Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
hahahahaha,tz ina wajinga kweliComment nyingi zinaonesha jinsi Tanzania ilivyo na wajinga wengi. Majibu yote ni ya kijingajinga tu. Pyramid walishawahi kuja kucheza na yanga Mwanza siku moja ya baada ya mechi wakapanda ndege wakasepa! Nchi nyingi sana zilizoendelea zikishagundua nchi haieleweki, huwa wanaenda siku moja kabla ya mechi. Red Arrows walienda Angola tarehe 16 August wakacheza mechi tarehe 18. Hizi mechi zinaenda kimkakati, sio kama hizo mechi zenu za bahasha!
Munachezea "Libolo" tu kama 2013.Na kama ni takwa la kiufundi mwambieni huyo aliyeamua hivi kuwa hii ni hatari na itatugharimu kimatokeo.
Ningewaelewa Simba S.C. (hasa kiufundi) kama wangeenda Angola siku tatu kabla ila hii ya kwenda siku moja kabla ya mechi (yaani Jumamosi na kucheza Jumapili) ni hatari kimchezo (kimaandalizi), na hapa wala GENTAMYCINE nisimung'unye maneno kuwa tumefanya kosa kubwa sana.
Hivi kweli ndani ya siku moja huko Angola wachezaji wa Simba S.C. watazoea hali ya hewa, mazingira kiujumla na kuzoea uwanja ili kuweza kujiandaa vyema kisaikolojia kwa mchezo husika wa siku ya Jumapili? Hii ni kujiua kiufundi kwa Simba S.C. na tutake tusitake ni lazima itatugharimu katika utendaji wetu uwanjani siku ya mtanange (mechi).
Nilikuwa mbishi kuamini kuwa sasa Simba S.C. kuna ukata (bajeti hafifu) na pia mwekezaji Mo Dewji ni kama vile amesusa na kajiweka kando, ila kwa hili la kwenda nchini Angola Jumamosi na mechi Jumapili naamini rasmi kuwa mzigo ndani ya Simba S.C. umekata na wala tusitake kudanganyana juu ya hili.
Ukiwa umecheza mpira, ni mtu wa mpira au ni mdau (mchambuzi na mwaimu) wa mpira utanielewa vyema GENTAMYCINE kwa hiki nilichokiandika hapa, ila ukiwa ni "Ngala ngala' kamwe hutonielewa na utabaki kunishangaa tu.
Kazi ipo tu Jumapili kwa Waangola!
Ukiona hivyo ujue hapo ulipo kuna mtu kalijaza maungoni mwako.Munachezea "Libolo" tu kama 2013.
Hata ukikaa wiki nzima kabla ya siku ya mechi, matokeo ya Covid19 yanatolewa masaa machache kabla ya kick-off..
2.Kutopata Muda wa kutosha kutatua figisu mfano Vipimo vya Covid nk.
Ndege mmekodiwa na ATC, huna ulijuwalo.Sababu za kiufundi na siyo bajeti..mbona tumekodi pipa
Kwani hao ATC wamelipa bill..aibu sanaNdege mmekodiwa na ATC, huna ulijuwalo.
ATC ndio wamelipa bill, mbumbumbu huwezi kuujuwa mkataba wa Simba na ATC.Kwani hao ATC wamelipa bill..aibu sana
Huna hela na unaenda kwa ndege ya kukodi?
Uwahi kuzoea uwanja gani na uwanjani utaruhusiwa siku moja before game?
Hali ya hewa ipi unaenda kuzoea, ikiwa dar ni 30° na Angola ni 26 to 28 ? Kuna tofauti inayohitaji adoptation hapo?
Msimu huu ni cool kwao,
Check ur facts popoma.
Ujue hujui unachobishia..sasa mkataba si pesa?ATC ndio wamelipa bill, mbumbumbu huwezi kuujuwa mkataba wa Simba na ATC.
Hopeless PSG ndiyo ( ni ) Simba SC?Mbona PSG walienda Ureno Jumanne na Jumatano wakacheza? Na ndio wanamapesa chungu nzima.
Kwa miundombinu ya ulaya walikuwa na uwezo hata wa kwenda Masaa mawili kabla ya mechi.Mbona PSG walienda Ureno Jumanne na Jumatano wakacheza? Na ndio wanamapesa chungu nzima.
Point yako haswa ni nini?Kwa miundombinu ya ulaya walikuwa na uwezo hata wa kwenda Masaa mawili kabla ya mechi.
Ushakula ban, tulia siku ukirudi uwe na adabu.Point yako haswa ni nini?