Simba sasa wanacheza mpira wa Ligi ya Uingereza

Simba sasa wanacheza mpira wa Ligi ya Uingereza

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Simba walikuwa na mapungufu muhimu ya kiufundi ambayo kwa hatua wanayotaka kupiga hasa huko CAF ilihitaji kuyarekebisha.

Pungufu la kwanza lilikuwa ukosefu wa ubunifu katika kupenyeza mipira katika ngome ya timu pinzani. Hii ilisababisha timu kulazimika mara kwa mara kurudisha mipira nyuma, mara nyingi hadi kwa kipa. Mashabiki wengi hawakuwa wanaliona hili au walikuwa wanalimezea, wao walikuwa wanaona tu boli linatembea ila haya yalikuwa madhaifu.

Pungufu la pili ilikuwa kwenye ukabaji na kujituma. Simba alikuwa anacheza mpira wa taratibu sana na morali ya wachezaji ilikuwa chini. Ndiyo kuna game goli zilikuwa zinakuja wakati mwingine nyingi tu halafu mashabiki wanasahau ila zile mechi ambazo game ilikuwa inakataa tuliona wazi hayo mapungufu na watu waliyalalamikia. Ila angalia game hizi mbili za mwisho, wachezaji unaona wanapambana sana. Morali ya timu iko juu.

Simba ya Robertinho haichezi mpira wa Brazil, Spain wala wa Dubai. Huu ni mpira wa English Premiere League. Nashangaa watu wanaangalia kila siku EPL, wengine wanabeti, wengine wamekuwa mashabiki lia lia wa Arsenal, Man U, Man C, nk. ila wanashindwa kutambua mpira wa Uingereza unaochezwa sasa na Simba ambao ni mpira wa kasi na ni kawaida kucheza mipira mirefu. Tofauti kule wachezaji wana control nzuri ya mpira ambayo Simba kiasi wana mapungufu hasa wakitaka kumaintain kasi ya mchezo.

Wachezaji hasa mabeki wanahitaji kutulia maana naona wanacheza kwa pressure sana na pia timu nzima iongeze uwezo wa kucontrol mpira vizuri hata kama ni kwa kucheza mpira wa kasi. Pia safu ya mbele inabidi kuwa inatumia vizuri nafasi inazopata.

NB. Binafsi siyo mpenzi sana wa style inayotumika EPL.
 
Ukiona mpaka Kibu D kwangu anakua Nyota wa mchezo basi Simba imecheza hovyo ila imepata matokeo.
Sijaona mchezaji yeyote wa Simba aliye cheza vizuri zaidi ya Kibu.
Ilipofika dk ya 70 wachezaji karibu wote wa Simba walikua wamechoka vibaya, ni Kibu D pekee tenk lake bado lilikua full.
Leo Kibu alikua mtamu.
 
Simba walikuwa na mapungufu muhimu ya kiufundi ambayo kwa hatua wanayotaka kupiga hasa huko CAF ilihitaji kuyarekebisha.

Pungufu la kwanza lilikuwa ukosefu wa ubunifu katika kupenyeza mipira katika ngome ya timu pinzani. Hii ilisababisha timu kulazimika mara kwa mara kurudisha mipira nyuma, mara nyingi hadi kwa kipa. Mashabiki wengi hawakuwa wanaliona hili au walikuwa wanalimezea, wao walikuwa wanaona tu boli linatembea ila haya yalikuwa madhaifu.

Pungufu la pili ilikuwa kwenye ukabaji na kujituma. Simba alikuwa anacheza mpira wa taratibu sana na morali ya wachezaji ilikuwa chini. Ndiyo kuna game goli zilikuwa zinakuja wakati mwingine nyingi tu halafu mashabiki wanasahau ila zile mechi ambazo game ilikuwa inakataa tuliona wazi hayo mapungufu na watu waliyalalamikia. Ila angalia game hizi mbili za mwisho, wachezaji unaona wanapambana sana. Morali ya timu iko juu.

Simba ya Robertinho haichezi mpira wa Brazil, Spain wala wa Dubai. Huu ni mpira wa English Premiere League. Nashangaa watu wanaangalia kila siku EPL, wengine wanabeti, wengine wamekuwa mashabiki lia lia wa Arsenal, Man U, Man C, nk. ila wanashindwa kutambua mpira wa Uingereza unaochezwa sasa na Simba ambao ni mpira wa kasi na ni kawaida kucheza mipira mirefu. Tofauti kule wachezaji wana control nzuri ya mpira ambayo Simba kiasi wana mapungufu hasa wakitaka kumaintain kasi ya mchezo.

Wachezaji hasa mabeki wanahitaji kutulia maana naona wanacheza kwa pressure sana na pia timu nzima iongeze uwezo wa kucontrol mpira vizuri hata kama ni kwa kucheza mpira wa kasi. Pia safu ya mbele inabidi kuwa inatumia vizuri nafasi inazopata.

