Simba ni lini mlikuja kufanya mazoezi ya mwisho na mabasi mawili makubwa kwenye derby?

We unataka mifano ya nini,magari mangapi Simba walitakiwa kuwa nayo kwa mujibu wa sheria
Kwahiyo, wangeweza kuja na mabasi kwa idadi ya machezaji? Kwamba kama wachezaji wapo 30, basi wangeweza kuja na mabasi 30 kila mchezaji na basi lake? Wallah tena, hii ni changamoto ya akili, si bure...!!!
 
Kwahiyo, wangeweza kuja na mabasi kwa idadi ya machezaji? Kwamba kama wachezaji wapo 30, basi wangeweza kuja na mabasi 30 kila mchezaji na basi lake? Wallah tena, hii ni changamoto ya akili.
Vichaa huwaona wenzao vichaa zaidi,mabasi yanahusikaje na mpira,kwa hiyo licha kamishna kuja mabaunsa wakaone wachafue zaidi hali ya hewa kutimiza walilotumwa.Wasomi wa kiafrika mna laana.
 
Vichaa huwaona wenzao vichaa zaidi,mabasi yanahusikaje na mpira,kwa hiyo licha kamishna kuja mabaunsa wakaone wachafue zaidi hali ya hewa kutimiza walilotumwa.Wasomi wa kiafrika mna laana.
Unaikimbia hoja yako ya idadi ya magari kiaina. SOma attachment hapa chini

 
Basi Kaa kimya unachokizungumzia ukijui,,nilitaka uweke icho kifungu nikuumbue sasa hivi bahati yako
Sasa kifungu kinairuhusu timu kufanya mazoezi sasa hao waliozuia wametumia sheria GANI?na makomando ni nani?kama ni yanga wao ni tff.Bado mnaona mko sahihi au waliowazuia simba wako sahihi.HOJA HAPA NI WANAJESHI WA YANGA KUIZUIA SIMBA KUFANYA MAZOEZI.Kuna mtu juzi aluandika kwamba HILI ndio jukwaa lenye watu wabovu kiakili kuliko wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…