na ukizubaa mwenzako akakuwai umekwisha utakiwi kufumba ata jicho Moja na kupoteza Umakini kwenye derby kwasababu ni mechi zinazochezwa zaidi nje ya uwanja!