NB. Binafsi siyo mpenzi sana wa style inayotumika EPL.
Kwa uchambuzi huu basi tunasafi ndefu sana. Ndiyo maana Msumbiji ,Uganda wapo Chan
 
Kwa uchambuzi huu basi tunasafi ndefu sana. Ndiyo maana Msumbiji ,Uganda wapo Chan
Pila la UK hilo. DOm 53 UK 47
20230122_210539.jpg
 
Simba leo kacheza mpira mbovu
Nyoni haeleweki yuko wapi
Sub ya baleke ilikuwa ya hovyo kidogo alikuwa anaipa timu uhai kule mbele huyu robertino anazidiwa uwezo na mgunda kuanzia sub mpaka kupanga kikosi
 
Ukiona mpaka Kibu D kwangu anakua Nyota wa mchezo basi Simba imecheza hovyo ila imepata matokeo.
Sijaona mchezaji yeyote wa Simba aliye cheza vizuri zaidi ya Kibu.
Ilipofika dk ya 70 wachezaji karibu wote wa Simba walikua wamechoka vibaya, ni Kibu D pekee tenk lake bado lilikua full.
Leo Kibu alikua mtamu.
Mpira wa kasi unahitaji wachezaji wenye stamina. Wote tunajua fitness ya wachezaji wa Simba haijawa nzuri kwa muda sasa. Hauoni hata wachezaji hawaponi?

Style ya boli kutembea na pasi 200 ilikuwa inaficha mengi.
 
Simba leo kacheza mpira mbovu
Nyoni haeleweki yuko wapi
Sub ya baleke ilikuwa ya hovyo kidogo alikuwa anaipa timu uhai kule mbele huyu robertino anazidiwa uwezo na mgunda kuanzia sub mpaka kupanga kikosi
Mimi nasubiri nione kitakachojili mbeleni kwasasa bado naangalia jinsi kikosi kinavyoendelea kusukwa kama kitafanya kama Mgunda au zaidi ya Mgunda au kitashuka ubora zaidi. Kwasasa maneno yamekuwa mengi wengine wameanza kutoa sifa tokea mechi ya kwanza kuwa kocha anajua kuusoma mchezo, ni mthubutu, ana mbinu nyingi kisa tu katolewa Chama. Ngoja tuendelee kuvuta muda tuone uwezo wake
 
Simba walikuwa na mapungufu muhimu ya kiufundi ambayo kwa hatua wanayotaka kupiga hasa huko CAF ilihitaji kuyarekebisha.

Pungufu la kwanza lilikuwa ukosefu wa ubunifu katika kupenyeza mipira katika ngome ya timu pinzani. Hii ilisababisha timu kulazimika mara kwa mara kurudisha mipira nyuma, mara nyingi hadi kwa kipa. Mashabiki wengi hawakuwa wanaliona hili au walikuwa wanalimezea, wao walikuwa wanaona tu boli linatembea ila haya yalikuwa madhaifu.

Pungufu la pili ilikuwa kwenye ukabaji na kujituma. Simba alikuwa anacheza mpira wa taratibu sana na morali ya wachezaji ilikuwa chini. Ndiyo kuna game goli zilikuwa zinakuja wakati mwingine nyingi tu halafu mashabiki wanasahau ila zile mechi ambazo game ilikuwa inakataa tuliona wazi hayo mapungufu na watu waliyalalamikia. Ila angalia game hizi mbili za mwisho, wachezaji unaona wanapambana sana. Morali ya timu iko juu.

Simba ya Robertinho haichezi mpira wa Brazil, Spain wala wa Dubai. Huu ni mpira wa English Premiere League. Nashangaa watu wanaangalia kila siku EPL, wengine wanabeti, wengine wamekuwa mashabiki lia lia wa Arsenal, Man U, Man C, nk. ila wanashindwa kutambua mpira wa Uingereza unaochezwa sasa na Simba ambao ni mpira wa kasi na ni kawaida kucheza mipira mirefu. Tofauti kule wachezaji wana control nzuri ya mpira ambayo Simba kiasi wana mapungufu hasa wakitaka kumaintain kasi ya mchezo.

Wachezaji hasa mabeki wanahitaji kutulia maana naona wanacheza kwa pressure sana na pia timu nzima iongeze uwezo wa kucontrol mpira vizuri hata kama ni kwa kucheza mpira wa kasi. Pia safu ya mbele inabidi kuwa inatumia vizuri nafasi inazopata.

NB. Binafsi siyo mpenzi sana wa style inayotumika EPL.
Mpira wa Epl mechi ya pili sasa mnashinda kwa shida tena dhidi ya timu ndogo labisa...
 
Mmeshinda lakini hamna raha hata chembe. Ddm jiji watajilaumu wenyewe maana hii game ilikuwa yao, Basi tu nadhani wameponzwa na jina mpinzani wao.
 
Ule ndio mpira halisi wa vipers jamani


Rejea game yao na yanga jamaa walikua wanafika sana miguuni mwa wachezaji wa yanga
 
Back
Top Bottom