3ZOV JF-Expert Member Joined Dec 28, 2020 Posts 6,259 Reaction score 7,015 Aug 28, 2022 #21 Tate Mkuu said: Unamfahamu Edna Lema wewe! a.k.a Mourhino? Kama humfahamu basi subiri Ligi ya wanawake ianze Click to expand... Huyo si alibutuliwa 4-1 akawa analia lia kafungwa na simba queens sababu kocha ni mwanaume Isitoshe hata msimu ulioisha sq walifungwa kwa uzembe wa refa kutoa red card na kuitoa sq mchezoni
Tate Mkuu said: Unamfahamu Edna Lema wewe! a.k.a Mourhino? Kama humfahamu basi subiri Ligi ya wanawake ianze Click to expand... Huyo si alibutuliwa 4-1 akawa analia lia kafungwa na simba queens sababu kocha ni mwanaume Isitoshe hata msimu ulioisha sq walifungwa kwa uzembe wa refa kutoa red card na kuitoa sq mchezoni
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Aug 29, 2022 #22 cocastic said: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utalia sanaa huu mwaka, na badooooo. Ndo kwanza maumivu yameanza. Poleeeeeeeh Click to expand... Maumivu ya simba kufungwa na yanga mfululizo?
cocastic said: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utalia sanaa huu mwaka, na badooooo. Ndo kwanza maumivu yameanza. Poleeeeeeeh Click to expand... Maumivu ya simba kufungwa na yanga mfululizo?
Herbert Nkuluzi JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 2,592 Reaction score 2,629 Aug 29, 2022 #23 Tate Mkuu said: Unamfahamu Edna Lema wewe! a.k.a Mourhino? Kama humfahamu basi subiri Ligi ya wanawake ianze Click to expand... ๐๐๐๐Huyo kapigwa sana na Simba Qeens ameshinda mechi moja tu tena 1-0 wakati yeye anashushiwa vipigo vizito kabisa vya goli 4+
Tate Mkuu said: Unamfahamu Edna Lema wewe! a.k.a Mourhino? Kama humfahamu basi subiri Ligi ya wanawake ianze Click to expand... ๐๐๐๐Huyo kapigwa sana na Simba Qeens ameshinda mechi moja tu tena 1-0 wakati yeye anashushiwa vipigo vizito kabisa vya goli 4+