Simba ni lini mlikuja kufanya mazoezi ya mwisho na mabasi mawili makubwa kwenye derby?

Simba ni lini mlikuja kufanya mazoezi ya mwisho na mabasi mawili makubwa kwenye derby?

Kwani walio izuia Simba isifanye mazoezi ni wasimamizi wa uwanja au makomando wa utopolo?
Alafu nyinyi Utopolo mna wazuia simba kufanya mazoezi kwenye uwanja wa taifa kama akina nani juu ya uwanja huo ? Mlichangia kiasi gani kwenye ujenzi wa uwanja huo?
Sasa wewe unaamua Nini[emoji23][emoji23][emoji23]


na lile bus limejaza wazee....Kwaajili ya mazoez???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwani walio izuia Simba isifanye mazoezi ni wasimamizi wa uwanja au makomando wa utopolo?
Alafu nyinyi Utopolo mna wazuia simba kufanya mazoezi kwenye uwanja wa taifa kama akina nani juu ya uwanja huo ? Mlichangia kiasi gani kwenye ujenzi wa uwanja huo?
Haya ingiza timu sasa
 
Sasa wewe unaamua Nini[emoji23][emoji23][emoji23]


na lile bus limejaza wazee....Kwaajili ya mazoez???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nyinyi hili tukio mngefanyiwa nyinyi ww siungekuwa umesha andika nyuzi zaidi ya 5 kulalamika jinsi TFF inavyo ipendelea simba?
Suala la wazee linahusiana nini na wachezaji kuchanya mazoezi kama kuna watu ambao hawahusiki si unawazuia kuingia uwanjani unarihusu wahusika wanaendelea na mazoezi yao?
Alafu yanga ina mamlaka gani juu ya uwanja wa taifa?
 
Nimesikia baadhi ya wajinga wanasema Simba itagomea kucheza mechi labda tu niwaambie kanuni inasema ikidhibitika wamezuiwa kufanya mazoezi ni faini milioni Moja mpaka milioni 2 ama onyo,,na sio timu kupewa point Wala nini,,kwa maana iyo Simba wasije wakajichanganya wakawapa yanga point za mezani tunataka mbungi ipigwe!
Unajidanganya pole
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great thinker
Acha upuuzi!! Mada ngapi za kiuchumi, kijamii, kimazingira, michezo na kila nyanja zinajadiliwa hapa JF kila siku hujawahi kuongea hizi pumba but when it comes to Yanga na Simba ndiyo unaandika huu utaahira wako!!! Acha watu wajadili.
 
Kwani walio izuia Simba isifanye mazoezi ni wasimamizi wa uwanja au makomando wa utopolo?
Alafu nyinyi Utopolo mna wazuia simba kufanya mazoezi kwenye uwanja wa taifa kama akina nani juu ya uwanja huo ? Mlichangia kiasi gani kwenye ujenzi wa uwanja huo?
Huo uwanja ushafungwa na serikali na kibali ni siku ya mechi tu sio mazoezi, mbona kwenye mechi yao azam walienda wakazuiliwa leo wanajitoa akili.
 
Ni lini na mechi Gani ya derby ulishaona timu inakwenda pale kwa mkapa kufanya mazoezi ya mwisho?

Gem ya round ya kwanza, yanga walifanya mazoezi ya mwisho tena usiku
 
Mechi za derby sijawai kuona timu inaenda pale kwa mkapa kufanya mazoezi ya mwisho,,kifungu kipo cha kufanya mazoezi kabla ya mechi but kwa derby sijawai kuona timu inaenda pale kufanya mazoezi ya mwisho Leo ndio ninaona Simba anataka kufanya icho kitu

Sheria inaruhusu au Hairuhusu?
 
Kwani walio izuia Simba isifanye mazoezi ni wasimamizi wa uwanja au makomando wa utopolo?
Alafu nyinyi Utopolo mna wazuia simba kufanya mazoezi kwenye uwanja wa taifa kama akina nani juu ya uwanja huo ? Mlichangia kiasi gani kwenye ujenzi wa uwanja huo?
Kama hujui kitu kaa kimya ufiche umbumbumbu wako
 
Nyinyi hili tukio mngefanyiwa nyinyi ww siungekuwa umesha andika nyuzi zaidi ya 5 kulalamika jinsi TFF inavyo ipendelea simba?
Suala la wazee linahusiana nini na wachezaji kuchanya mazoezi kama kuna watu ambao hawahusiki si unawazuia kuingia uwanjani unarihusu wahusika wanaendelea na mazoezi yao?
Alafu yanga ina mamlaka gani juu ya uwanja wa taifa?
Makomandoo wa Yanga wamewaambia Viongozi wa Simba kuwa wachezaji,viongozi na benchi lote la Simba wanajulikana na ndio wanapaswa kuingia uwanjani na si Wazee na Waganga waliokuwepo kwenye Bus la BM,viongozi wa Simba wakagoma nakutaka magari yote waliyokuja nayo watu wote waingie. Walipoona wamezuiwa wasiohusika wakaondoka.
 
Hii sio kawaida na sijawai kuiona kwamba Simba anaenda kufanya mazoezi ya mwisho siku Moja kabla ya mechi akiwa na mabasi mawili makubwa la wachezaji na jingine aijulikani limejaza watu wa shughuli Gani!

Wasimamizi wa uwanja nawapa kongole Kuna ujinga ulitaka kufanyika pale ndani kwa kisingizio cha mazoezi ya mwisho!

Derby uwa Ina mambo mengi na ukizubaa mwenzako akakuwai umekwisha utakiwi kufumba ata jicho Moja na kupoteza Umakini kwenye derby kwasababu ni mechi zinazochezwa zaidi nje ya uwanja!
Unaipangiaje timu kwamba iende na bus moja?

Huo ni usiku je kana amekwenda na mashabiki wake kama walinzi pia?
Je mashabiki wanazuiwa kuingia kwenye mazoezi ya mwisho?

Acheni uhuni ninyi nyuma mwiko lazima muwe na vitendo vya kiuwana michezo

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Muda wa mazoezi Tafadhali na muda wa kufanya usafi wa uwanja kama usafi utahitajika
 
Kwani kanuni zinasema mabasi mangapi yanahitajika kwenda nayo mazoezini?
 
Back
Top Bottom