Simba robo fainali CAF kukutana na CR Belouizdad, Kaizer Chiefs au MC Alger

Wana pointi 9 tu wajiandae sana kupambana na mwenye pointi 13...
Kwenye ligi zao sasa
Cr belouizdad anashika nafasi ya 10
Kaizer chiefs anashika nafasi ya 9
Mc Algers anashika nafasi ya 11
 
Al Ahly atakumbana na mojawapo kati ya Mamelodi, Esperance au Wydad Casablanca. Simba amewavurugia CAF utaratibu kabisa maana hawa wamezoea kukutana kuanzia nusu fainali
Natamani mamelod apewe hao wasenge aiseee mosimane atafanywa mbaya na timu yake ya zamani.....
 
msimu uliopita bingwa al ahly uliopita tena bingwa mamelodi

sijui utopolo habari zenu mnaokota wa pi ?
 
msimu uliopita bingwa al ahly uliopita tena bingwa mamelodi

sijui utopolo habari zenu mnaokota wa pi ?

mwaka 2018 bingwa wa caf champions league ni Esperence, mwaka 2019 bingwa wa caf champions league ni esperence tena, mwaka 2020 bingwa wa caf champions league ni al ahly, mwaka 2021 ndio huu timu zipo hatua ya robo..

mamelodi ni mtoto mdogo sana kwa Esperence, kwanza mamelodi amewahi kutwaa ubingwa wa caf champions league mara 1 tu tangu klabu imeanzishwa, ambao ni mwaka 2016 tu ndio mamelodi alibeba kombe, sasa why udanganye ni bingwa wa mwaka juzi..

Mamelodi unaedanganya ni bingwa wa msimu uliopita, labda alitwaa ubingwa wa rede mtaani kwenu

Nimekuwekea list ya mabingwa wa kila mwaka uisome ujue nani muongo kati ya mimi na wewe

 
Wana pointi 9 tu wajiandae sana kupambana na mwenye pointi 13...
Kwenye ligi zao sasa
Cr belouizdad anashika nafasi ya 10
Kaizer chiefs anashika nafasi ya 9
Mc Algers anashika nafasi ya 11
Mkuu Car champions league ni tofauti sana na ligi za ndani ya nchi husika.sidhani kama ni kipimo sahihi,pata mifano ya As Vita na Mazembe.
 
Sijaelewa kwanini Kaizer Chiefs amekuwa nafasi ya Pili na Siyo Horoya mwenye Goal difference nzuri. Maana game zao zote walivyokutana wamesuluhu kama head to head ni sababu
 

Umemjibu vizuri sana,,, Esperance na simba wapi na wapi ni mbingu na ardhi.
 
Bora MC Alger,Kaizer Chief wanaupiga mwingi na kule mbele wapo vizuri.

Kaizer chief anabahati sana 😀 draw ya jana imemsaidia abakie,,,mchezaji wa zamalek kanickitisha mno jana baada ya game kuisha kwa ushindi wa goli 4-1 nilihisi kauliza jambo kama sio matokeo ya Esperance na MC algier , aise mshkaji nilimuona katikisa kichwa walijua tayali washapita.
 

Mkuu Lupweko , salam kwako. Hivi timu iliyoingia robs fsinali ni Kazer chief au Horoya ?

 
Kibonde hapo ni kaizer chiefs
Kwa uchezaji wa Kaizer chiefs nisingependa tukutane nao kabisa, wings zao zinasumbua sana watatufanya tusishambulie kupitia pembeni.

Mc Algier tumeshacheza nae tukamfunga hadi huko huko kwao Algeria hivyo siyo threat sana kwetu na pamoja na uchezaji wao wanashambulia sana kupitia katikati hivyo kwetu itakuwa advantage kwa sababu tuna defensive midfield nzuri.

CR Belouzdad hawa threat pekee ni Mshambuliaji wao Gasmi nafikri, wanacheza taratibu sana na wanakabia juu sana hivyo kwetu itakuwa uchochoro kwa kina Luis Chama na wengineo.

Mc Algier na CR ndiyo mara yao ya kwanza kuingia quater final hivyo itakuwa vizuri kukutana na mgeni zaidi kuliko timu nyingine yoyote.
 
CR Belouzdad ameingia quarterfinal kwa mara ya kwanza hivyo ni timu underdog.
Kikubwa ni kuwa hawakuwa na matokeo mazuri hata kwenye uwanja wao wa nyumbani.
 
Salem mkuu,

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…