Simba S.C. kwenda Angola siku moja kabla ya mechi ni takwa la kiufundi au bajeti imekata?

hahahahaha,tz ina wajinga kweli

ni ndio mbinu za kimkakati ktk soka ,hii mbinu inatumika sana

Sie tuliowahi kushiriki hz hatushangai.huwa inapunguza hujuma kwa timu
 
Munachezea "Libolo" tu kama 2013.
 
Uto 🐸 naona mnatafuta pa kuhemea 💨, msijisahaulishe Al Hilal wamekuja na mabomu 💥 mkae kwa passwords
🤣🤣🤣
 
.
2.Kutopata Muda wa kutosha kutatua figisu mfano Vipimo vya Covid nk.
Hata ukikaa wiki nzima kabla ya siku ya mechi, matokeo ya Covid19 yanatolewa masaa machache kabla ya kick-off.
 
Sababu za kiufundi na siyo bajeti..mbona tumekodi pipa
 
Huna hela utaenda kwa ndege ya kukodi? Unaijua gharama ya kukodi ndege? Au Unadhani hiyo gharama ni ndogo kuliko wangekaa huko siku tatu? Akili tu inahitajika kutambua mambo!
 
Alafu wengi si sijui wanaishi kwa mazoea? Team za Ulaya huwa zinaenda a day before mechi katika Uefa Champions league hakuna muda wa kwenda ugenini kukaa siku 5 sjui.

Walishawahi kuja Pyramids na ndege yao hapa siku moja kabla na Wakaikun'guta Yanga kule Mwanza vzr tu! Pia Al Alhy hvy hvy.
 
Hii ya siku Moja Kabla ya mchezo nimeipenda Sana. Hongera uongozi kwa kuliona hilo. Huwezi kwenda kujikabidhi mikononi mwa adui kwa siku 3 au 4 halafu ubaki salama.

Fuatilia mechi ambazo simba ameenda siku Moja au mbili Kabla ya mechi na zile ambazo ameenda siku 3 au 4 Kabla ya mechi ili kuzoea Hali ya hewa ni zipi amepigwa magoli mengi.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mbona PSG walienda Ureno Jumanne na Jumatano wakacheza? Na ndio wanamapesa chungu nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…