Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Mugalu anapiga shuti anababatiza mlinzi wa mlandege
 
Mtangazaji aliteleza ulimi, alafu ukimskiza vizuri anashindwa kuficha mapenzi yake kwa mlandege na uzenji uzenji mwingi...
[emoji23][emoji23] anawasifia kupitia kiasi
 
Kidizaini kama naiona sare tasa hapa!
 
Hivi nyie wazanzibar ndo style gani za nywele za hao vijana wenu?!
 
Hivi nyie wazanzibar ndo style gani za nywele za hao vijana wenu?!
 
Naona MB zangu zinaisha tu ngoja nijumuike na nyinyi
 
Moukoro namuona akijiandaa kuchukua namba hapa
 
Huyo moukoro unaweza kudhani labda ana ulimbo mguuni
 
Back
Top Bottom