Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Maana yake ana aminika kuleta ushindi na ndio maana mbetiji alimpa simbaKwani simba hajachana mikeka leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake ana aminika kuleta ushindi na ndio maana mbetiji alimpa simbaKwani simba hajachana mikeka leo?
Kwanini uwe msimu wa mwaka juzi na mwaka jana pekee.Tusoende mbali wakati mifano halisi ipo
Nyinyi mko nafasi ya ngapi huku bara?
Mwaka jana msimu kama huu mlikuwa mnaongoza ligi hivi hivi, ubingwa mlichukua?
Mpira umeanza kuujua juzi eh. Uto alitolewa na rivers iliyokuwa nafasi ya saba hukooKMKM moto wao mkubwa kuliko Mlandege, KMKM ndiye kinara wa ligi ya Zanzibar.
Nimechukua ngao mbele ya huyo Kanoute na nitachukua hili mbele ya huyo Sakho, endeleeni kulialia na wimbo wenu wa GSM VIPORO FC.We Neng'eneka tu....! Huu Mwaka hata Hili La Mapinduzi Huchukui......!
Kanoute na Sakho Wanausongo nalo...!
Kwasababu wamecheza na timu kubwa iliyowazidi uwezo ila bahati humuangukia yeyoteKwanini umesema kuwa wamebahatisha
Tusoende mbali wakati mifano halisi ipo
Nyinyi mko nafasi ya ngapi huku bara?
Mwaka jana msimu kama huu mlikuwa mnaongoza ligi hivi hivi, ubingwa mlichukua?
Nyie hamtaki ila wengine 15 wanataka kuwa mpole.Hatutaki nembo ya GSM kwa sababu ya mambo yake hayo ya hovyo
Wewe unajua pia aliyeshangilia draw😀😁😂Wananchi gani?
Kumbukumbu yako ya mwisho nani aliyekuwa anaomba mpira uishe na kupoteza muda kishamba?
Ule mkuyati uliopakiwa na kupigwa bao 4 unauzungumziaje?Miaka miwili hii Simba ni demu kwa Yanga
Makolo mnawaza vitu vilivyopita, ndio maana kila siku mnamtaja taja chama kama mmechanganyikiwa hivi ngoja mpokee dozi kwa namungo akili iwakae sawaTusoende mbali wakati mifano halisi ipo
Nyinyi mko nafasi ya ngapi huku bara?
Mwaka jana msimu kama huu mlikuwa mnaongoza ligi hivi hivi, ubingwa mlichukua?
Aliyeshangilia draw tulianza kumuona mle mle uwanjani akipoteza muda kiboyaWewe unajua pia aliyeshangilia draw😀😁😂
Kama kuwaza vitu vilivyopita ni mbaya, basi leo hii msingekuwa mnajiita mabingwa wakihistoriaMakolo mnawaza vitu vilivyopita, ndio maana kila siku mnamtaja taja chama kama mmechanganyikiwa hivi ngoja mpokee dozi kwa namungo akili iwakae sawa
Mume wenu mayele anakuja kesho endeleeni kumtunzia bikra hiyoUle mkuyati uliopakiwa na kupigwa bao 4 unauzungumziaje?
Yani simba inauwezo wakuifunga yanga mechi moja kwa magoli mengi ambapo yanga kuja kusawazisha ni miaka
Alikugonga nyuma?Hatutaki nembo ya GSM kwa sababu ya mambo yake hayo ya hovyo
Hata azam nao ni mabingwa wa kihistoria ila huwakuti wakifanya hiyo dhana kama ajenda au kauli mbiu ya clubHatujawaii kuchukua tangu ligi ianzishwe. Simba ni ubingwa wa kihistoria
Ina kuuma wewe nini?Kama kuwaza vitu vilivyopita ni mbaya, basi leo hii msingekuwa mnajiita mabingwa wakihistoria
Mayele ni mrembo tu wala hana madhara ulubwa wa mayele upo midomoni mwa wana utoMume wenu mayele anakuja kesho endeleeni kumtunzia bikra hiyo