Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inasikitisha sana.CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".
Great thinker
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana.CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".
Great thinker
InawezekanaHapo kuna mtu anatafutiwa sifa. Baadae atawapigia simu kuwaambia wacheze Mechi na watakubali, Machawa wataanza kumpongeza na kusema "bila yeye derby isingechezwa"
Kwa nini wazee na waganga wanakatazwa kuingia uwanjani? Mbona huwa tunaona timu na wachezaji wanasali na kuswali uwanjani kabisa??Makomandoo wa Yanga wamewaambia Viongozi wa Simba kuwa wachezaji,viongozi na benchi lote la Simba wanajulikana na ndio wanapaswa kuingia uwanjani na si Wazee na Waganga waliokuwepo kwenye Bus la BM,viongozi wa Simba wakagoma nakutaka magari yote waliyokuja nayo watu wote waingie. Walipoona wamezuiwa wasiohusika wakaondoka.
Kwa hiyo hapa mchawi ni wewe waliokuwa kwenye basi au wale wenye timu yenye wachezaji wanaofukua magoli ya wenzao.Kumbe ndio maana mlikimbia chamazi.Waliwakamata wachawi watuthibitishie tunguli zao.Ni lini na mechi Gani ya derby ulishaona timu inakwenda pale kwa mkapa kufanya mazoezi ya mwisho?
Tuwekee kanuni ya kugomea mechi hizo hekaya za abunuwasi azitowasaidia chochoteKwa hiyo hapa mchawi ni wewe waliokuwa kwenye basi au wale wenye timu yenye wachezaji wanaofukua magoli ya wenzao.Kumbe ndio maana mlikimbia chamazi.Waliwakamata wachawi watuthibitishie tunguli zao.
Hivi kivita makomando wa nchi nyingine wanaweza kulinda nchi zingine.Kama ni kweli tutakuwa na timu za ajabu sana.ila nitawashangaa zaidi Yanga.Kwa nini wazee na waganga wanakatazwa kuingia uwanjani? Mbona huwa tunaona timu na wachezaji wanasali na kuswali uwanjani kabisa??
Uandishi wa kiswahili fasaha ni tatizo kitaifa.Hii sio kawaida na sijawai kuiona kwamba Simba anaenda kufanya mazoezi ya mwisho siku Moja kabla ya mechi akiwa na mabasi mawili makubwa la wachezaji na jingine aijulikani limejaza watu wa shughuli Gani!
Wasimamizi wa uwanja nawapa kongole Kuna ujinga ulitaka kufanyika pale ndani kwa kisingizio cha mazoezi ya mwisho!
Derby uwa Ina mambo mengi na ukizubaa mwenzako akakuwai umekwisha utakiwi kufumba ata jicho Moja na kupoteza Umakini kwenye derby kwasababu ni mechi zinazochezwa zaidi nje ya uwanja!
Nani akuwekee kanuni hapa mnafuga wachawi halafu mnatetea ujinga.Anza wewe kuweka kanuni zilizotumika kuzuia shughuli za timu isiyokuhusu.Tuwekee kanuni ya kugomea mechi hizo hekaya za abunuwasi azitowasaidia chochote
Kanuni imeweka ukomo wa mabasi mangapi?!Hii sio kawaida na sijawai kuiona kwamba Simba anaenda kufanya mazoezi ya mwisho siku Moja kabla ya mechi akiwa na mabasi mawili makubwa la wachezaji na jingine aijulikani limejaza watu wa shughuli Gani!
Wasimamizi wa uwanja nawapa kongole Kuna ujinga ulitaka kufanyika pale ndani kwa kisingizio cha mazoezi ya mwisho!
Derby uwa Ina mambo mengi na ukizubaa mwenzako akakuwai umekwisha utakiwi kufumba ata jicho Moja na kupoteza Umakini kwenye derby kwasababu ni mechi zinazochezwa zaidi nje ya uwanja!
Akacheze yeyeUnajidanganya pole
Hata yangekuja sita, si kazi ya muhuni kuyazuia kuingia. Kanuni haikataja limit au size ya busHii sio kawaida na sijawai kuiona kwamba Simba anaenda kufanya mazoezi ya mwisho siku Moja kabla ya mechi akiwa na mabasi mawili makubwa la wachezaji na jingine aijulikani limejaza watu wa shughuli Gani!
Wasimamizi wa uwanja nawapa kongole Kuna ujinga ulitaka kufanyika pale ndani kwa kisingizio cha mazoezi ya mwisho!
Derby uwa Ina mambo mengi na ukizubaa mwenzako akakuwai umekwisha utakiwi kufumba ata jicho Moja na kupoteza Umakini kwenye derby kwasababu ni mechi zinazochezwa zaidi nje ya uwanja!
We unataka mifano ya nini,magari mangapi Simba walitakiwa kuwa nayo kwa mujibu wa sheriaUsiseme mara kibao, toa mfano ni derby ipi kati ya Simba na Yanga uliwahi kushudia mazoezi ya mwisho yanaenda kutumika katika uwanja utakaotumika?
Umeona mbali kama mimi ndugu.Hapo kuna mtu anatafutiwa sifa. Baadae atawapigia simu kuwaambia wacheze Mechi na watakubali, Machawa wataanza kumpongeza na kusema "bila yeye derby isingechezwa"
Mimi sijaongelea hoja ya idadi ya magari embu soma kwa utulivu.We unataka mifano ya nini,magari mangapi Simba walitakiwa kuwa nayo kwa mujibu wa sheria
KUMBE una mada yako,endelea na mjadala na Wengine.Mimi sijaongelea hoja ya idadi ya magari embu soma kwa utulivu.
Hilo bus la pili mbona picha zake hatuzioni?
Yan liliondoka fyuuuu mkashindwa kupiga pichaWalipoona mambo yameharibika liliondoka haraka na kuliacha la wachezaji,,lilikuwa basi la kukodi
17(45)Tuwekee kanuni ya kugomea mechi hizo hekaya za abunuwasi azitowasaidia chochote
Yan liliondoka fyuuuu mkashindwa kupiga picha