Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Simba queens imekuwa timu ya kwanza ya wanawake kutoka Tanzania kwenda kushiriki ligi ya mabingwa Africa.
Hapo unaona uwekezaji mkubwa unaofanywa na mo dewji ukisimamiwa na mwanamama babra Gonzalez ambaye ni moto wa kuotea mbali kwenye usimamizi wa taasisi ya mpira. Simba kwa sasa sio level tena za yanga, na ikiwapendeza watani zetu waje wakae mezani na sisi wajifunze namna ya kuwa taasisi bora katika kila nyanja!
Hii simba queens itafika mbali ikiwemo kutinga fainali na hapo bado mo dewji ameahidi kuwapandishia mishahara wachezaji wote ambapo opah clement atakuwa akipokea milioni 5 kwa mwezi huku corazone akivuta milioni 4 kwa mwezi.
Hongereni simba sc hakiks mnajua namna ya kuendesha club tofauti na wapiga porojo wa jangwani!
Hapo unaona uwekezaji mkubwa unaofanywa na mo dewji ukisimamiwa na mwanamama babra Gonzalez ambaye ni moto wa kuotea mbali kwenye usimamizi wa taasisi ya mpira. Simba kwa sasa sio level tena za yanga, na ikiwapendeza watani zetu waje wakae mezani na sisi wajifunze namna ya kuwa taasisi bora katika kila nyanja!
Hii simba queens itafika mbali ikiwemo kutinga fainali na hapo bado mo dewji ameahidi kuwapandishia mishahara wachezaji wote ambapo opah clement atakuwa akipokea milioni 5 kwa mwezi huku corazone akivuta milioni 4 kwa mwezi.
Hongereni simba sc hakiks mnajua namna ya kuendesha club tofauti na wapiga porojo wa jangwani!