Simba ni lini mlikuja kufanya mazoezi ya mwisho na mabasi mawili makubwa kwenye derby?

Simba ni lini mlikuja kufanya mazoezi ya mwisho na mabasi mawili makubwa kwenye derby?

Gem ya round ya kwanza, yanga walifanya mazoezi ya mwisho tena usiku
Muache uongo haijawahi kutokea kitu kama hicho, mazoezi ya mwisho raundi ya kwanza Yanga hakwenda kufanyia kwa Mkapa. Simba mmetafuta sababu ya kukimbia mechi ila hakujawahi kuwa na utamaduni wa kutumia uwanja unaotarajiwa kuchezea mechi katika kufanya mazoezi ya mwisho.

Picha chini ni mazoezi ya mwisho ya Yanga kwenye raundi ya kwanza
IMG_20250308_063941.jpg
 
Sasa wewe unaamua Nini[emoji23][emoji23][emoji23]


na lile bus limejaza wazee....Kwaajili ya mazoez???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Muda mwingine tumia akili. Mmeifunga simba mara nne mfululizo na mechi zingine akiwa ni mwenyeji hayo mabasi ya wazee mbona haya kusaidia? Timu za hovyo hizi zinaamini ujinga ujinga
 
Ni lini na mechi Gani ya derby ulishaona timu inakwenda pale kwa mkapa kufanya mazoezi ya mwisho?
Mechi ya Simba na Yanga iliyopita. Yanga waliruhusiwa na Mwenyeji wao simba kufanya mazoezi
 
Muache uongo haijawahi kutokea kitu kama hicho, mazoezi ya mwisho raundi ya kwanza Yanga hakwenda kufanyia kwa Mkapa. Simba mmetafuta sababu ya kukimbia mechi ila hakujawahi kuwa na utamaduni wa kutumia uwanja unaotarajiwa kuchezea mechi katika kufanya mazoezi ya mwisho.

Picha chini ni mazoezi ya mwisho ya Yanga kwenye raundi ya kwanza View attachment 3263127
Wewe utakuwa hufahamu, bora ukae kimya.
 
Sheria zibadilishwe ,hakuna ulazima wa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja ,kwani kuna timu ina ugeni na viwanja vilivyopo nchini? Kila timu ina viwanja vyao ,wakafanye mazoezi huko huko.
 
Kanuni ndiyo muongozo wa kila kitu.

Kama hazijataja idadi ya watu au nani aambatane na timu kwenye mazoezi ya mwisho hiyo siyo shida ya Simba!

Kanuni hazipaswi kuacha loopholes!
 
Muache uongo haijawahi kutokea kitu kama hicho, mazoezi ya mwisho raundi ya kwanza Yanga hakwenda kufanyia kwa Mkapa. Simba mmetafuta sababu ya kukimbia mechi ila hakujawahi kuwa na utamaduni wa kutumia uwanja unaotarajiwa kuchezea mechi katika kufanya mazoezi ya mwisho.

Picha chini ni mazoezi ya mwisho ya Yanga kwenye raundi ya kwanza View attachment 3263127


What if picha ni ya zamani?
Kwani kwenye maelekezo yako kuna jina la uwanja?
 
What if picha ni ya zamani?
Kwani kwenye maelekezo yako kuna jina la uwanja?
Basi wewe uje na picha ikionesha wanafanya mazoezi ya mwisho wakiwa katika uwanja wa Mkapa
 
Nimekuulizwa swali hujajibu? Okay kisheria mda wa mechi yaani moja na robo mpaka tatu kamili.

Unakazi ya kuwaambia wenzako wanamental health,sasa wewe humu kwenye haya majukwaa unafanya nini?Maana unazurula kila uzi upo.
Swali lako halina logic, na aliekuuliza pia hujamjibu logic ila ngonjera.

Hamna kifungu kina elekeza idadi ya mabasi au magari ambayo team inatakiwa ije nayo.

Mpira wa sasa ni kanuni na sheria sio uswahili uswahili, tumeshatoka hizo zama
 
Swali lako halina logic, na aliekuuliza pia hujamjibu logic ila ngonjera.

Hamna kifungu kina elekeza idadi ya mabasi au magari ambayo team inatakiwa ije nayo.

Mpira wa sasa ni kanuni na sheria sio uswahili uswahili, tumeshatoka hizo zama
Logic ya nini wakati mwenye mamlaka wa uwanja huo hakuwa na taarifa? Sasa unataka logic wakati mmiliki kasema hakuwa na taarifa hiyo.
 
Logic ya nini wakati mwenye mamlaka wa uwanja huo hakuwa na taarifa? Sasa unataka logic wakati mmiliki kasema hakuwa na taarifa hiyo.
unajua maana ya logic?
Team kama hiyo haiwez kwenda kufanya mazoezi kienyeji kama kanuni zinavyodai, tena si mara ya kwanza.
Kwamba ni wageni hawwjui taratibu?
 
unajua maana ya logic?
Team kama hiyo haiwez kwenda kufanya mazoezi kienyeji kama kanuni zinavyodai, tena si mara ya kwanza.
Kwamba ni wageni hawwjui taratibu?
Halafu hizi logic zineanzia jana? Yanga round ya kwanza hakuepewa nafasi ya kuutumia uwanja kabla ya mechi ,vip hapo logic haikutumika? au sheria na kanuni hazikuwepo?.

Hii culture wamejiwekea wenyewe,mechi zote mwenyeji hupewa umiliki wa uwanja, huku mgeni akiingia uwanjani siku ya mechi akitokea kambini, ndio maana hata meneja hakuwa na taarifa hiyo.

Kwa hiyo kuanzia jana ndio mmekumbuka kuna logic na kanuni?miaka yote hizo logic na kanuni hazipo. Sasa kama walikuwa wanatumia logic na kanuni why hawakuwa wenzao hiyo nafasi round ya kwanza.
 
Hapo kuna mtu anatafutiwa sifa. Baadae atawapigia simu kuwaambia wacheze Mechi na watakubali, Machawa wataanza kumpongeza na kusema "bila yeye derby isingechezwa"
 
Back
Top Bottom