Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Sasa wewe unaamua Nini[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani walio izuia Simba isifanye mazoezi ni wasimamizi wa uwanja au makomando wa utopolo?
Alafu nyinyi Utopolo mna wazuia simba kufanya mazoezi kwenye uwanja wa taifa kama akina nani juu ya uwanja huo ? Mlichangia kiasi gani kwenye ujenzi wa uwanja huo?
na lile bus limejaza wazee....Kwaajili ya mazoez???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app