Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwahiyo, wangeweza kuja na mabasi kwa idadi ya machezaji? Kwamba kama wachezaji wapo 30, basi wangeweza kuja na mabasi 30 kila mchezaji na basi lake? Wallah tena, hii ni changamoto ya akili, si bure...!!!We unataka mifano ya nini,magari mangapi Simba walitakiwa kuwa nayo kwa mujibu wa sheria
Icho kifungu kinasemaje kiweke hapa Kila mdau akione17(45)
Vichaa huwaona wenzao vichaa zaidi,mabasi yanahusikaje na mpira,kwa hiyo licha kamishna kuja mabaunsa wakaone wachafue zaidi hali ya hewa kutimiza walilotumwa.Wasomi wa kiafrika mna laana.Kwahiyo, wangeweza kuja na mabasi kwa idadi ya machezaji? Kwamba kama wachezaji wapo 30, basi wangeweza kuja na mabasi 30 kila mchezaji na basi lake? Wallah tena, hii ni changamoto ya akili.
Icho kifungu kinasemaje kiweke hapa Kila mdau akione
Utaniambia nikuwekee na chupi ya mke wangu sasa.Icho kifungu kinasemaje kiweke hapa Kila mdau akione
Basi Kaa kimya unachokizungumzia ukijui,,nilitaka uweke icho kifungu nikuumbue sasa hivi bahati yakoUtaniambia nikuwekee na chupi ya mke wangu sasa.
Unaikimbia hoja yako ya idadi ya magari kiaina. SOma attachment hapa chiniVichaa huwaona wenzao vichaa zaidi,mabasi yanahusikaje na mpira,kwa hiyo licha kamishna kuja mabaunsa wakaone wachafue zaidi hali ya hewa kutimiza walilotumwa.Wasomi wa kiafrika mna laana.
Kwani chupi ya mkeo inahusika kwenye soka la bongo??Utaniambia nikuwekee na chupi ya mke wangu sasa.
Basi Kaa kimya unachokizungumzia ukijui,,nilitaka uweke icho kifungu nikuumbue sasa hivi bahati
NdioKwani chupi ya mkeo inahusika kwenye soka la bongo??
Haya mpe..!!Ndio
Magari yanazuia nini
Sasa kifungu kinairuhusu timu kufanya mazoezi sasa hao waliozuia wametumia sheria GANI?na makomando ni nani?kama ni yanga wao ni tff.Bado mnaona mko sahihi au waliowazuia simba wako sahihi.HOJA HAPA NI WANAJESHI WA YANGA KUIZUIA SIMBA KUFANYA MAZOEZI.Kuna mtu juzi aluandika kwamba HILI ndio jukwaa lenye watu wabovu kiakili kuliko wote.Basi Kaa kimya unachokizungumzia ukijui,,nilitaka uweke icho kifungu nikuumbue sasa hivi bahati yako
Xawa kiongoz tumekusikia tutalifanyia kazi hiloCCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".
Great thinker