ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Kaizer Chiefs ana magoli mengi ya away (2) vs HoroyaSijaelewa kwanini Kaizer Chiefs amekuwa nafasi ya Pili na Siyo Horoya mwenye Goal difference nzuri. Maana game zao zote walivyokutana wamesuluhu kama head to head ni sababu
Hiyo ya 2019 Wydad Casablanca walifanyiwa figisu hadi wakatoa timu uwanjani, hivyo Esperance akapata ushindi wa mezani, msimu huu Esperance timu yao haikuwa na matokeo mazuri kwenye viwanja vya ugenin tofauti na mismu miwili iliyopita.mwaka 2018 bingwa wa caf champions league ni Esperence, mwaka 2019 bingwa wa caf champions league ni esperence tena, mwaka 2020 bingwa wa caf champions league ni al ahly, mwaka 2021 ndio huu timu zipo hatua ya robo..
mamelodi ni mtoto mdogo sana kwa Esperence, kwanza mamelodi amewahi kutwaa ubingwa wa caf champions league mara 1 tu tangu klabu imeanzishwa, ambao ni mwaka 2016 tu ndio mamelodi alibeba kombe, sasa why udanganye ni bingwa wa mwaka juzi..
Mamelodi unaedanganya ni bingwa wa msimu uliopita, labda alitwaa ubingwa wa rede mtaani kwenu
Nimekuwekea list ya mabingwa wa kila mwaka uisome ujue nani muongo kati ya mimi na wewe
View attachment 1749067
Hivi hizi ramli zenu huwa hamchoki ?Ni heri akutanishwe na msauzi uhakika wa kupita upo,,,, lakini co waalgeria. Belouizdad na MC Alger ni mashine kali zile. Kama hamujaondoka na aibu
Ni kweliHakuna easy game hapo, tusijiamini kupitiliza.
Kaizer Chiefs ana magoli mengi ya away (2) vs Horoya
Kama jinsi ambavyo huwezi kuilinganisha Yanga na Simba Sc kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapovu mengi Sana shida nini,ok weka rekodi ya utopolo hapa miqka waliyoshiriki na walipoishia, kama hamtaki kukubari kuwa mnyama saizi yao ni klabu bingwa kalale tumwaka 2018 bingwa wa caf champions league ni Esperence, mwaka 2019 bingwa wa caf champions league ni esperence tena, mwaka 2020 bingwa wa caf champions league ni al ahly, mwaka 2021 ndio huu timu zipo hatua ya robo..
mamelodi ni mtoto mdogo sana kwa Esperence, kwanza mamelodi amewahi kutwaa ubingwa wa caf champions league mara 1 tu tangu klabu imeanzishwa, ambao ni mwaka 2016 tu ndio mamelodi alibeba kombe, sasa why udanganye ni bingwa wa mwaka juzi..
Mamelodi unaedanganya ni bingwa wa msimu uliopita, labda alitwaa ubingwa wa rede mtaani kwenu
Nimekuwekea list ya mabingwa wa kila mwaka uisome ujue nani muongo kati ya mimi na wewe
View attachment 1749067
Dah. Sheria sometime zinaboa. Horoya atajilaumu sana.Kaizer Chiefs ana magoli mengi ya away (2) vs Horoya
Mkuu Horoya na Amakhosi wote walilingana points sasa ndo jamaa akauliza iweje Kaizer Chiefs wapite na sio Horoya wakati mechi zote mbili walizokutana walitoka draw? Jibu ni kwamba Chiefs ana faida ya away goals waliyopita juzi dhidi ya Horoya kama sheria za CAF zinavosemaMkuu samahani, ulichoandika sio sahihi kwavile hii haikuwa mtoano Bali ligi. Hebu tazama
This time bingwa hatatokea nchi za kiarabu.
Finali itakuwa Simba na Mamelod Sundowns kama hazitakutana Kwenye semi final
Belouzdad ambayo hata goal difference tu ina negative?Wydad [emoji818]
Esperance [emoji818]
Al ahly[emoji818]
Belouzdad[emoji818]
Wasipochukua kati ya awa wa 4, nitakutag,,,,
Belouzdad ambayo hata goal difference tu ina negative?
Timu ambayo Quarterfinal imeingia kwa mara ya kwanza ?
Hii timu iliyopigwa 5 -1 hapa kwa mkapa? Kuwa seriously...bingwa hawezi kuwa na beki mbovu kama hiyo,kaizer chiefs nae kala 4 na WAC,mc Algier alipigwa 2-0 na zamalek kue kule Algeria...hapa watupe yoyote tunafuzu nusu finalPamoja na yote hayo usishangae akabeba
Hii timu iliyopigwa 5 -1 hapa kwa mkapa? Kuwa seriously...bingwa hawezi kuwa na beki mbovu kama hiyo,kaizer chiefs nae kala 4 na WAC,mc Algier alipigwa 2-0 na zamalek kue kule Algeria...hapa watupe yoyote tunafuzu nusu final
Mamelod alikuwa ameshaqualify tayari hivyo haiwezi kuwa kipimo sahihi na Mamelod hawakuweka kikosi chao cha kwanza.Pamoja na yote hayo usishangae akabeba, nimewacheki wako fire. wana umoja, akili na nguvu. Kama ulicheki game yao na mamelody akamdundwa goli 2-0.
mwaka 2018 bingwa wa caf champions league ni Esperence, mwaka 2019 bingwa wa caf champions league ni esperence tena, mwaka 2020 bingwa wa caf champions league ni al ahly, mwaka 2021 ndio huu timu zipo hatua ya robo..
mamelodi ni mtoto mdogo sana kwa Esperence, kwanza mamelodi amewahi kutwaa ubingwa wa caf champions league mara 1 tu tangu klabu imeanzishwa, ambao ni mwaka 2016 tu ndio mamelodi alibeba kombe, sasa why udanganye ni bingwa wa mwaka juzi..
Mamelodi unaedanganya ni bingwa wa msimu uliopita, labda alitwaa ubingwa wa rede mtaani kwenu
Nimekuwekea list ya mabingwa wa kila mwaka uisome ujue nani muongo kati ya mimi na wewe
View attachment 1749067
Mamelod alikuwa ameshaqualify tayari hivyo haiwezi kuwa kipimo sahihi na Mamelod hawakuweka kikosi chao cha kwanza.
Ni kama Kama Kaizer chiefs alivyomfunga Wydad Casablanca ambaye alipeleka kikosi cha pili na headcoach hakuenda.
Amempiga Mamelodi aliyekuwa ameweka kikosi B.Na mamelody kapigwa 2-0, tena kwao na huyu huyu unaemdharau