Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
hahahahaha,tz ina wajinga kweliComment nyingi zinaonesha jinsi Tanzania ilivyo na wajinga wengi. Majibu yote ni ya kijingajinga tu. Pyramid walishawahi kuja kucheza na yanga Mwanza siku moja ya baada ya mechi wakapanda ndege wakasepa! Nchi nyingi sana zilizoendelea zikishagundua nchi haieleweki, huwa wanaenda siku moja kabla ya mechi. Red Arrows walienda Angola tarehe 16 August wakacheza mechi tarehe 18. Hizi mechi zinaenda kimkakati, sio kama hizo mechi zenu za bahasha!
ni ndio mbinu za kimkakati ktk soka ,hii mbinu inatumika sana
Sie tuliowahi kushiriki hz hatushangai.huwa inapunguza hujuma kwa timu