ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
-
- #121
Gomes akwende tuuuu.... Ule msalaba ni wake....Kwa Anaye Sikiliza mpira Ajue Kuwa TUNABEBWA NA MTANGAZAJI, kwa Anaye Angalia Mpira Ajue kuwa Baraka Mpenja Anacheza Vizuri kwa Mdomo Kuliko Wachezaji Wote wa Simba.
Gomez ameonewa Tuu
Kama wakipata red card hao coastal union mnaweza kushinda hii gameCoastal union wanaweza pata kadi red
Hakuna mipango anajipigia tu ili mradi mpira uende mbeleZimbwe anafanya ninj humu?
Katakua kana stress za ndoa, si kameoa juzi kati tu hapo?Hakuna mipango anajipigia tu ili mradi mpira uende mbele
Katakua kana stress za ndoa, si kameoa juzi kati tu hapo?Hakuna mipango anajipigia tu ili mradi mpira uende mbele
Wenye mipango waliisha ondoka.Najaribu kuitazama timu yangu hata kuona goli linatokea wapi sioni, ni ilimradi mpira unaenda mbele tu hakuna mipango
Gomes hajaonewa akaongeze elimu ,mwenzake Matola leo leo kapata rasmi leseni ya daraja BKwa Anaye Sikiliza mpira Ajue Kuwa TUNABEBWA NA MTANGAZAJI, kwa Anaye Angalia Mpira Ajue kuwa Baraka Mpenja Anacheza Vizuri kwa Mdomo Kuliko Wachezaji Wote wa Simba.
Gomez ameonewa Tuu
Double substitution 1st half ... dahMkude in
Morrison in
Kanoute out
Mzamiru oit